Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 5,214
- 10,276
wakuu wamikoa walipewa Target kama za watu wa sales, kuwa eti wa hakikishe kila mkuu wa mkoa katika eneo lake kiutawala kunaanzishwa viwanda 100.MBONA CCM YA MAGUFULI ILISEMA IMEJENGA VIWANDA 100 KILA MKOA? LABDA MH.JAFFO atutajie
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Mjinga huyu anapoza mgogoro wa Samia na wamasaiSalaam Wakuu,
Baba wa Taifa aliacha Viwanda Vingi sana kiasi kwamba Nchi ilishindwa kuviendeleza hadi Vikabinafsishwa.
Wakati wa Kampeni ya 2015. Mwenda zake alisema "TANZANIA YA MAGUFULI NI TANZANIA YA VIWANDA". Lakini hata baada ya kuongoza awamu tano, alishindwa kujenga kiwanda hata cha sindano wala toothpick za kuchokonolea meno.
Mfano: Nchi idaiwe, haina kiwanda kilichojengwa na Magufuli tunachoweza kuuza wala kubinafsisha kama ilivyokuwa kwa Nyerere. Halafu anaibuka mjinga mmoja eti Magufuli ni sawa na Nyerere.
Rostam akijenga utasikia hongera Magufuli, Ajenge Mo Dewji eti hongera Magufuli, Ajenge Bakhresa utasikia juhudi za awamu ya tano. Kwanini ujisifie utajenga Viwanda wakati huna Mpango wala hela?
Ili Tanzania iondoe umasikini, lazima viongozi tunaowachagua wasimamie kile wanachokiamini.
Tanzania iligubikwa na Viongozi waongo. Kuanzia Majaliwa na Magufuli wake.
Hayo meneno uliyoandika ungeyatumua kuonesha kiwanda alichojenga hata kimoja ungekuwa wa maana sanamada nyingine hazifai hata kujadiliwa na watu wazima wenye upeo kabisa kama sisi members wa JF.
kama hakuna uhitaji wa bidhaa mnazozalisha kiwanda lazima kife.Aibu ni kwa wale walioua viwanda vingi nchi hii.
Kuna dogo mmoja anafanya kazi kwenye wizara ya viwanda na biashara wakati wa Jpm alikuwa anatushushia List ya viwanda vilivyojengwa awamu ya tano hasa akitaja idadi tu. Nikamwambia anitajie viwanda vitano tu anioneshe viko mkoa gani na vinazalisha nini🤣🤣🤣Hadi leo ni miaka mitatu sasa hajajibu.Mimi sitaki namba. Bali anitaji kiwanda anachodhani ni cha Magufuli alijenga kwaajili ya Nchi nami namtajia mmiliki wa hicho kiwanda atakachokitaja. Nipo tayari.
Wewe Mama hana mambo ya kijinga ukienda pale Kwala na Kigamboni utakita Kazi za ujenzi zinaendelea..Mkuu isije kuwa vyerehani vinne ni kiwanda.
Zile nyimbo za ProJpm za viwanda hadi tuliziba maskio kumbe hakuna kiwanda hata kimoja
Mleta mada inaonekana huna uelewa wa kutosha wa kauli ya hayati magufuli. Serikali ilishatoka katika mfumo hodhi ( mfumo wa kushikilia viwanda n.k) ili kukuza uchumi badala yake inaanda mazingira wezeshi ya kuwezesha watu kuwekeza katika viwanda.Salaam Wakuu,
Baba wa Taifa aliacha Viwanda Vingi sana kiasi kwamba Nchi ilishindwa kuviendeleza hadi Vikabinafsishwa.
Wakati wa Kampeni ya 2015. Mwenda zake alisema "TANZANIA YA MAGUFULI NI TANZANIA YA VIWANDA". Lakini hata baada ya kuongoza awamu tano, alishindwa kujenga kiwanda hata cha sindano wala toothpick za kuchokonolea meno.
Mfano: Nchi idaiwe, haina kiwanda kilichojengwa na Magufuli tunachoweza kuuza wala kubinafsisha kama ilivyokuwa kwa Nyerere. Halafu anaibuka mjinga mmoja eti Magufuli ni sawa na Nyerere.
Rostam akijenga utasikia hongera Magufuli, Ajenge Mo Dewji eti hongera Magufuli, Ajenge Bakhresa utasikia juhudi za awamu ya tano. Kwanini ujisifie utajenga Viwanda wakati huna Mpango wala hela?
Ili Tanzania iondoe umasikini, lazima viongozi tunaowachagua wasimamie kile wanachokiamini.
Tanzania iligubikwa na Viongozi waongo. Kuanzia Majaliwa na Magufuli wake.
