Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kifo sio adhabu kwa mwanadamu bali ni haki yetu ya kuishi na kufa. Tusikufuru.Nakesha hapa kukataa kifo kwa jina la Kristo, naiamuru mifupa ya Magufuli irudi na ikawe mizima. Natamka uzima
Achana na hao vilazaHivi nyie mnadhani mko very much concerned kuliko wenye JF.
Wenye JF watskuwa wameshajua kitu ndo maana huu uzi umeachwa, na ndo maana umeletwa usiku wa manane ili public iamke na taarifa
Kawimbo kidogoJohn Komba tunamiss uwepo wako
Toa urokole wako mbwa weweNakesha hapa kukataa kifo kwa jina la Kristo, naiamuru mifupa ya Magufuli irudi na ikawe mizima. Natamka uzima
Nisiwe Leo ndugu yangu! Magufuli ataishiKifo sio adhabu kwa mwanadamu bali ni haki yetu ya kuishi na kufa. Tusikufuru.
Yesu tunaye muamini ALIZALIWA na KIFO kika mrudisha kwa Baba yetu aliye Mbinguni,basi,sisi ni nani hadi tusiguswe na kifo?
Sent using Jamii Forums mobile app
AmenHallelujah mungu ametenda muujiza
Apokelewe kuzimu akawe kiongozi wa majini na mapepo
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Namuombea kwa jina la Yesu kristo aliyehai. He is well in Jesus name
Pe tutibhuli songo? Japo ntamsungwilwe ubwana uno ila inkwogopa kufwa kamuwangu!🤔Sasa tumuombee ufufuo? Songo wane acha hizo
Mapenz yake Bwana yatimizwe wala si ya wanadamu.Nakemea mauti kwa jina la Kristo YESU
Mbona Tanzania tunamuonea sana mbwa? wajua mnyama mbwa ni rafiki mzuri sana na anasaidia sana maisha ya binadamu.Toa urokole wako mbwa wewe
Habari yako ShiftNamuombea kwa jina la Yesu kristo aliyehai. He is well in Jesus name