Magufuli alikuwa muongo sana

Magufuli alikuwa muongo sana

Alichozungumza hapa ni kweli, japo sio kipindi cha JK, lakini kuna wakati miaka ya 96 hivi walikuwa wanachelewa sana kupokea mshahara. Mfano wik iliyopita ndio unakuta wamepokea ya mwez uliopita. (Wa 5) ilikuwa kawaida.

Mkuu miaka hiyo iliathiriwa na teknolojia, mishahara ilikuwa inachukuliwa dirishani na zisafirishwe toka Benki Kuu, kwanini isichelewe
 
Ni lini mishahara ililipwa tarehe 15 au 20 ya mwezi unaofuata?

Mimi sikumbuki aisee kwenye utawala wa Kikwete sikumbuki nasisitiza kama kuna mtu anakumbuka aniambie.
View attachment 1831163
Angeendelea miaka mitano tena, angebadili katiba na kuwa rais wa maisha.
Kina Bulembo, Sanga na hata Ndugai walishaanza kupiga ndogondogo kubadili katiba.
 
Utapigana na marehemu mpaka lini? Je! Ukimshinda marehemu unataka zawadi gani?
Aliposema nitawajengea flyover Dsm ni muongo! Aliposema nitajenga mji wa serikali Dodoma! Aliposema tutajenga mtambo wa umeme rufiji ni muongo! Alposema elimu bure ni muongo. Tusidhalilishe hayati haitusaidii sana kimaadili. Tuwe na kiasi kwenye kauli sote ni waja wake.
 
Kwenye medani ya uongo na uzandiki mbona hana mpinzani huyo. Anapita bila kupingwa wala hafanyi hata kampeni (CV yake inambeba kishenz).

● Alituambia tuwachange bukoba wahanga wa tetemeko waliovunjiwa nyumba zao. Tukajikaza kiaskari na kujibana watanzania kuwachangia. Waulize kama waliona hata Sh 100 ya ujenzi wa nyumba zao.

● Alituambia kila mwalimu atapewa Laptop. Waulize kama amepewa hata mmoja.

● Alituambia kila kijiji atawapa Millioni 50 kwaajili ya kufanya maendeleo na uchumi. Waulize kama waliiona hio hela.

● Alituambia wafanyakazi sekta za umma/walimu, wataongezewa mishahara na madaraja kabla hajaondoka. Waulize kama wameongezewa hizo nyongeza za mishahara na madaraja (Labda madaraja ya ubungo na mfugale ndio wameyaona).

● Alituambia tutalipwa hela ndefu kwenye fidia ya makinikia. Kila raia noah moja moja. Waulize kama mabeberu walitoa hio hela.

● Alituambia Tanzania tutatoa misaada kwa wazungu, sisi ni "DONA KANTRI". Hakuna cha donna wala sembe, ni mwendo wa hali ngumu mpaka skin tight kupwaya mitaani.

● Alituambia serikali yake kutakua hakuna wizi wala ufisadi, na atakefanya ufisadi wa hela basi zitamtokea tundu lolote. Mbona yeye na kina Ole Sabaaya na Makonda walifisadi nchi na kuiba.

● Kwenye kutupa idadi za samaki, watoto wa samaki pamoja na mayai yao kwenye Ziwa Victoria na Baharini. Wala tusipagusie kabisa, tuache hio issue siku ingine.

Yule mzee sio kabisa. Siku alivyofukiwa mpaka malaika watoa kichapo waliokua likizo, ilibidi waitwe kazini kwa dharura kumpokea.
Alisema pia nchi yetu haina corona na kuwa ata mapapai yameonekana na corona kwa mujibu wa vipimo vya maabara
 
Aliposema nitawajengea flyover Dsm ni muongo! Aliposema nitajenga mji wa serikali Dodoma! Aliposema tutajenga mtambo wa umeme rufiji ni muongo! Alposema elimu bure ni muongo. Tusidhalilishe hayati haitusaidii sana kimaadili. Tuwe na kiasi kwenye kauli sote ni waja wake.
Nimesoma mpaka kwenye elimu bure nikaacha kusoma
 
Magu alikuwa mtu wa fix sana.. alisema Saddam Hussein ni rais wa Kuwait, mara tunajenga kwa hela za ndani wakati amekopa kuliko marais wote waliopita , kakuta deni la nchi ni trillion 36 ( ndani ya miaka 55 ya uhuru) yeye amekopa mpaka trillion 61( Trillion 25 peke yake, na tena ni ndani ya miaka mitano tu). Sijui angemaliza miaka 10 angekopa sh ngapi! Chizi kweli lile
 
Aliposema nitawajengea flyover Dsm ni muongo! Aliposema nitajenga mji wa serikali Dodoma! Aliposema tutajenga mtambo wa umeme rufiji ni muongo! Alposema elimu bure ni muongo. Tusidhalilishe hayati haitusaidii sana kimaadili. Tuwe na kiasi kwenye kauli sote ni waja wake.
Aliposema tunajenga kwa fedha za ndani wakati anakopa kila uchwao alikuwa mkweli? Kama mkweli deni liketoka wapi?

Wenzie mbona wamejenga vitu vikubwa tu na vinakumbukwa hadi leo hii mbona hawakuwa na sifa na matangazo kama alivyo kuwa anataka yeye? Kufanya machache kwa ukweli hakumuondolei kuwa alikuwa muongo.
 
Mpaka kuna wakati nikikumbuka amekufa, najiuliza hivi ni kweli amekufa yule muuaji ama naota! Alikuwa anatupeleka kuzimu, na mbaya zaidi alikuwa anatengeneza mazingira aongezewe muda wa kutawala kupitia kwa chizi lingine la mirembe, " atake asitake!"
 
Back
Top Bottom