Elections 2015 Magufuli akutana na nguvu ya Umma Mbeya, azomewa, aambiwa wanamtaka Lowassa


Wahuni na wanywa viroba wametokana na serikali gani?viroba vinauzwa Zambia wengine ndugu zenu hata kama wamekosea matusi hayajengi.
 
Hawakuletwa na malori lskini! Ila amewakuta wamejikalia zao njiani wakiwa hawana ajira ya uhakika ma labda wakiwa wanawakimbia mgambo
Nasikia kawaambia hapa kazi tu,

Watu hawanakazi wako kijiweni wewe unawaambia #Hapakazi tu ni kama kuwasanifu.
 
Mrundi ni wewe mfungwa.mm ni mtanzania halisi.

# hapa ni kazi tu. Achana na warundi wenye majungu,umbea na fujo. Wamegawa chama kizuri kwa fisi. Mfungwa anaangalia mtu sio chama.
 
wapumbavu tu wananyweshwa viroba na kulipwa. huku mtaani wanazunguka na bodaboda kushusha bendera za mashina za ccm usiku. sijui wanadhani watamuingiza lowassa ikulu kwa hila na mazingaumbwe baada ya kushindwa kumuhonga kila mtu?
 
Hahahahaaa hahahaaa kuzomewa kubaya sana, kuna kumaliza kisaikolojia kabisa aiseee, Kwanini hakupiga push ups kidogo? Dah

Hahahahahaaaa nadhani angepiga pushup wananchi wangeacha kumzomea wamshangilie
 
Issue ya Burkina Faso na Tanzania hazina uhusiano wowote usichanganye mambo Tanzania ni nchi ya demokrasia wananchi ndiyo wanahamua.

Kamwambie hayo Mzee wa Kuwait anayeifananisha Tanzania na Libya ya Gadafi ,Kuwait ya Saddam Hussein au Rwanda.

Aache huo uchochezi, Vitisho na upotoshaji mara moja.
 
# hapa ni kazi tu. Achana na warundi wenye majungu,umbea na fujo. Wamegawa chama kizuri kwa fisi. Mfungwa anaangalia mtu sio chama.

Kama akilini mwako ni Magufuli, basi wewe utakuwa kilaza wa kutupwa.
 

Kama mlisema Lowassa mwizi wa Richmond na mpaka leo serikali ina kigugumizi itakuwa Mbowe?
 
Safari hii ccm chamoto mnakiona aisee! noma sana
 

Hahahhahaahahhahaaaaa yani umeandika upuuuuuziiiii!!! Umetia aibu kama makufuli wenu hahahahaaaaaa
 
Mbeya Leo asubuhi alipokuwa anaenda Mbarali Wananchi walizuia msafara wake na kumwambia wanataka mabadiliko na mtu wa kuyaleta mabadiliko ni Lowassa

siku ya kufa nyani miti yote hutereza
 
Last edited by a moderator:

Unaujua unafiki was viongozi was ccm? na wanaosema lowasa mgonjwa so ni viongozi? wanaosema amejinyea si ni viongozi? walijitokeza kukemea Duni alipozomewa Nzega? je masaburi anayelipa vijana kuandamana kwenda ufipa siyo kiongozi? ni nani alijitokeza kukemea! hawa ni vijana tu waliopigika na maisha hawana hata kadi ya chadema ni matunda ya utawala mbovu was ccm
 
UKAWA mjifunze siasa za kuvjmiliana. Kama tukiendekeza zomea zomea sijui kama tutafanikiwa kimaendeleo. Ndo maana wenye akili wanawakimbia. Wanabaki wajinga tu na malofa

Wewe ujingawako kikamtu anafahamu humu jf,wajinga unawafahamu wewe?mjue TIBAIJUKA,MAGUFULI.KIKWETE,NAPE,JANUARY.hao ndio wajinga wenzio sio sisi.
 
Kama akilini mwako ni Magufuli, basi wewe utakuwa kilaza wa kutupwa.

# hapa ni kazi tu. Ukawa matusi yote bebeni. Sababu wengi wenu ni photocopy. Original kichwani ni kazi tu.Bebeni hao.
 

Attachments

  • 1443363685646.jpg
    16.8 KB · Views: 191
Nina hakika hapo ndio kajua kuwa hata shinda
 
Kama mlisema Lowassa mwizi wa Richmond na mpaka leo serikali ina kigugumizi itakuwa Mbowe?
Kuiba ni dhambi lakini siasa zinazoweka maisha ya watu hatiani ni dhambi zaidi. Sasa mwizi na mtu anaependa siasa za fujo wakikutana ndio dhambi kubwa kwa bwana godi na sheria za nchi zinatueleza.

Nakushauri achana UKAWA kwa sasa jamaa ni hatari kwa taifa; tumia akili tu wala si kingine. Magufuli analengo la kuwanyoosha wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…