Povu,hivi hakuna wanaokufa kwenu?
..wapo.
..ila magufuli alikuwa anatamba utadhani yeye ni mkubwa kumzidi MUNGU.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Povu,hivi hakuna wanaokufa kwenu?
Huyo wa kwanza alinyoosha na yeye akanyooshwa, unataka kusema huyu wa pili naye atasimamiwa badala ya kusimamia uchumi?!Ndugu zangu,
Mwaka 2016 Hayati Rais Dr.John Magufuli akiulizwa kuhusu mikutano ya vyama vya siasa na Katiba Mpya alisema "nataka niinyooshe nchi kwanza nipeni muda"....
pole mkuu,huna akili...wapo.
..ila magufuli alikuwa anatamba utadhani yeye ni mkubwa kumzidi MUNGU.
lazima asimamishwe,maana uchumi na kubembeleza havikai chungu kimoja.Huyo wa kwanza alinyoosha na yeye akanyooshwa, unataka kusema huyu wa pili naye atasimamiwa badala ya kusimamia uchumi?!
pole mkuu,huna akili.
lini alitamba kwamba ni mkubwa kumzidi Mungu!!!
Mungu hapendi umuwekee maneno mkononi,yaliyo moyoni mwake ni siri kubwa.Mimi naona alikuwa kikwazo ndio maana Almighty God akanyoosha
pole mkuu,huna akili.
lini alitamba kwamba ni mkubwa kumzidi Mungu!!!
sasa unamshauri nini mtu kama wewe,ambaye hujui hata unachohitaji maishani ni nini.Mimi huyuhuyu sishauriki ......
Yaani alikuwa alpha na omega..... ridiculous
Only God is perfect
Kwani Gwaji boy anakwama wapi? Si anamchukua anaenda kumuweka pale Kawe kisha anamuamuru aamke na nyie mnademka kwa shangwe? Mtumieni Gwaji vizuri atawavusha!tunajua team viwavijeshi mlikuwa kwenye angle mbaya sana.
mshukuruni sana mungu wenu wa matapeli kwa kwenda sawa na beat lenu.
huo ni mtazamo wako,wengine wanakuona kama mwizi fulani ambaye ulipoteza uelekeo baada ya utawala wa jpm kuingia...vitimbi alivyokuwa akivifanya ni mfano wa kiongozi aliyelewa chakari na madaraka, asiyejitambua, anayeamini yeye ndio alfa na omega.
Magufuli alikuwa muongo muongo na dikteta. Yani huwezi kuwafananisha wawili hawa.
kwanini msimkodi nyinyi akazindue wale jamaa zenu wasiojulikana mpaka leo wako wapi??Kwani Gwaji boy anakwama wapi? Si anamchukua anaenda kumuweka pale Kawe kisha anamuamuru aamke na nyie mnademka kwa shangwe? Mtumieni Gwaji vizuri atawavusha!
Mungu hapendi umuwekee maneno mkononi,yaliyo moyoni mwake ni siri kubwa.
anachukua wema na wabaya,wanaokukwaza na wanaokufurahisha pia,
funga mdomo wako na ushukuru tu.
huo ni mtazamo wako,wengine wanakuona kama mwizi fulani ambaye ulipoteza uelekeo baada ya utawala wa jpm kuingia.
Sukumagang wanaweza kumsimamia, au mnamuachia Mungu?!lazima asimamishwe,maana uchumi na kubembeleza havikai chungu kimoja.
Bado tupo Honeymoon. Ile siku ya katikati mwa march saa tano na dakika 40 usiku tulinyanyuliwa. Yani mimi nimejipa ratiba ya kusherehekea kwa muda wote uliobaki mpaka mwaka uishe. Yani hiyo katiba mpya nitaidai nwakani.Povu mnaanza rasmi Julai,mosi naona mnaosha vinywa sasa
Naheshimu mtazamo wako.huo ni mtazamo wako,wengine wanakuona kama mwizi fulani ambaye ulipoteza uelekeo baada ya utawala wa jpm kuingia.
Kumbe mnajua kitachofata 😂😂kaeni kwa kutulia sasaAnataka atupige chekundu cheusi kama Kikwete. Akibakiza miezi 6 ya muda wake ajifanye kuanzisha mchakato alafu anaemfatia anasema sio kipaumbele chake