G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Wale jamaa watajulikana tuu ni jambo la muda as far as kikwazo hakipo tena eeewaaaaakwanini msimkodi nyinyi akazindue wale jamaa zenu wasiojulikana mpaka leo wako wapi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale jamaa watajulikana tuu ni jambo la muda as far as kikwazo hakipo tena eeewaaaaakwanini msimkodi nyinyi akazindue wale jamaa zenu wasiojulikana mpaka leo wako wapi??
kwani una uwezo sawa na Mungu!!!Ila wewe unajiona unauhalali kuniwekea maneno?
pole.Wewe jisemee pekee yako
Usijumuishe wengine kijinga ...... eti wenzio! Wakinani?
Kwanini unatuwekea Maneno ya kizushi.
na ukweli utabaki hivyo,hizi nyingine siasa na matumbo tu ndio vinahangaisha watu...naheshimu mtazamo wako.
..mimi mtazamo wangu ni kwamba magufuli alikuwa mtawala katili aliyeamini kuwa yeye ndiye alfa na omega hakuna zaidi yake.
kikwazo hakipo toka wamepotea.Wale jamaa watajulikana tuu ni jambo la muda as far as kikwazo hakipo tena eeewaaaaa
Achaa maneno lete mrejesho nani kanyookatunajua team viwavijeshi mlikuwa kwenye angle mbaya sana.
mshukuruni sana mungu wenu wa matapeli kwa kwenda sawa na beat lenu.
I second that!..naheshimu mtazamo wako.
..mimi mtazamo wangu ni kwamba magufuli alikuwa mtawala katili aliyeamini kuwa yeye ndiye alfa na omega hakuna zaidi yake.
kwani una uwezo sawa na Mungu!!!
kwanini msimkodi nyinyi akazindue wale jamaa zenu wasiojulikana mpaka leo wako wapi??
pole.
mwenye cheti feki,mwizi wa mali za umaa,mbabaishaji na mvivu kazini,na wale wenzangu namimi walikuwa wanawaza siasa masaa 32/7Achaa maneno lete mrejesho nani kanyooka
Mbona badhi ya miradi ya barabara imesimama?Ndugu zangu,
Mwaka 2016 Hayati Rais Dr.John Magufuli akiulizwa kuhusu mikutano ya vyama vya siasa na Katiba Mpya alisema "nataka niinyooshe nchi kwanza nipeni muda"
Leo Rais Samia Hassan akijibu hoja hizi za "Katiba mpya" na Mikutano ya vyama vya siasa" kasema "nipeni muda nisimamie uchumi wa nchi" ameendelea kusema "mbunge afanye Mkutano jimboni kwake"
Ni dhahiri tunahitaji kujenga nchi.
Tupo huru tumekombolewa utumwanimwenye cheti feki,mwizi wa mali za umaa,mbabaishaji na mvivu kazini,na wale wenzangu namimi walikuwa wanawaza siasa masaa 32/7
Yani wewe lia tuu ila jamaa yako hayupo tena yani hayupo kabisaaaaa. Tulivyokuwa tunalia humu kulalamikia matendo yake mlituona hamnazo!kikwazo hakipo toka wamepotea.
umenyooka wewe ambaye unatishwa na marehem.Nenda Katowe pole, kanyooshwa
angalia mko huru na mnadai katiba[emoji23][emoji23][emoji23].Tupo huru tumekombolewa utumwani
utabaki kuwa hamnazo maana unasisitiza kifo cha jamaa kama hakuna anayejua hapa.Yani wewe lia tuu ila jamaa yako hayupo tena yani hayupo kabisaaaaa. Tulivyokuwa tunalia humu kulalamikia matendo yake mlituona hamnazo!
hakuna anayepigwa ndugu.Lakini nafikiri anawapiga na kupuliza! Kesi ya kina Mbowe imebatilishwa, Mdude yupo huru! Mnapigwa huko huko top, kurudi chini!
Yani wewe lia tuu ila jamaa yako hayupo tena yani hayupo kabisaaaaa. Tulivyokuwa tunalia humu kulalamikia matendo yake mlituona hamnazo!