Tetesi: Magufuli amefariki dunia

Status
Not open for further replies.
Huyu mzee akifa Tanzania kutafurika furaha kuu. Katuumiza sana watumishi na Watanzania
Taifa la hapo kwenu!
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji872][emoji872][emoji872]
Nimeona umeanzisha uzi wa kumuhenzi marehemu Munga Tehnan, kwa akili hizi mafunzo yake yalipita sikio la kulia na kutokea la kushoto!
 
Wote tupige magoti tumwombee apone plz, badala ya kubishana humu piga magoti umwombee plz do itπŸ™πŸ™
Wote? Yaani hata kina Tundu Lissu na ukoo wa Ben Saanane?
 
Mnakwenda mbali sana sasa maana kushidwa kwenu kwa kila hila sasa mmebaki na silaa 1 tu ya kuzusha kifo subirini siku ya 3 basi akifufuka atatoka na meno ya mtundiyo mjue. Kikwete alishawaambia kuwa icho ni chuma sasa mtaelewa.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…