Elections 2015 Magufuli akutana na nguvu ya Umma Mbeya, azomewa, aambiwa wanamtaka Lowassa

Elections 2015 Magufuli akutana na nguvu ya Umma Mbeya, azomewa, aambiwa wanamtaka Lowassa

Mshahara kuingizwa siyo kosa cha msingi kabla ya kumtuhumu huyu mhusika je alizichukua hizo fedha zilizokuwa kwenye payroll?Kama alichukua basi ni mwizi na anastahili kushitakiwa na ni aibu kwa taifa hivyo Rais amuondoe mara moja kwenye hiyo nafasi baada ya kufanya uchunguzi kwa kuwasiliana na serikali ya Botswana,na wakati Uchunguzi unafanyika basi asimamishwe kazi kwa muda.Pili kama hakuwa na nia mbaya kwanini baada ya kukubali kazi nyingine asiwandikie barua waajiri wake kwamba hata endelea na kazi hapa inaonyesha kwamba alikuwa na nia ya kutenda kosa?Achunguzwe na hatufai anatia nchi doa na ameshavuruga credibility ya watanzania nchini Botswana.


Nakujibu kwa kuwa nimeona utulivu Fulani ktk andishi lako.

Kama kuna uvunjaji wa taratibu na vyombo vya dola vikawa fair kwa pande ZOTE naamini tusingefika huko.

Shida ni pale kosa linapofanywa kwanza na Ccm police na tume wakakaa kimya then Ukawa wanapofanya kosa hilo na zaidi Polisi wana kuwa na hofu ya double standard hiyo tayari ni shida.

Umezungumzia kauli za mbowe vipi kuhusu maneno ya bulembo kuwa Ccm haiwezi kuachia ikulu na tume imesema ni ya kisiasa, ukweli ni kuwa MTU asiye na ufahamu Mkubwa aliyeamua kumpa kura Lowasa anaweza asiende kupiga kura . kwanini apoteze muda wakati Ccm haitaachia ikulu kwa kura??

NINATAMANI TUFIKE MAHALI VYAMA VYOTE VIFANYE SIASA ZA HAKI, NA VYOMBO VYA DOLA NA TUME VIWE HURU KUFANYA KAZI ZAO.

LKN HAYO SIO RAHISI ISIPOKUWA KWA HISANI YA CCM AU KWA KUING'OA CCM TUJIPANGE UPYA, NAFASI TULIYONAYO KWA SASA NI KUITOA CCM ILI TUANZE UPYA.

Sorry ninamjibu Eric Cartman lkn Niki quote inatokea post yako
 
Last edited by a moderator:
Hiyo siyo nguvu ya umma ila ni uhuni.

Uhuni mtu yeyote akiamua anaweza kuufaya, lakini matokeo yake ni kuvujika kwa amani.

Kama wao wameshaamua kuwa wanamtaka Lowassa nini kinawapeleka kwenye mkutano wa Magufuli?

Inaonekana kabisa kuwa kuna kundi lililojiandaa kufanya fujo na walishaandaa camera wapige hii picha ya video.

Ukawa badala ya kuchekelea vitu kama hivi inabidi mvikemee kwa sabau watanzania hawapendi vurugu, hawatamchagua mtu anayeandaa vikundi vya vurugu.

acha fikra potofu kudhani kila anayepiga ccm na mgombea wake wameandaliwa. kwahiyo mtu akikupinga amebutuga amani?halafu kwani watu wanaopaswa kwenda kwrnye mikutano ya kampeni ni wafuasi wa chama tu au bado ni upotofu uliopitiliza? i hope that mesaage is sent very loud and clear kwa mgombea kuhusu msimamo wa wananchi wa eneo husika.
 
Ujinga na upumbavu mtupu?

Hivi unadhani na watu wa Magufuli wakianza kufanya hiki kinachofanywa na wajinfa wakisaidiana na wapumbavu kutakuwa na amani katika kampeni za uchaguzi.

Mshukuru watu wa upande wa Magufuli ni wastaarabu na wanafahamu dhana ya kukubali kutokubaliana katika msingi wa demokrasia.

mna ustaarabu gani? mbona mlitaka kumtoa roho mkuu wa sungusungu?huu mwaka hamchomoki hata dunia inajua kuwa hamshindi that's why the hague wapo 120 hapa wanawavizia tu,jinsi mlivyo kiherehere ingekuwa Lowassa kaambiwa hivyo hilo ndo lingekuwa tangazo kubwa la TBC na Star TV,kama flashback kubwa ya kampeni zenu.
 
