Magufuli alikuwa muongo sana

Hahaaaa!!!!!then et mataga walimuona geneus

Ni lini mishahara ililipwa tarehe 15 au 20 ya mwezi unaofuata?

Mimi sikumbuki aisee kwenye utawala wa Kikwete sikumbuki nasisitiza kama kuna mtu anakumbuka aniambie.
View attachment 1831163
Kuna kipindi uwa najiuliza kuwa hivi kwa nini waliruhusu nchi kuongozwa na kichaa?nikapata jibu kuwa:
Wahusika walifikiri kuwa kwa kumuweka kichaa ikulu wataweza kumrubuni na kuiba kisha kumpa kichaa kesi,kibao kikageuka,kichaa akaanza kuwafunga na kuwaua na kuharibu dili zao.
 
Mabeberu Sasa yanatudhihaki lakini Mungu wetu mkuu, atanyanyua Tena mtetezi mwingine.

Nawaambia nyie mabeberu na makuwadi wenu hamtaitawala hii nchi milele.

Tanzania sio ya kwenu.
 
EeeeenHeee!

Mkuu 'The great'

Wewe ni the great hasa bila utani.

Hiyo ni orodha kamilifu haswa.

Sidhani kwamba Tanzania patatokea tena kiongozi wa aina yake tena! Labda baada ya miaka mia.

Huyu alikuwa ni mtu wa ajabu sana. Akiigiza umalaika, utadhani ni malaika hasa. Jamaa anaingia kanisani na jeshi lake na kundi zima la wapiga picha wamwonyeshe akisali kwa unyeyekevu mkubwa

Anapoamua kuwa shetani, anakuwa shetani kwelikweli. Hata hao wenye kanisa lao anakwenda kuwahubiria kuhusu imani zao hafifu!
 
Mabeberu Sasa yanatudhihaki lakini Mungu wetu mkuu, atanyanyua Tena mtetezi mwingine.

Nawaambia nyie mabeberu na makuwadi wenu hamtaitawala hii nchi milele.

Tanzania sio ya kwenu.
Sijui huyo "mtetezi mwingine" atapatikana kutoka wapi mkuu 'Statesman,' nje ya CCM? Maana huko ndani sioni yeyote kwa wakati huu. Utawategemea akina Mwigulu?
 
"Skin jeans kubana mtaani"maraika watoa kichapo,waliokuwa likizo kuitwa"
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂👋👍👍👍👍👍Umetisha
 
Corona imetusaidia sana maana dhalim alikuwa anaipeleka nchi kuzimu kabisa.
 
Ni lini mishahara ililipwa tarehe 15 au 20 ya mwezi unaofuata?

Mimi sikumbuki aisee kwenye utawala wa Kikwete sikumbuki nasisitiza kama kuna mtu anakumbuka aniambie.
View attachment 1831163
Alichozungumza hapa ni kweli, japo sio kipindi cha JK, lakini kuna wakati miaka ya 96 hivi walikuwa wanachelewa sana kupokea mshahara. Mfano wik iliyopita ndio unakuta wamepokea ya mwez uliopita. (Wa 5) ilikuwa kawaida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…