Magufuli alisema "nanyoosha nchi kwanza" Samia kasema "nisimamie uchumi kwanza"

Huu mwendo tusiuache CHADEMA tukanyagie hapohapo maana hawana aibu hata ukifika mwaka 2050 watatuambia wanajenga nchi hivyo tusidai katiba mpya. Tafakari
 
Vizingiti ni vingi hata jf tuliyoiamini Leo inatugeuka Ila never give up
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…