Magufuli aliniongezea 70,000/= Kwa kupunguza paye, Samia kaniongeza 20,000/= Kwa asilimia 23.3%

Magufuli aliniongezea 70,000/= Kwa kupunguza paye, Samia kaniongeza 20,000/= Kwa asilimia 23.3%

Kinachitakiwa kwa sasa ni Katiba mpya, nyingine zote ni porojo tu.
Vilio vimetawala kila mahali, ila kuna wanaufaika wachache watakuja na singeli za kaupiga mwingi..
 
Acha mkome! Mngekuwa mnajua kuwa ushawishi na mkandamizo ulitakiwa uwe katika kudhibiti mfumuko wa bei - msingeomba kuongezewa mishahara!!

Na hata wakiwaongezea mishahara tena, bila kuthibiti bei za bidhaa - mtaendelea kulalamika!

Vyama vya wafanyakazi kuweni huru na mdai zaidi kukidhi mahitaji yenu badala ya kuona salary slip ina herufi kubwa kubwa!! Tumieni vyama vyenu kuweka mbinyo wa kuangalia gharama za maisha - sio ongezeko la mshahara!!
 
Acha mkome! Mngekuwa mnajua kuwa ushawishi na mkandamizo ulitakiwa uwe katika kudhibiti mfumuko wa bei - msingeomba kuongezewa mishahara!!

Na hata wakiwaongezea mishahara tena, bila kuthibiti bei za bidhaa - mtaendelea kulalamika!

Vyama vya wafanyakazi kuweni huru na mdai zaidi kukidhi mahitaji yenu badala ya kuona salary slip ina herufi kubwa kubwa!! Tumieni vyama vyenu kuweka mbinyo wa kuangalia gharama za maisha - sio ongezeko la mshahara!!
 
Wewe una furahi mkulima analia watu tuliacha kulima mahindi tumepanda parachichi ndio inalipa mahindi hayakuwa na soko kipindi cha magu
Nyinyi limeni parachichi , ila linapokuja swala la upungufu wa chakula hatuwezi kukaa kuzunguzmzia parachichi.

Ni mahindi na mchele.
 
Hayati Magufuli alikuwa ana nia njema na Taifa hili, ila wahuni wachache hasa waliokuwa karibu nae wakamzunguka wakamtoa kafara..

Kwa jinsi gharama ya maisha ilivyopanda, sikutegemea huyu mama aongeze elfu 20 tu..

Hakika Magufuli ataendelea kukumbukwa na watu wenye akili njema..
Mwamba na jabali la Africa lililosema ukweli daima. Ndyo hata Mimi JPM aliniongeza 70,000/= kwa kupunguza PAYE tofaauti na ongezeko la 20,000 la 23.3% la utawala wa 2022/2023. Huyu mnafiki Mwigulu Nchema na Mzee wa Magomeni na kariakoo wanaleta ulimbukeni wao kuwa wanaobeza nyongeza ya mshahara n wale wenye mshahara Mkubwa?. Hivi Mshahara Mkubwa Ni upi anaousema mzee wa magomeni na kariakoo? . Kweli aliyeshiba hamjui mwenye njaa. Ninyi mnalindwa na mitundu ya bunduki na ving'ora endeleeni kutudhihaki sisi watumishi wa umma of the low income Ila one day mtaelewa consequence ya uongo wenu.
 
For sure nilikua namchukia Sana magu Ila Sasa nimekuja elewa kumbe yule mzee alikua na Nia nzuri tu na watumishi.
Huyu mama kiukweli natamani Sana 2025 wamzunguke apigwe chini ,hajui kitu pia amejaa usanii Sana na ujanja ujanja unaoumiza wengi.

Eeee mungu tupo mbele yako tuondolee huyu mama mswahili kwenye kiti kikubwa hiki kilichomzid uwezo
 
Yule jamaa alinfurahisha kwa namna alivyojuw kulinda vitu, hasa vyakula na mahitaji mengine madogomadogo ambayo kimsingi ndio hugusa wengi (Ngoja nitumie mchele kama mfano).

Kitendo cha Mchele kuganda bei ya 1000-1200 kwa miaka miwili (2020-2021) bila kujali wakati wa mavuno au laah kilinifanya nimkubali sana kwenye food security, kibembe alipoingia tu huyu bibi ndani ya miezi 6 ukafikia 2000/= hapo ndo nilipoanza kushtuka kuwa tunakoelekea ni kubaya.


Ukitaka kutawala vizuri bila kelele hata kama ni mwizi basi hakikisha hauwabinyi watu watu kwenye mahitaji yao ya kila siku (hasa vyakula na viambata vyake) kwasababu hapo ndipo unapogusa hisia za wengi kwa wakati mmoja.

Utakuta mtu analipwa 500000Tsh, ila mtu huyohuyo akiwa na 10000 mkononi bado haitoshi hata kwa mahitaji ya siku moja, emagine ukinunua mchele 2Kg kwenye 5000 unabakiwa na 1000 ambayo haitoshi hata kununua mafuta nusu fanta, haya 10K imeisha hivyo😂.

Sasahivi ni wakati wa mavuno ila gunia la mahindi utalinunu kwa 120k-130k, ikifika december au january tutalinunua kwa 200K, mafuta 5Ltrs 40K, daah😂. Halafu mtu anakuja kutetea eti mfumuko wa bei ni dunia nzima, nimetoka ZAMBIA mwezi uliopita wanaisha life zuri sana, hata Uganda tu hapa hakuna huo mfumuko wa kijinga kweye vyakula.


Haya maisha utayaona mazuri ukiwa mfanyaniashara (ingawa sera nazo ni mbaya), ila kwa watumishi wa umma mtavaa mno suruali moja kwa miezi😂.
Umenena vema Mkuu. Mfumuko wa bei ndilo tatizo kubwa Sana tena sana Tena Sana. Mafuta Lita toka elfu kumi na tano wakati wa JPM Hadi 40,000/= wakati huu wa Rais Samia SULUHU Hassan!. Haijawahi kutokea!. Haijawahi kutokea! Haijawahi!Haijawahi! Haijawahi kutokea.
 
Nimepata nyongeza kubwa ya mshahara wakati wa Magufuli kuliko wakati wa Samia japo wakati wa Samia asilimia ni kubwa.

Sina mengi ya kuongeza lakini naendelea kumshukuru Hayati DR.John Pombe Magufuli , Mungu amlaze mahali pema, tutakukumbuka daima
Mbona wengine kibao tu tumepata daraja jipya na mshahara mpya fasta kipindi cha mama, acheni kupiga sana mayowe kana kwamba mama hajafanya chochote kwenye maslahi ya watumishi........watu kibao tu wamepata daraja na mshahara mpya kipindi hiki cha Bi hangaya.
 
Back
Top Bottom