Tupo na mama anatulea tumetulia.angalia mko huru na mnadai katiba[emoji23][emoji23][emoji23].
wanasema mwisho wa kiranga cha wamanfunzi wa kike ni mimba,ndicho kitu mnataka.
Tunataka katiba mpya Ili kuepuka vichaa kupewa Madaraka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo na mama anatulea tumetulia.angalia mko huru na mnadai katiba[emoji23][emoji23][emoji23].
wanasema mwisho wa kiranga cha wamanfunzi wa kike ni mimba,ndicho kitu mnataka.
kajengeni ofisi za chama achaneni na ndoto za asubuhi.Tupo na mama anatulea tumetulia.
Tunataka katiba mpya Ili kuepuka vichaa kupewa Madaraka
Hatuna shida na ofisi zipo moyoni kwetu.kajengeni ofisi za chama achaneni na ndoto za asubuhi.
mimi namuongeza 15 nyingine.Hatuna shida na ofisi zipo moyoni kwetu.
Kumi tena kwa mama
Naunga hoja, maana hii nchi ilichezewa sanamimi namuongeza 15 nyingine.
Uchumi ukisimama tunaweza vumilia hamna shidaKatiba hadi 2028. Kipindi cha pili cha Mama...
Mh. Samia S. S. si sawa na Magufuli.Samia = Magufuli
Kazi iendeleee
Mh. Samia S. S. si sawa na Magufuli.
Samia ni Mcha Mungu huku Magufuli akiwa mcha miungu...
Akili matope, hao wa fadhili wata kufadhili mpaka lini?.. Nchi zao nani alizifadhili na kufanikiwa ndio wakufadhili wewe?.Tujengee uchumi mama nchi ilivurugwa kabisa.....rudisha imani kwa wafadhili
Vice versa is true.Mh. Samia S. S. si sawa na Magufuli.
Samia ni Mcha Mungu huku Magufuli akiwa mcha miungu.
Samia ni mpenda haki huku Magufuli ni mnyang'anya uhai.
Samia ni mkweli huku Magufuli akiwa baba wa uongo.
Kufananisha Mh. Samia na Magufuli ni kujitakia laana ya bure.
Amejaribu kushawishi sio kufoka.Sema ameongea kwa upole hadi hatuwezi kukataaa.
Mama kaupiga mwingi..walisikika bavicha wakisema.
HahaaaahaaaMagufuli alikuwa msanii sana eti nanyoosha nchi nani alimwambia imepinda?
Uchumi usipotengemaa kwa miaka mia watu wasifanye mikutano huru ya kisiasa kwa miaka mia?Amesema anaomba muda aimarishe uchumi halafu ndipo atairekebisha KATIBA . Ameongeza kwa kusema anafanya hivi kwa kutambua kuwa economic power buys political power.
Amemaliza kwa kusema KATIBA Ni muhimu Sana kwasabb italeta utulivu wa nchi.