Elections 2015 Magufuli aliongea na Mh. Waziri Kigoda akiwa ICU!

umenena jambo la maana, sio kila sehemu ni pa mzaha na utoto, tuwaache familia watimize wajibu wao.
Aliyefanya mzaha kwenye msiba ni Magufuli kwa kutumia msiba kuomba kura kiaina kwa kuzungumza uongo unaoweza kuzungumzwa na shetani pekee! Naona mapadlok na ccm pumzi imekata; wako ICU na kungojea mazishi Oct 25!
VIVA mabadiliko!
 
binafsi nimeingia icu ya apollo nilikuwa na mgonjwa wangu huko na baada ya surgery alipelekwa icu.. ni sehem ya wagonjwa mahututi.. ambao wapo chini ya uangalizi maalum.. ni unconscious kabisa.. wanapumua na kula kwa mashine..

sasa hii ya kuandika e mail au kuongea na simu na kuchat ICU ni chai hii
 
Shemeji yangu alipata ajali ya gari Abu Dhabi na alioawafanyia ICU kwa siku zaidi ya 5, tulip example kuzungumza nae, japo kuwa alikuwa na maumivu makali sana. Mara nyingi inawezekana ku fanya mawasiliano mgonjwa akiwa ICU.

Hapa tunaongelea mgonjwa wa cancer na ambaye figo na ini zimefeli,
 
Kiwanda cha Tanalec kinatengeneza transformer na switch gears....kipo opposite na kiwanda cha madawa Ark...mutakumbuka hiki kiwanda cha madawa kina scandal ya kutengeneza dawa za ukimwi kiwango cha sub standard.
 
Shemeji yangu alipata ajali ya gari Abu Dhabi na alioawafanyia ICU kwa siku zaidi ya 5, tulip example kuzungumza nae, japo kuwa alikuwa na maumivu makali sana. Mara nyingi inawezekana ku fanya mawasiliano mgonjwa akiwa ICU.

Mlizungumza nae nini labda tuanzie hapo
 
Aliyesema atafufua Gavana na kufungulia Walawiti mmemuelewa?
 

Uchaguzi unapokaribia naona akili zenu zinazeeka kwa kasi. ICU haimaanishi incapacitation. Unaweza wasiliana vema kabusa. Kwa mara ya kwaza nchi inapata Rais PhD na tusipoaangalia tutachanganyikiwa sana
 
Nasikia alipigiwa na simu kabisa

Wakaongea hadi anaingia ICU

Huyo ndiye mgombea Magufuli

Unajua ukiwa bingwa wa kukariri utakariri mpaka uongo.jamaa kazoea kukariri hata asivyojua maana yake.
 

Acha upotoshaji.
 
Sio wagonjwa wote wanaokuwa ICU wanakuwa incapacitated!

Pili, inategemea Dr Kigoda alikuwa anasumbuliwa na maradhi gani? Mfano, mgonjwa wa kansa anaweza kuwa kwenye 'final days' lakini bado anaongea vizuri.
labda embu uliza kwa nini au mgonjwa mwenye sifa gani anatakiwa kukaa ICU?
Maumivu kama maumivi hayampeleki mtu icu
 
kwani ukiwa ICU hauongei? wewe mtu uchunguzwe akili ,hujui chochote kuhusu ICU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…