Magufuli alipanga bei ya bidhaa mkasema anaingilia soko, Mama ameacha soko liamue mnasema maharage na nyama bei moja

Magufuli alipanga bei ya bidhaa mkasema anaingilia soko, Mama ameacha soko liamue mnasema maharage na nyama bei moja

The Assassin

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2018
Posts
4,942
Reaction score
20,077
Watanzania ni watu wa ajabu sana.

Rais Hayati Magufuli aliamua kuoanga ama kuingilia upangaji wa bei za bidhaa kuwalinda walaji na wauzaji malalamiko yakawa mengi sana kwamba anapanga bei, anaingilia soko.

Mama ameacha soko liamua bado hao hao kina Lissu wanasema Maharage na Nyama bei moja.

Magufuli alikua anatumbua watu mchana kweupe hasa vigogo wa serikalini kina Lissu, Zitto and Co wakasema hafuati sheria za umma, haki za binadamu.

Leo tunaweza kukaa hatuna umeme wala maji miezi na waziri ama mawaziri wapo na mama anawabembeleza wajipange ili kuja na suluhisho huku wakisafiri kwenda ulaya na kurudi na watu hatuna umeme wala maji bado watu mnalalamika.

Kwa sasa kina Lissu na Co hawana hoja, watulie mama aemdeshe nchi kwa misingi ya haki za binadamu na uhuru wa kujiamulia. Hii ndio waliokua wanataka sasa wanalazimika nini?

Mama piga kazi hata maharage kilo ikiwa elfu 10 ni soko limeamua.
 
Mda mwingine huwa tunasingizia soko. Mfano tu wafanyabiashara walikuwa na mchezo wa kununua sukari tu kwa kuhifadhi ili bidhaa iwe adimu sokoni ipande bei. Je soko ndo limeamua au wafanyabiashara ndo walioamua?

Kuna watu wengine njaa tu nao wananunua mahindi wanayahifadhi mashineni ili tu bei itakapopand wauze juu. Ina maana bei inapanda yenyewe tu au uhujumu wao wa kuhifadhi maghalani ndio unaharibu soko?

Unaonaje wanaofanya hivyo na mafuta ya kula? Je wakifanya hivyo na dawa za binadamu? Japokuwa Hayati Magufuli ana mapungufu yake kama mwanadamu alifanya kazi nzuri. Hata kama ningekuwa mimi ndo kwenye nafasi ile nadhani ningepiga marufuku udalali, kuhifadh bidhaa makusudi, waropokaji wote ningeweka ndani huwez ropokea maisha ya watu pumbaf. .
 
Kwenye suala la kutokufunga mipaka kuuza nafaka nje ya nchi, Bashe shikilia hapohapo. Kilimo ni biashara
 
Watanzania ni watu wa ajabu sana.

Rais Hayati Magufuli aliamua kuoanga ama kuingilia upangaji wa bei za bidhaa kuwalinda walaji na wauzaji malalamiko yakawa mengi sana kwamba anapanga bei, anaingilia soko.

Mama ameacha soko liamua bado hao hao kina Lissu wanasema Maharage na Nyama bei moja.

Magufuli alikua anatumbua watu mchana kweupe hasa vigogo wa serikalini kina Lissu, Zitto and Co wakasema hafuati sheria za umma, haki za binadamu.

Leo tunaweza kukaa hatuna umeme wala maji miezi na waziri ama mawaziri wapo na mama anawabembeleza wajipange ili kuja na suluhisho huku wakisafiri kwenda ulaya na kurudi na watu hatuna umeme wala maji bado watu mnalalamika.

Kwa sasa kina Lissu na Co hawana hoja, watulie mama aemdeshe nchi kwa misingi ya haki za binadamu na uhuru wa kujiamulia. Hii ndio waliokua wanataka sasa wanalazimika nini?

Mama piga kazi hata maharage kilo ikiwa elfu 10 ni soko limeamua.
MAGUFULI ndio CHANZO cha Yote haya kumbuka wakati anaingia Madarakani Bei ya Sukari ilikuwa sh.1800/= akazuia Sukari kutoka nje leo Sukari sh 30000
MAGUFULI halikwepi hili hata kama AMEFARIKI
 
MAGUFULI ndio CHANZO cha Yote haya kumbuka wakati anaingia Madarakani Bei ya Sukari ilikuwa sh.1800/= akazuia Sukari kutoka nje leo Sukari sh 30000
MAGUFULI halikwepi hili hata kama AMEFARIKI
Je unga na mahindi na maharage alikuta kiasi gani na akaacha kiasi gani?
 
