Elections 2015 Magufuli akutana na nguvu ya Umma Mbeya, azomewa, aambiwa wanamtaka Lowassa

Elections 2015 Magufuli akutana na nguvu ya Umma Mbeya, azomewa, aambiwa wanamtaka Lowassa

Ujinga na upumbavu mtupu?

Hivi unadhani na watu wa Magufuli wakianza kufanya hiki kinachofanywa na wajinfa wakisaidiana na wapumbavu kutakuwa na amani katika kampeni za uchaguzi.

Mshukuru watu wa upande wa Magufuli ni wastaarabu na wanafahamu dhana ya kukubali kutokubaliana katika msingi wa demokrasia.

Wewe self-proclaimed 'mstaarabu' .. onyesha mfano basi kwa kutumia lugha ya kistaarabu..
 
Hii kiboko , mbeya si alishafanya mikutano mbona anarudi tena?au ndiyo wameambiwa mbeya haijaelewa somo wakafanye marudio.Nazidi kuamini kuwa uchaguzi mwaka huu vijana ndiyo watakaoamua matokeo kama vile kwenye mpira wanasema penati ndiyo zinaamua matokeo.
Halafu takwimu zinasema asilimia 75 waliojiandikisha Ni vijana hivyo Kuna kila dalili uchaguzi mwaka huu ukaleta historia mpya.
kwenye hii clip nimeona jamaa amevaa kijano njano anampiga kijana mmojawapo bila mafanikio halafu kijana amempotezea hii si kuanzisha fujo wakimtandika atamlaumu nani?
wametumia haki Yao ya demokrasia vijana hawajamtukana mtu wala kumpiga mtu hii tunaiona hata ulaya,misri,Tunisia,Asia nk
wengine wanakusimamisha uwahutubie wengine wanakuonyesha hisia zao hiyo ndiyo demokrasia
nimependa polisi wetu wameonyesha kuwa Ni professional wametulia inanikumbusha kidogo na ile habari ya tahrir square, cairo
 
Ujinga na upumbavu mtupu?

Hivi unadhani na watu wa Magufuli wakianza kufanya hiki kinachofanywa na wajinfa wakisaidiana na wapumbavu kutakuwa na amani katika kampeni za uchaguzi.

Mshukuru watu wa upande wa Magufuli ni wastaarabu na wanafahamu dhana ya kukubali kutokubaliana katika msingi wa demokrasia.
Mkuu ni raisi kubaini wanaohusika na utoto huo,ni kitu kilicho pangwa in advance - hizo ni dalili tosha za wafa maji watafanya lolote kujipa matumaini hewa, Watanzania walio wengi watamuingiza Ikulu Dk.JPM kwa kura za kishindo uvuvuzela wa baadhi ya wanaukawa wa huko Mbeya na kwengineko notwithstanding,jitayarishe 4 a telling blow baada ya kutangaza matokeo ya kura za Urais,sijui hawa waigizaji wanao jaribu kumkatisha tamaa Tingatinga nyuso zao watazificha WAPI?
 
Hahahahaaa hahahaaa kuzomewa kubaya sana, kuna kumaliza kisaikolojia kabisa aiseee, Kwanini hakupiga push ups kidogo? Dah

Ha ha ha angepanda juu akapiga push ups, anajitia pawa mabula lol
 
Ushindi hatokani na makelele au kunyoosha vidole juu. Wakiendelea hivi hata sisi tutawajibu

Wanaccm Siku izi Hamna Mvuto Mkipita Bara barani na Manguo Yenu. Watu wanadhani Bundi Anapita.

Sasa Mtamjibu Nani? Tulieni Dawa ya Lowassa iwaingie, Mtatafutana Mwaka Huu. Wananchi tumesha Amua Lowassa Ndiye Rais.
 
Sijaelewa wazuia msafala na kudai wanataka Lowasa how?
Tutajie eneo ?
Maana apo naona pia makada wa CCM na pia vijana wa CDM kama kawaida yao kuuleta fujo kwenye kusanyiko LA CCM rejea Sugu kupita kwenye mkutano wa Shitambala zaidi ya Mara mbili.
Fujo hazijengi kaa chini sikiliza hoja ufanye maamuzi no wonder Mtikila husema wanakazia viroba na bhangi such that kistaarabu unawaponyoka kabisa


makada wa ccm mtamuona wapi Lowassa ile hali yeye kwa sasa ni anga kwa anga...
 
Hupaswi onea huruma adui yako...
Tatizo sio Magufuli bali ni CCM yake, CCM ni gari bovu na huwezi sukuma gari bovu ukiwa umelipanda inabidi ushuke usukume au upande jingine

Nae ameshakua gari bovu tu nyo nini mtu mzima kwenda kubinua vikalio jukwaani eti anathibitishia watu yupo fiti
tuna mashaka hajakatwa, avue basi kuthibitisha na hilo
 
UHUNI kila mtu anauweza ila tumestaarabika...nadhani CCM wanapaswa kuanza mbinu hizi za kutuma vijana wao kwenye mikutano ya UKIWA ili tuone nani ataumia kama sio huyo mamvi....

Ukiona watu wanashabikia uhuni huu jua nao ni wahuni na wanywa viroba...

Mkuu kwani CCM bado ina wafuasi? Wanaohudhuria mikutano ya Magufuli sio ndo wale Magufuli mwenyewe kawashtukia kua mchana wako nae usiku wanahamia kwingine?
 
Naziona siku 27 ngumu za kampeni. Naomba tuvumiliane, hivi nini kitatokea kama wafuasi wa CCM nao wakianza kuvuruga utulivu wa mikutano ya Lowasa kwa kuzomea?
 
Unaujua unafiki was viongozi was ccm? na wanaosema lowasa mgonjwa so ni viongozi? wanaosema amejinyea si ni viongozi? walijitokeza kukemea Duni alipozomewa Nzega? je masaburi anayelipa vijana kuandamana kwenda ufipa siyo kiongozi? ni nani alijitokeza kukemea! hawa ni vijana tu waliopigika na maisha hawana hata kadi ya chadema ni matunda ya utawala mbovu was ccm
Hilo la ugonjwa liko wazi wala si kumvunjia heshima Lowassa anaumwa.

Tukio la duni ni recently na kikubwa wananchi walitaka kusikia hoja sio matusi aliyoyaanzisha kwa CCM, either way sikubaliani na kuzomewa kwake sio ustaarabu hila viongozi wa CCM wamekuwa wakisema sana kwa wanachama wao kuacha kuzomea watu na kueshimu maamuzi ya wengine sijasikia UKAWA wakitoa matamshi ya aina hiyo tangia uchaguzi uanze.
 
Pro-Chadema kuweni wavumilivu October 25 siyo mbali kama mnaamini nyie ni nguvu ya umma subirini mpige kura siyo kuleta fujo kwenye mikutano ya vyama vingine.

Hata kama hamkubaliani na huyo mgombea fujo za nini wafuasi wao nao wakijibu kwa mgombea wenu mtakuwa wavumilivu.

Fanyeni siasa za kistaarabu msiwe malofa.
Ustaarabu wako kamfunze kwanza Msukuma,

Baada ya jana Vincent kumjibu Msukuma kuwa mzee pusher ana mkono wa sweta leo mko kimya hata hamgusii matusi yenu.

Acheni kulialia dawa ya moto haijawa maji hata siku moja ni moto.
 
Back
Top Bottom