Magufuli alikuwa muongo sana

Magufuli alikuwa muongo sana

Enzi hizo alikuwa akijisifia kwenye hotuba zake eti uchumi unakua kwa 7.3% kila mwaka! Na wakati hali ilikuwa ni tete kweli kweli, kiasi cha kufikia hatua ya kuzinguana na IMF!

Kwenye kampeni alikuja na milioni 50 kila Kijiji!!

Alitudanganya bei ya sukari eti aliikuta ikiwa tsh elfu 5 na hivyo akafanikiwa kuishusha mpaka tsh 3000! 😁😁😁

Na ilikuwa ukimpinga tu, kesho unashangaa uko Mahakama ya Kisutu kwa kosha la uhujumu uchumi, utakatishaji fedha na kuendesha genge la uhalifu! Kesi haina dhamana, unaishia jela!

Alifurahi huyo alipoambiwa eti Tanzania imepanda na kuwa nchi ya uchumi wa kati! 😁😁😁 Dah! Miccm ilitulingishia kipindi hicho!! We acha tu!!

hahaha unaumia ama? kwan IMF walisemaje walivokuja apa?
 
Huyu si ndiye alituambia kitambulisho cha machinga wanaweza kukopea hela benki

Wakati
Hakina
Jina
Signature
Picha
Wala makazi au malazi

Alikuwa bingwa wa utapeli na uwongo

1624779019928.png

na hawa apa je?
 
Hakuna Rais aliyekuwa muongo na tapeli kama Nyerere. Shida humu tumevamiwa na watoto+vilaza mnaochagua kusikiliza yale mnayoyapenda.
Mada inamuongelea Magufuli, wewe unaleta stori za Nyerere! Si uanzishe uzi rasmi wa kuongelea huo uongo wake?

Unatuaibisha bhana watu wazima wenzako kwa kutoka nje ya mada kirahisi namna hii!!
 
Back
Top Bottom