Magufuli alipanga bei ya bidhaa mkasema anaingilia soko, Mama ameacha soko liamue mnasema maharage na nyama bei moja

Magufuli alipanga bei ya bidhaa mkasema anaingilia soko, Mama ameacha soko liamue mnasema maharage na nyama bei moja

Watanzania ni watu wa ajabu sana.

Rais Hayati Magufuli aliamua kuoanga ama kuingilia upangaji wa bei za bidhaa kuwalinda walaji na wauzaji malalamiko yakawa mengi sana kwamba anapanga bei, anaingilia soko.

Mama ameacha soko liamua bado hao hao kina Lissu wanasema Maharage na Nyama bei moja.

Magufuli alikua anatumbua watu mchana kweupe hasa vigogo wa serikalini kina Lissu, Zitto and Co wakasema hafuati sheria za umma, haki za binadamu.

Leo tunaweza kukaa hatuna umeme wala maji miezi na waziri ama mawaziri wapo na mama anawabembeleza wajipange ili kuja na suluhisho huku wakisafiri kwenda ulaya na kurudi na watu hatuna umeme wala maji bado watu mnalalamika.

Kwa sasa kina Lissu na Co hawana hoja, watulie mama aemdeshe nchi kwa misingi ya haki za binadamu na uhuru wa kujiamulia. Hii ndio waliokua wanataka sasa wanalazimika nini?

Mama piga kazi hata maharage kilo ikiwa elfu 10 ni soko limeamua.
Siku zote wanaolalamika huwa ni wale wanaokosa lakini wale wanaonufaika huwa hawalalamiki !!
 
MAGUFULI ndio CHANZO cha Yote haya kumbuka wakati anaingia Madarakani Bei ya Sukari ilikuwa sh.1800/= akazuia Sukari kutoka nje leo Sukari sh 30000
MAGUFULI halikwepi hili hata kama AMEFARIKI
Wewe ni takakataka!

Mchele na maharage alikuta bei gani na sasa ni bei gani?

Sukari hata ikifia kilo elfu 10 alafu unga, mchele na maharage vikawa bei himilivu hutaona mtu akilalamika maana hivyo ndio vyakula vyao vya kila siku siyo sukari!
Umesiki we mavi?
 
Watanzania ni watu wa ajabu sana.

Rais Hayati Magufuli aliamua kuoanga ama kuingilia upangaji wa bei za bidhaa kuwalinda walaji na wauzaji malalamiko yakawa mengi sana kwamba anapanga bei, anaingilia soko.

Mama ameacha soko liamua bado hao hao kina Lissu wanasema Maharage na Nyama bei moja.

Magufuli alikua anatumbua watu mchana kweupe hasa vigogo wa serikalini kina Lissu, Zitto and Co wakasema hafuati sheria za umma, haki za binadamu.

Leo tunaweza kukaa hatuna umeme wala maji miezi na waziri ama mawaziri wapo na mama anawabembeleza wajipange ili kuja na suluhisho huku wakisafiri kwenda ulaya na kurudi na watu hatuna umeme wala maji bado watu mnalalamika.

Kwa sasa kina Lissu na Co hawana hoja, watulie mama aemdeshe nchi kwa misingi ya haki za binadamu na uhuru wa kujiamulia. Hii ndio waliokua wanataka sasa wanalazimika nini?

Mama piga kazi hata maharage kilo ikiwa elfu 10 ni soko limeamua.
First sentence said it all
 
Magufuli alimpangia bei ya bidhaa nani? Aliingilia biashara ya sukari bei ndio ikapanda kabisa. Nakumbuka wakuu wa mikoa akina Makonda nk walikuwa wanaingia hadi kwenye magodown ya watu kufuatilia kama wameficha sukari. Lakini sukari ndio ikapanda kabisa toka wakati huo.

Mafuta ya kula yalipanda maradufu baada ya yeye kuingilia hiyo biashara, nakumbuka alikuwa anazuia meli toka nje zisishushe mafuta toka nje, toka wakati ule hadi leo bei ya mafuta ikapaa. Usidhani tumesahau. Korosho, baadhi ya mazao mengine yalishuka bei baada ya yeye kuingilia.
Endelea kulialia!
 
Jiwe alikuwa mshenzi tu kwa kuingilia mifumo ya masoko ya mazao. Acha mkulima auze mazao apendapo ili apate faida.

Ni mjinga tu ndiye anaweza kumlaumu mama ktk suala la bei za vyakula kupanda bei. Ni tatizo la dunia nzima.

Cha muhimu kama mtu anaona bei za mazao ziko juu atumie mvua hizi kulima mazao yake mwenyewe.

Lkn siyo ukae unadanga, unabeti, unafanya uchawa, unafanya umachinga , halafu anayelima alazimishwe kukuuzia chakula kwa bei ndogo.
Wewe taka, hakuna mkulima anafaida na hii bei sasa hivi
 
aacha wauze nje ya nchi na hapohapo wa waachie wafanya biashara waagizie vyakula vyote kutoka nje uwepo ushindani mpaka nyanya walete kutoka nje ya nchi tuone kama bei itapanda na uache wakulima wauze nje sisi tutakula vyakula vinavyoletwa kutoka malaysia na india na vietnam tuone wakulima watanyooka
 
Back
Top Bottom