Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,670
Mama Samia= JPM , ila mama ana huruma, ila JPM hakuwa na huruma kwa mhujumu wa uchumi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kati ya nchi na yeye nani kanyooka.
Mrejesho tafadhali
Acha uongo mbona wahujumu wenzie hakuwasweka jelaMama Samia= JPM , ila mama ana huruma, ila JPM hakuwa na huruma kwa mhujumu wa uchumi.
Uliona wapi daladala ikapaki kwa kufa kwa dereva?Yeye kanyooka na kupotea forever
Nchi IPO,
Watu wapo
Vyama vya siasa vipo
Maisha yanaendelea.
Uliona wapi daladala ikapaki kwa kufa kwa dereva?
Mabavicha leo hayaamini,
Haya nendeni mkalale
usingekuwa unamuwaza mpaka sasa...March 17 akanyooka yeye huku ameiacha nchi imepinda.
Mama kawapiga chenga kawambia hakuna mtu kwenda kufanya mkutano kwa mwenzake!Muda si mrefu watafungulia vinywa vya matusi
tunajua team viwavijeshi mlikuwa kwenye angle mbaya sana.Kati ya nchi na yeye nani kanyooka.
Mrejesho tafadhali
alikuwa ananyoosha,kwani alisema anavifuta ulivyoorodhesha hapa!!!!au mhaho wa haja?Yeye kanyooka na kupotea forever
Nchi IPO,
Watu wapo
Vyama vya siasa vipo
Maisha yanaendelea.
Na hii ni silaha kubwa sana kwa kiongozi.Sema ameongea kwa upole hadi hatuwezi kukataaa.
alikuwa ananyoosha,kwani alisema anavifuta ulivyoorodhesha hapa!!!!au mhaho wa haja?
..March 17 akanyooka yeye huku ameiacha nchi imepinda.
unajiandikia tu,wakati wewe ni mhanga wa utawala wake.Kwani nani kapinda? Yeye aliyepinda kujinyoosha kavunjika, was not flexible
Magufuli alikuwa muongo muongo na dikteta. Yani huwezi kuwafananisha wawili hawa.Samia = Magufuli
Kazi iendeleee
anahisi kwa kuwa mfuasi wa chadema hatakufa[emoji16]Povu,hivi hakuna wanaokufa kwenu?