Magufuli alikuwa muongo sana

Kweli ya wapi? Ule ulikuwa uongo wa wazi. Babu yangu alikuwa anamuamini ile mbaya, nikawa namuuliza aseme ni kipimo gani ametumia kujua idadi ya samaki huko kwenye maji, akawa anasema eti serikali ina mkono mrefu!
Kama ni kweli kuwa serikali ina mkono mrefu, yawezekana huyo babu yako alikuwa sahihi.
Don't underrate him.
 
Hivi nani alituletea huyu mwongo naye ashitakiwe kwa kiltuletea kichaa.alikuwa mwongo katili mwizi tapeli.yeye kundi lake
 
Mafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lisu maana 2025 hana chake tena.

Ccm itaendelea kupeta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…