Yaani waache bei ya mahindi 🌽 gunia ifike laki 4, debe elfu 80, kilo ya unga elfu 4.

Acha soko liamue.
Bei ikiwa juu itaongeza wazalishaji. Watu walikataga tamaa sana kwenye kilimo japo pembejeo zilikuwa chini kipindi cha JPM lakini debe la mahindi 4,000/=, Mimi mmojawapo nilipunguza Shana ulimaji kutoka ekari 50 mpk ekari 20 kwa mwaka. Lkn sasahv Mambo poa
 
Jiwe alikuwa mshenzi tu kwa kuingilia mifumo ya masoko ya mazao. Acha mkulima auze mazao apendapo ili apate faida.

Ni mjinga tu ndiye anaweza kumlaumu mama ktk suala la bei za vyakula kupanda bei. Ni tatizo la dunia nzima.

Cha muhimu kama mtu anaona bei za mazao ziko juu atumie mvua hizi kulima mazao yake mwenyewe.

Lkn siyo ukae unadanga, unabeti, unafanya uchawa, unafanya umachinga , halafu anayelima alazimishwe kukuuzia chakula kwa bei ndogo.
 
Watanzania ni watu wa ajabu sana.

Rais Hayati Magufuli aliamua kuoanga ama kuingilia upangaji wa bei za bidhaa kuwalinda walaji na wauzaji malalamiko yakawa mengi sana kwamba anapanga bei, anaingilia soko.

Mama ameacha soko liamua bado hao hao kina Lissu wanasema Maharage na Nyama bei moja.

Magufuli alikua anatumbua watu mchana kweupe hasa vigogo wa serikalini kina Lissu, Zitto and Co wakasema hafuati sheria za umma, haki za binadamu.

Leo tunaweza kukaa hatuna umeme wala maji miezi na waziri ama mawaziri wapo na mama anawabembeleza wajipange ili kuja na suluhisho huku wakisafiri kwenda ulaya na kurudi na watu hatuna umeme wala maji bado watu mnalalamika.

Kwa sasa kina Lissu na Co hawana hoja, watulie mama aemdeshe nchi kwa misingi ya haki za binadamu na uhuru wa kujiamulia. Hii ndio waliokua wanataka sasa wanalazimika nini?

Mama piga kazi hata maharage kilo ikiwa elfu 10 ni soko limeamua.

Magufuli alimpangia bei ya bidhaa nani? Aliingilia biashara ya sukari bei ndio ikapanda kabisa. Nakumbuka wakuu wa mikoa akina Makonda nk walikuwa wanaingia hadi kwenye magodown ya watu kufuatilia kama wameficha sukari. Lakini sukari ndio ikapanda kabisa toka wakati huo.

Mafuta ya kula yalipanda maradufu baada ya yeye kuingilia hiyo biashara, nakumbuka alikuwa anazuia meli toka nje zisishushe mafuta toka nje, toka wakati ule hadi leo bei ya mafuta ikapaa. Usidhani tumesahau. Korosho, baadhi ya mazao mengine yalishuka bei baada ya yeye kuingilia.
 
Serikali ina jukumu la kuweka sera zitakazoleta hali ya hewa nzuri sokoni. Wachache wataelawa hii. Hali ya hewa ikiwa shwari wote waliomo sokoni watafurahi ambao ni wanunuzi na wauzaji. Sentensi hizi ni 2 tu ila zina wigo mpana,
 
Jiwe alikuwa mshenzi tu kwa kuingilia mifumo ya masoko ya mazao. Acha mkulima auze mazao apendapo ili apate faida.

Ni mjinga tu ndiye anaweza kumlaumu mama ktk suala la bei za vyakula kupanda bei. Ni tatizo la dunia nzima.

Cha muhimu kama mtu anaona bei za mazao ziko juu atumie mvua hizi kulima mazao yake mwenyewe.

Lkn siyo ukae unadanga, unabeti, unafanya uchawa, unafanya umachinga , halafu anayelima alazimishwe kukuuzia chakula kwa bei ndogo.
Hoja ya kipumbavu kabisa.

Sasa kama ni imepanda Dunia nzima, kwa nini ya korosho pia isipande, iwe kilo elfu 6 ama hata kumi badala yake imerudi kua 1500?
 