Mkuu, hiki kiwanda ni cha Kilimanjaro International leather Industries Co. ltd (KLICL) ni Mali ya PSSSF na Prisons Corporation Sole (PCS). Michango ya Wastaafu wetu inaenda huko mwisho wa siku Hawalipwi kwa Wakati. Magereza wao wanachofanya ni kupeleka wafungwa wafanye kazi.Kilimanjaro Ikternational Leather Industries Co. Ltd, Kiwanda cha viatu bora kabisa vya ngozi kwa Africa, chenye kutumia tekkologia kutoka italy, kilijengwa na serikali 2017
Hakuna majibu ukaishia kutukanwa tu. Kuna watu hawamini kwamba magufuli alikuwa binadamu wa hovyo tuuuTaja kiwanda cha Mfano cha Magufuli. Mimi naweza kukutajia alivyojenga Nyerere. Hivyo vya Pwani ni Viwanda vya Wahindi
cTaja kiwanda cha Mfano cha Magufuli. Mimi naweza kukutajia alivyojenga Nyerere. Hivyo vya Pwani ni Viwanda vya Wahindi
Pimbi ninyi, viwanda vya korosho karibia vyote ni Mwalimu, vya chai, Pamba na vingi vya mazao.Nyerere alifanya natinalization akataifisha viwanda toka kwa wawekezaji through Azimio la Arusha.Na hata kama alijenga mfumo wa kiuchumi wa Nyerere ulikuwa tofauti na sasa(command economy) wakati tupo kwenye free market.
Kiwanda cha mfano alicho acha ni maiti za binadamu kuokotwa kwenye viroba. Yaani already packed.Salaam Wakuu,
Baba wa Taifa aliacha Viwanda Vingi sana kiasi kwamba Nchi ilishindwa kuviendeleza hadi Vikabinafsishwa.
Wakati wa Kampeni ya 2015. Mwenda zake alisema "TANZANIA YA MAGUFULI NI TANZANIA YA VIWANDA". Lakini hata baada ya kuongoza awamu tano, alishindwa kujenga kiwanda hata cha sindano wala toothpick za kuchokonolea meno.
Mfano: Nchi idaiwe, haina kiwanda kilichojengwa na Magufuli tunachoweza kuuza wala kubinafsisha kama ilivyokuwa kwa Nyerere. Halafu anaibuka mjinga mmoja eti Magufuli ni sawa na Nyerere.
Rostam akijenga utasikia hongera Magufuli, Ajenge Mo Dewji eti hongera Magufuli, Ajenge Bakhresa utasikia juhudi za awamu ya tano. Kwanini ujisifie utajenga Viwanda wakati huna Mpango wala hela?
Ili Tanzania iondoe umasikini, lazima viongozi tunaowachagua wasimamie kile wanachokiamini.
Tanzania iligubikwa na Viongozi waongo. Kuanzia Majaliwa na Magufuli wake.
View attachment 2259480
Angalia hapa alikuwa ananyang'anya watu Viwanda vyao anadai ni vyake. Mungu Shujaa
Salaam Wakuu,
Baba wa Taifa aliacha Viwanda Vingi sana kiasi kwamba Nchi ilishindwa kuviendeleza hadi Vikabinafsishwa.
Wakati wa Kampeni ya 2015. Mwenda zake alisema "TANZANIA YA MAGUFULI NI TANZANIA YA VIWANDA". Lakini hata baada ya kuongoza awamu tano, alishindwa kujenga kiwanda hata cha sindano wala toothpick za kuchokonolea meno.
Mfano: Nchi idaiwe, haina kiwanda kilichojengwa na Magufuli tunachoweza kuuza wala kubinafsisha kama ilivyokuwa kwa Nyerere. Halafu anaibuka mjinga mmoja eti Magufuli ni sawa na Nyerere.
Rostam akijenga utasikia hongera Magufuli, Ajenge Mo Dewji eti hongera Magufuli, Ajenge Bakhresa utasikia juhudi za awamu ya tano. Kwanini ujisifie utajenga Viwanda wakati huna Mpango wala hela?
Ili Tanzania iondoe umasikini, lazima viongozi tunaowachagua wasimamie kile wanachokiamini.
Tanzania iligubikwa na Viongozi waongo. Kuanzia Majaliwa na Magufuli wake.
View attachment 2259480
Angalia hapa alikuwa ananyang'anya watu Viwanda vyao anadai ni vyake. Mungu Shujaa
Julius nyerere mbona alijenga?
Kiwanda cha maji ya chupa Cha jeshi na magwanda ya Askari Magereza 😅Wanakuja na takwimu