Magufuli alikuwa muongo sana


hahaha unaumia ama? kwan IMF walisemaje walivokuja apa?
 
Na mm nmeongezea viongozi wengine waongo! vp unaumia?

Unaweza kuanzisha uzi wako

2 + 2 huwezi kujibadilishia tendo la kujumlisha ukaweka kuzidisha 2x2

Unajitungia swali lingine tofauti shekhe acha ujinga

Unaweza kukanusha au kusapoti

Mada YETU hiiπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Magufuli alikuwa muongo sana​

 
Hakuna Rais aliyekuwa muongo na tapeli kama Nyerere. Shida humu tumevamiwa na watoto+vilaza mnaochagua kusikiliza yale mnayoyapenda.
Mada inamuongelea Magufuli, wewe unaleta stori za Nyerere! Si uanzishe uzi rasmi wa kuongelea huo uongo wake?

Unatuaibisha bhana watu wazima wenzako kwa kutoka nje ya mada kirahisi namna hii!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…