MAGUFULI ndio CHANZO cha Yote haya kumbuka wakati anaingia Madarakani Bei ya Sukari ilikuwa sh.1800/= akazuia Sukari kutoka nje leo Sukari sh 30000
MAGUFULI halikwepi hili hata kama AMEFARIKI
Tanzania hii hakuna familia inayotenga hotpot la sukari mezani na kufanya mlo kamili,ebu jishikize kwenye mahindi na mchele na maharage.
 
Magufuli alimpangia bei ya bidhaa nani? Aliingilia biashara ya sukari bei ndio ikapanda kabisa. Nakumbuka wakuu wa mikoa akina Makonda nk walikuwa wanaingia hadi kwenye magodown ya watu kufuatilia kama wameficha sukari. Lakini sukari ndio ikapanda kabisa toka wakati huo.

Mafuta ya kula yalipanda maradufu baada ya yeye kuingilia hiyo biashara, nakumbuka alikuwa anazuia meli toka nje zisishushe mafuta toka nje, toka wakati ule hadi leo bei ya mafuta ikapaa. Usidhani tumesahau. Korosho, baadhi ya mazao mengine yalishuka bei baada ya yeye kuingilia.
Acha kujitoa akili bwege wewe magufuli kaacha bei ya fanta moja ya mafuta ya kula 1200 ikapanda mpaka 2500 sasa imeshuka iko 1800 sukari kaacha 2600 mpaka lei ipo hapohapo,ngano kaacha 1300 leo 2000 kh usidanganye umma.
 
Acha kujitoa akili bwege wewe magufuli kaacha bei ya fanta moja ya mafuta ya kula 1200 ikapanda mpaka 2500 sasa imeshuka iko 1800 sukari kaacha 2600 mpaka lei ipo hapohapo,ngano kaacha 1300 leo 2000 kh usidanganye umma.

Fanta moja ya mafuta ya kula ni kitu gani? Sukari aliikuta 1,800, alipoanza sifa na kina Makonda kuingia kwenye godowns za wanaume ikapanda zaidi ya 2,600 na hazikuwa kushuka tena.
 
MAGUFULI ndio CHANZO cha Yote haya kumbuka wakati anaingia Madarakani Bei ya Sukari ilikuwa sh.1800/= akazuia Sukari kutoka nje leo Sukari sh 30000
MAGUFULI halikwepi hili hata kama AMEFARIKI
We ni mweupe hujui kitu
 
Hoja ya kipumbavu kabisa.

Sasa kama ni imepanda Dunia nzima, kwa nini ya korosho pia isipande, iwe kilo elfu 6 ama hata kumi badala yake imerudi kua 1500?
Zao lamkorosho yule mjinga jiwe alipolinajisi nchi zilizokuwa zinanunua zilitafuta mbadala. Kwahiyo usitegemee bei ya korosho kuja kupanda Tena. Itakuwa kama chai na kahawa zimebaki stori tu.

Mm naongelea mazao ya chakula. Umenielewa wewe sukuma gang??
 
Hujui chochote kuhusu soko huri linavyofanya kazi. Ukiona wafanyabiashara wanaficha sukari, mahindi au mafuta ni kwa sababu serikali imeingilia soko na kutoa mwanya, kuna sera inataka kupitishwa na imevuja au serikali imeshindwa kuweka mazingira sahihi kuzuia hilo kufanyika.
Dawa ya hayo sio kupanga bei, serikali ikipanga bei ndio inavuruga zaidi soko.
Mda mwingine huwa tunasingizia soko. Mfano tu wafanyabiashara walikuwa na mchezo wa kununua sukari tu kwa kuhifadhi ili bidhaa iwe adimu sokoni ipande bei. Je soko ndo limeamua au wafanyabiashara ndo walioamua?

Kuna watu wengine njaa tu nao wananunua mahindi wanayahifadhi mashineni ili tu bei itakapopand wauze juu. Ina maana bei inapanda yenyewe tu au uhujumu wao wa kuhifadhi maghalani ndio unaharibu soko?

Unaonaje wanaofanya hivyo na mafuta ya kula? Je wakifanya hivyo na dawa za binadamu? Japokuwa Hayati Magufuli ana mapungufu yake kama mwanadamu alifanya kazi nzuri. Hata kama ningekuwa mimi ndo kwenye nafasi ile nadhani ningepiga marufuku udalali, kuhifadh bidhaa makusudi, waropokaji wote ningeweka ndani huwez ropokea maisha ya watu pumbaf. .
 
Back
Top Bottom