Magufuli aliniongezea 70,000/= Kwa kupunguza paye, Samia kaniongeza 20,000/= Kwa asilimia 23.3%

Nimepata nyongeza kubwa ya mshahara wakati wa Magufuli kuliko wakati wa Samia japo wakati wa Samia asilimia ni kubwa.

Sina mengi ya kuongeza lakini naendelea kumshukuru Hayati DR.John Pombe Magufuli , Mungu amlaze mahali pema, tutakukumbuka daima
Upuuzi mtupu timu MATAGA
 
Nimepata nyongeza kubwa ya mshahara wakati wa Magufuli kuliko wakati wa Samia japo wakati wa Samia asilimia ni kubwa.

Sina mengi ya kuongeza lakini naendelea kumshukuru Hayati DR.John Pombe Magufuli , Mungu amlaze mahali pema, tutakukumbuka daima
Umeongezewa ngapi kwa kupanda madaraja mwaka jana kisha jumlosha na hiyo asilimia.Majibu tafadhali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mazingira cheo hiko umeona kama offer, na nyongeza ya 55K imekupumbaza kabisa yani
 
Wakati huo mkulima kilo 1 ya mchele aliuza 600 na 700 na wakati huo kalima heka 1 kwa 800000.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maskini kama wewe ndio kutwa kulalama kama chura msimu wa mvua..

Na bado mama atazidi kukaza na cha kumfanya huna..

Narudia tena kukwambia kama ulitegemea kufaidika na jasho la mkulima imekukata,jipange ukalime Ili uje uuze Mazao Kwa bei ya chini..

Endelea kujifariji kwa kujichekesha huku ukiugulia ndani Kwa ndani
 
Walalamikaji ni kundi fulani la wachache waliokula sana bata awamu ya tano. Siku hazigandi.
 
Poleni sana, binadamu hamuishiwi lawama...
 
Chawa!
 


Nipo naikula hii 20 niliyopewa na SSH.Me vyovyote tu itakavyokuwa poa tu.

"Maisha hayana maana " E .Kezilahabi
 
Walizaliwa, tukazaliwa na wanazaliwa mwisho wa yote sote tutakufa na tutasahau yote '

Ndivyo awazavyo mwanasiasa.

Politics is an art or science of possible🤣🤣
 
Nimepata nyongeza kubwa ya mshahara wakati wa Magufuli kuliko wakati wa Samia japo wakati wa Samia asilimia ni kubwa.

Sina mengi ya kuongeza lakini naendelea kumshukuru Hayati DR.John Pombe Magufuli , Mungu amlaze mahali pema, tutakukumbuka daima
Hujui hata wanaposema kima cha chini hujui unaweweseka weweseka tu hapo.
Kamfufue uzikwe wewe
 
Nimepata nyongeza kubwa ya mshahara wakati wa Magufuli kuliko wakati wa Samia japo wakati wa Samia asilimia ni kubwa.

Sina mengi ya kuongeza lakini naendelea kumshukuru Hayati DR.John Pombe Magufuli , Mungu amlaze mahali pema, tutakukumbuka daima
Tshs 70,000 kwa miaka sita ?
 

Wewe umepanda daraja, sisi wengine huku ambao tulinufaika na bei ndogo ya vitu tufanyaje? Wewe hilo daraja na bei kupanda kuna potential increase in your income?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…