Kama kuna chama kisichokuwa na ustaarabu duniani ni CCM,Mfano i.Kauli ya goli la mkono ii.Kauli za Bulembe iii.Matusi ya Mkapa Jangwani na Bukoba vs Kibajaj + Msukuma iv.Nunua nunua wasani na Viongozi wa upinzani v.Mashabiki kugaiwa tiketi na mabango taifa vi.Ulaghai wa kisiasa wa Masaburi etal NB:LOWASSA ANATOSHA!

Dah hadi aibu.ccm wanahangaika kama punda anaetaka kuzaa. Wanahangaika na mbinu zote chafu zinabuma.
 
Sijaelewa wazuia msafala na kudai wanataka Lowasa how?
Tutajie eneo ?
Maana apo naona pia makada wa CCM na pia vijana wa CDM kama kawaida yao kuuleta fujo kwenye kusanyiko LA CCM rejea Sugu kupita kwenye mkutano wa Shitambala zaidi ya Mara mbili.
Fujo hazijengi kaa chini sikiliza hoja ufanye maamuzi no wonder Mtikila husema wanakazia viroba na bhangi such that kistaarabu unawaponyoka kabisa

Hujaelewa nini jamaa kaweka maelezo na video juu Hujaelewa nn?? Ndio maana Rais wetu anasema kipaumbele cha kwanza
#1 Elimu
#2 Elimu
#3 Elimu!!!!!
 
Sasa hii ajabu yaani Mh Magufuli amezomewa na vijana wa mjini kijiweni waliochoka na ahadi za mama kuku mwanangu utanyonya kesho mnaanza kutafuta mchawi upinzani. Hao vijana ukiwafuatilia utakuta hawana kadi za chama chochote si chadema wala ccm ni watanzania. Badala ya kukaa chini kujitafakari kwanini vijana hawa makapuku, masulupwete wavaa malapulapu wanatuzomea mjirekebishe mnaanza kuwanyooshea vidole wapinzani, jeshi mnalo, taasisi za utafiti mnazo mngewaomba hata twaweza wafanye utafiti kwanini mnazomewa basi, serikali ipo chini yenu, kodi zote mnakusanya nyie, bajeti mnapanga nyie. Hivi hao vijana wangekuwa wamepewa ajira some where kwenye kiwanda wangeacha kazi kuja kuwazomea? Tujitafakari!!!!
Mimi nashangaa hivi mfanyakazi wa benki kwa mfano anapata wapi muda wa kwenda kumzomea Magufuli? Vijana watafutiwe suluhisho kikwete aliwaahidi ajira angetekeleza angeona kama Magufuli angekuwa anapata tabu
 
Hatuitaki CCM, maana kuendelea ni sawa na kuendeleza mfumo ule ule
 
Kwani alietupa Bomu Arusha hatumjui???? Si mtu savimbi aliuwa watu halafu anajifanya kwenda kutubu kwa TB Joshua. Hiyo laana itamtafuna yeye na kizazi chake.
Hivi ukiulizwa leta evidence ya utaratibu wa CDM kufanya mikutano inayo jirekodi na CCTV kama kwenye ule mkutano wa Arusha walivyofanya unayo?

Halafu yeye ndio mtu pekee mwenye evidence ya video ya tukio, the whole thing is amateurish but then you dont expect extensive planning kwa mtu alieshia form six na kufeli halafu apange mkakati ni Lema; i dont think it a mission kuona nani muhusika wa bomu la Arusha. Halafu watu hawa ndio wapewe nchi kweli, serikari ya Tanzania inamchekea sana Mbowe huo ndio ukweli wenyewe.
 
Kinachoniuma ni kwamba zigo la lawama atarushiwa dereva wake kwa kusimamisha gari! Sasa angeondoaje gari hapo? Namuonea huruma sana maana hana kosa
 
Teh teh teh!!

Kamanda angalieni sana hawa wahuni wanapunguza kura za Ukawa.

Hata Kamanda Mzito Kabwela kachukia sana.

Hakuna kura iliyoandikwa kuwa hizi Kura za wahuni ,hizi za wastaarabu.tunahitaji kura za wananchi wote wa Tanzania.,,UKAWA hatubagui mtu sisi.mmezoea kula mali za Nchi nyinyi wachache mpaka leo mnajisahau kuwatenga Watanzania heti hawa wahuni,mama ntilie,boda boda,..tunataka Raisi wa Watanzania wote na huyo Raisi ni tayari Mh Lowasa.tumeshamchagua.ambaye atawahudumia wahuni ,wastaarabu,walemavu,nk.
 
Last edited by a moderator:
#mabadiliko bbbbbb.jpg
 
Back
Top Bottom