Wakuu,
Ifikie hatua watanzania mstuke sasa na mjue hawa jamaa hakuna wanachofanya tena wanahitaji mbadala ili wapumzike,
Toka 1961 bado jamaa wanadai wanajenga nchi huku wakitegemea misaada ya wahisani ukiangalia dhahabu kila kona, makaa ya mawe kila kona, Tanzanite, bahari, maziwa makubwa kama tanganyika na victoria, mafuta na gesi, hayo yote kwao ni bure bila aibu unakwenda kupandisha kodi kwenye mafuta, kosa ushushe maisha yawe nafuu wewe unapandisha na bila aibu unaenda kuchaji line za simu!
Mjue hawa akili zao zimechoka na haihitajiki tafiti kujua jamaa wamechoka, hawajengi tena wanazidi kubomoa wanatakiwa wapishe wengine wao wapumzike.