Magufuli aliniongezea 70,000/= Kwa kupunguza paye, Samia kaniongeza 20,000/= Kwa asilimia 23.3%

Magufuli aliniongezea 70,000/= Kwa kupunguza paye, Samia kaniongeza 20,000/= Kwa asilimia 23.3%

Hayati Magufuli alikuwa ana nia njema na Taifa hili, ila wahuni wachache hasa waliokuwa karibu nae wakamzunguka wakamtoa kafara..

Kwa jinsi gharama ya maisha ilivyopanda, sikutegemea huyu mama aongeze elfu 20 tu..

Hakika Magufuli ataendelea kukumbukwa na watu wenye akili njema..
Nikweli,hata adorfu Hitra anakumbukwa pia
 
Mkuu kwanza tambua kuwa Mimi sio chawa, pili Mimi sio mnafiki ukweli lazima usemwe kuwa mama anaupiga mwingi, kaingia madarakani ndani ya miezi mitatu nikapanda daraja ambalo lilikuwa na ongezeko la kiasi Cha shilingi 170,000,kamaliza mwaka kaniongezea kiasi Cha sh 55,000 Sasa bado Ni kae
Nalia Lia?,mama anajitahidi kwa kiasi chake.

Tutamuelewa mama tukiacha kumlinganisha na watu wengine,na pia pale tutakapo tambua kuwa mama ndiye rais wetu na hakuna mwingine na tuko naye Hadi mwaka 2030.


Mitano tena kwa mama samia
Exactly, hao misukule ya mwendazake hawawezi kukuelewa kamwe ,
 
Yule alikua Mwamba. Alijua tofauti ya wingi wa pesa na thamani ya pesa.

Najaribu tu kuwaza, hivi ikafikia kipindi dola moja sawa na Tsh 1000, kwa mishahara ilivyomikubwa saizi, serikali itapunguza hiyo mishahara?
Sawa, kazikwe nae
 
Hayati Magufuli alikuwa ana nia njema na Taifa hili, ila wahuni wachache hasa waliokuwa karibu nae wakamzunguka wakamtoa kafara..

Kwa jinsi gharama ya maisha ilivyopanda, sikutegemea huyu mama aongeze elfu 20 tu..

Hakika Magufuli ataendelea kukumbukwa na watu wenye akili njema..
Mnapigana vita msiyojua adui yake. Mapambano yakitulia kidogo mnasema vita sasa imeisha mnashangilia. Yakilipuka tena mnarudi palepale mwanzo, mnalaumu na kulaaani. Ni hivi: Hii nchi bila kuifanyia marekebisho makubwa ya kimfumo ili wapatikane viongozi bora kabisa, wanaoongozwa na mifumo imara, wenye kuwajibika kwa wananchi, msitegemee mabadiliko yoyote. Haijalishi viongozi watatoka upinzani au CCM, cha maana tuwe na mfumo mzuri. Vinginevyo watu wataendelea kulialia kila siku wakidhani rais aliye madarakani ndiye adui/rafiki wao.
 
Mkuu kwanza tambua kuwa Mimi sio chawa, pili Mimi sio mnafiki ukweli lazima usemwe kuwa mama anaupiga mwingi, kaingia madarakani ndani ya miezi mitatu nikapanda daraja ambalo lilikuwa na ongezeko la kiasi Cha shilingi 170,000,kamaliza mwaka kaniongezea kiasi Cha sh 55,000 Sasa bado Ni kae
Nalia Lia?,mama anajitahidi kwa kiasi chake.

Tutamuelewa mama tukiacha kumlinganisha na watu wengine,na pia pale tutakapo tambua kuwa mama ndiye rais wetu na hakuna mwingine na tuko naye Hadi mwaka 2030.


Mitano tena kwa mama samia
Hapa ndipo utakubali kuwa mwafrika kuitwa nyani au kima ni haki yake. Shilingi laki mbili tu za kitanzania ndiyo zinakufanya useme huyu rais ni mzuri? Kwa nini usiangalia mambo kwa kina zaidi? Halafu mtu kama wewe unaweza ukawa unacheka mababu wa zamani waliokuwa wanabadilisha vipande vya nchi kwa shanga, bila kujua wewe ni mjinga zaidi yao.
 
Mkuu kwanza tambua kuwa Mimi sio chawa, pili Mimi sio mnafiki ukweli lazima usemwe kuwa mama anaupiga mwingi, kaingia madarakani ndani ya miezi mitatu nikapanda daraja ambalo lilikuwa na ongezeko la kiasi Cha shilingi 170,000,kamaliza mwaka kaniongezea kiasi Cha sh 55,000 Sasa bado Ni kae
Nalia Lia?,mama anajitahidi kwa kiasi chake.

Tutamuelewa mama tukiacha kumlinganisha na watu wengine,na pia pale tutakapo tambua kuwa mama ndiye rais wetu na hakuna mwingine na tuko naye Hadi mwaka 2030.


Mitano tena kwa mama samia
Ni vema ukazungumza nini kimeisibu 23%?
 
Rais anatakiwa afanye Mambo bila kujari watu watasema Nini , na kamwe hawezi kuwafurahisha wote, na binadamu ni kiumbe mtata sana Ni ngumu kujua Ni Nini anataka.

Mama kaingia madarakani watumishi wengi ikiwemo Mimi tulipanda madaraja kwa fujo, hajakaa sawa kaweka annual increment lakini bado watu wanalalama, sasa afanye lipi tumuelewe.?

Mitano tena kwa #mama samia
MPUMBAVU WEWE
 
Hapa ndipo utakubali kuwa mwafrika kuitwa nyani au kima ni haki yake. Shilingi laki mbili tu za kitanzania ndiyo zinakufanya useme huyu rais ni mzuri? Kwa nini usiangalia mambo kwa kina zaidi? Halafu mtu kama wewe unaweza ukawa unacheka mababu wa zamani waliokuwa wanabadilisha vipande vya nchi kwa shanga, bila kujua wewe ni mjinga zaidi yao.
Sasa wewe ulitaka nishukuru kwa lipi? Ngazi ya mshahara wangu inaonesha napaswa kupewa kiasi hicho, wewe unakidharau,kwa hiyo unatulazimisha watanzania wote tumchukie mama,kwa lipi? Hama nchi Kama huridhishwi na utawala wa mama,na kwa taarifa yako huyu yupo Hadi mwaka hadi 2030,jipange kisaikolojia,tofauti na hapo utakufa kibudu.
 

Attachments

  • IMG-20220723-WA0005.jpg
    IMG-20220723-WA0005.jpg
    50.3 KB · Views: 4
Back
Top Bottom