Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi ww unaamin huu ujinga.... Waziri mkuu kasema yupo fits, acheni ujinga mtanyea ndooMpaka sasa ukiona uzi una trend basi tetesi inaweza kugeuka breaking news
Mtu akikutendea baya namna ipi hutakiwi kumuombea mabaya mwenzio. Principles za Mungu ni ngumu sana..Watu wasome psle Mungu anaposema Anasanyeshea mvua waovu na wema alikua anamaanisha nini.Nashangaa
Mi mpk simu nimepiga lakini hola. Yawezekana kuna sababu?
Noma sana....Tunasubiri 18 hrs ya kutangazwa.
Dots connected??Habari zilizo tufikia punde ni kuwa mhe Magufuli hatunae Tena duniani...
Ulazwe unapo stahili
WM kwani hawezi kusema uongo kutuliza munkari wa watu?Hadi ww unaamin huu ujinga.... Waziri mkuu kasema yupo fits, acheni ujinga mtanyea ndoo
Sijaamini ndugu yangu usinishambulie bureHadi ww unaamin huu ujinga.... Waziri mkuu kasema yupo fits, acheni ujinga mtanyea ndoo
Huu uzi ukifika asubuhi... Sahauni hii app ya jamii forum hapa tz, nawapa dk 10, muufute, baada ya hapo... Na forward kwa ndungulile.... Cheleweni muoneMpaka sasa ukiona uzi una trend basi tetesi inaweza kugeuka breaking news
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji872][emoji872][emoji872]Huu uzi ukifika asubuhi... Sahauni hii app ya jamii forum hapa tz, nawapa dk 10, muufute, baada ya hapo... Na forward kwa ndungulile.... Cheleweni muone