Elections 2015 Magufuli akutana na nguvu ya Umma Mbeya, azomewa, aambiwa wanamtaka Lowassa


Wewe self-proclaimed 'mstaarabu' .. onyesha mfano basi kwa kutumia lugha ya kistaarabu..
 
Hii kiboko , mbeya si alishafanya mikutano mbona anarudi tena?au ndiyo wameambiwa mbeya haijaelewa somo wakafanye marudio.Nazidi kuamini kuwa uchaguzi mwaka huu vijana ndiyo watakaoamua matokeo kama vile kwenye mpira wanasema penati ndiyo zinaamua matokeo.
Halafu takwimu zinasema asilimia 75 waliojiandikisha Ni vijana hivyo Kuna kila dalili uchaguzi mwaka huu ukaleta historia mpya.
kwenye hii clip nimeona jamaa amevaa kijano njano anampiga kijana mmojawapo bila mafanikio halafu kijana amempotezea hii si kuanzisha fujo wakimtandika atamlaumu nani?
wametumia haki Yao ya demokrasia vijana hawajamtukana mtu wala kumpiga mtu hii tunaiona hata ulaya,misri,Tunisia,Asia nk
wengine wanakusimamisha uwahutubie wengine wanakuonyesha hisia zao hiyo ndiyo demokrasia
nimependa polisi wetu wameonyesha kuwa Ni professional wametulia inanikumbusha kidogo na ile habari ya tahrir square, cairo
 
Mkuu ni raisi kubaini wanaohusika na utoto huo,ni kitu kilicho pangwa in advance - hizo ni dalili tosha za wafa maji watafanya lolote kujipa matumaini hewa, Watanzania walio wengi watamuingiza Ikulu Dk.JPM kwa kura za kishindo uvuvuzela wa baadhi ya wanaukawa wa huko Mbeya na kwengineko notwithstanding,jitayarishe 4 a telling blow baada ya kutangaza matokeo ya kura za Urais,sijui hawa waigizaji wanao jaribu kumkatisha tamaa Tingatinga nyuso zao watazificha WAPI?
 
Hahahahaaa hahahaaa kuzomewa kubaya sana, kuna kumaliza kisaikolojia kabisa aiseee, Kwanini hakupiga push ups kidogo? Dah

Ha ha ha angepanda juu akapiga push ups, anajitia pawa mabula lol
 
Ushindi hatokani na makelele au kunyoosha vidole juu. Wakiendelea hivi hata sisi tutawajibu

Wanaccm Siku izi Hamna Mvuto Mkipita Bara barani na Manguo Yenu. Watu wanadhani Bundi Anapita.

Sasa Mtamjibu Nani? Tulieni Dawa ya Lowassa iwaingie, Mtatafutana Mwaka Huu. Wananchi tumesha Amua Lowassa Ndiye Rais.
 


makada wa ccm mtamuona wapi Lowassa ile hali yeye kwa sasa ni anga kwa anga...
 
Tunaisambaza hii video tuone kama mamvi atafanya mikutano Kanda ya Ziwa!

Wewe acha kabisa tunamsubiria LOWASA kwa hamu,kanda ya ziwa sio ya kwako pekeyako sisi tunamtaka labda wewe na mkeo.
 
Hupaswi onea huruma adui yako...
Tatizo sio Magufuli bali ni CCM yake, CCM ni gari bovu na huwezi sukuma gari bovu ukiwa umelipanda inabidi ushuke usukume au upande jingine

Nae ameshakua gari bovu tu nyo nini mtu mzima kwenda kubinua vikalio jukwaani eti anathibitishia watu yupo fiti
tuna mashaka hajakatwa, avue basi kuthibitisha na hilo
 

Mkuu kwani CCM bado ina wafuasi? Wanaohudhuria mikutano ya Magufuli sio ndo wale Magufuli mwenyewe kawashtukia kua mchana wako nae usiku wanahamia kwingine?
 
Naziona siku 27 ngumu za kampeni. Naomba tuvumiliane, hivi nini kitatokea kama wafuasi wa CCM nao wakianza kuvuruga utulivu wa mikutano ya Lowasa kwa kuzomea?
 
Hilo la ugonjwa liko wazi wala si kumvunjia heshima Lowassa anaumwa.

Tukio la duni ni recently na kikubwa wananchi walitaka kusikia hoja sio matusi aliyoyaanzisha kwa CCM, either way sikubaliani na kuzomewa kwake sio ustaarabu hila viongozi wa CCM wamekuwa wakisema sana kwa wanachama wao kuacha kuzomea watu na kueshimu maamuzi ya wengine sijasikia UKAWA wakitoa matamshi ya aina hiyo tangia uchaguzi uanze.
 
Ustaarabu wako kamfunze kwanza Msukuma,

Baada ya jana Vincent kumjibu Msukuma kuwa mzee pusher ana mkono wa sweta leo mko kimya hata hamgusii matusi yenu.

Acheni kulialia dawa ya moto haijawa maji hata siku moja ni moto.
 
Mkuu nakwazika sana binadamu kuitwa NYUMBU, umeshindwa kabisa kupata neno mbadala?

Pole mkuu,namaanisha nyumbu,bila shaka umewaona binadamu waliojitoa ufahamu wanavyolialia humu!
 
Mpaka wana ccm nao wanashangilia, aiseee!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…