Kipenda roho
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 488
- 939
Bangi mbaya sana
Kwa kweli !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bangi mbaya sana
😆😆😆,sijui wasukuma watasema nini hapaSalaam Wakuu,
Baba wa Taifa aliacha Viwanda Vingi sana kiasi kwamba Nchi ilishindwa kuviendeleza hadi Vikabinafsishwa.
Wakati wa Kampeni ya 2015. Mwenda zake alisema "TANZANIA YA MAGUFULI NI TANZANIA YA VIWANDA". Lakini hata baada ya kuongoza awamu tano, alishindwa kujenga kiwanda hata cha sindano wala toothpick za kuchokonolea meno.
Mfano: Nchi idaiwe, haina kiwanda kilichojengwa na Magufuli tunachoweza kuuza wala kubinafsisha kama ilivyokuwa kwa Nyerere. Halafu anaibuka mjinga mmoja eti Magufuli ni sawa na Nyerere.
Rostam akijenga utasikia hongera Magufuli, Ajenge Mo Dewji eti hongera Magufuli, Ajenge Bakhresa utasikia juhudi za awamu ya tano. Kwanini ujisifie utajenga Viwanda wakati huna Mpango wala hela?
Ili Tanzania iondoe umasikini, lazima viongozi tunaowachagua wasimamie kile wanachokiamini.
Tanzania iligubikwa na Viongozi waongo. Kuanzia Majaliwa na Magufuli wake.
View attachment 2259480
Angalia hapa alikuwa ananyang'anya watu Viwanda vyao anadai ni vyake. Mungu Shujaa
Warundi jamaa yangu na siyo mali ya waTZWewe Mama hana mambo ya kijinga ukienda pale Kwala na Kigamboni utakita Kazi za ujenzi zinaendelea..
Wengine Hawa wako mbioni
View attachment 2259456View attachment 2259457
Unaelewa maana ya uwekezaji? Kwani mali za wafanyabiashara/wawekezaji zinakuaje mali za Serikali ya Tanzania?Hicho ni cha
Warundi jamaa yangu na siyo mali ya waTZ
Watu wanaumia huko ngorongoro we unaleta umalaya wako wa kisiasa apa je rais anajenga viwanda au anaweka seraSalaam Wakuu,
Baba wa Taifa aliacha Viwanda Vingi sana kiasi kwamba Nchi ilishindwa kuviendeleza hadi Vikabinafsishwa.
Wakati wa Kampeni ya 2015. Mwenda zake alisema "TANZANIA YA MAGUFULI NI TANZANIA YA VIWANDA". Lakini hata baada ya kuongoza awamu tano, alishindwa kujenga kiwanda hata cha sindano wala toothpick za kuchokonolea meno.
Mfano: Nchi idaiwe, haina kiwanda kilichojengwa na Magufuli tunachoweza kuuza wala kubinafsisha kama ilivyokuwa kwa Nyerere. Halafu anaibuka mjinga mmoja eti Magufuli ni sawa na Nyerere.
Rostam akijenga utasikia hongera Magufuli, Ajenge Mo Dewji eti hongera Magufuli, Ajenge Bakhresa utasikia juhudi za awamu ya tano. Kwanini ujisifie utajenga Viwanda wakati huna Mpango wala hela?
Ili Tanzania iondoe umasikini, lazima viongozi tunaowachagua wasimamie kile wanachokiamini.
Tanzania iligubikwa na Viongozi waongo. Kuanzia Majaliwa na Magufuli wake.
View attachment 2259480
Angalia hapa alikuwa ananyang'anya watu Viwanda vyao anadai ni vyake. Mungu Shujaa
Mazingira yawe rafiki sasa fashisti alifanya mazingira kimbiza wawekezajiHv tukisema Tanzania ya viwanda maana yake serikali ijenge viwanda na kufanya biashara? Au iweke mazingira rafiki ya watu wake kufanya hivyo?
Mchakato wa hicho kiwanda ulianza back 2010 wakati wa jkKilimanjaro Ikternational Leather Industries Co. Ltd, Kiwanda cha viatu bora kabisa vya ngozi kwa Africa, chenye kutumia tekkologia kutoka italy, kilijengwa na serikali 2017
Maana anataka kusema Obama, Trump, Reagan, Bush walijenga sana viwanda ndio maana Marekani ina viwanda vinhi! Ahahahahaha!Hv tukisema Tanzania ya viwanda maana yake serikali ijenge viwanda na kufanya biashara? Au iweke mazingira rafiki ya watu wake kufanya hivyo?
Alafu we Figa miyeyusho kinoma.Salaam Wakuu,
Baba wa Taifa aliacha Viwanda Vingi sana kiasi kwamba Nchi ilishindwa kuviendeleza hadi Vikabinafsishwa.
Wakati wa Kampeni ya 2015. Mwenda zake alisema "TANZANIA YA MAGUFULI NI TANZANIA YA VIWANDA". Lakini hata baada ya kuongoza awamu tano, alishindwa kujenga kiwanda hata cha sindano wala toothpick za kuchokonolea meno.
Mfano: Nchi idaiwe, haina kiwanda kilichojengwa na Magufuli tunachoweza kuuza wala kubinafsisha kama ilivyokuwa kwa Nyerere. Halafu anaibuka mjinga mmoja eti Magufuli ni sawa na Nyerere.
Rostam akijenga utasikia hongera Magufuli, Ajenge Mo Dewji eti hongera Magufuli, Ajenge Bakhresa utasikia juhudi za awamu ya tano. Kwanini ujisifie utajenga Viwanda wakati huna Mpango wala hela?
Ili Tanzania iondoe umasikini, lazima viongozi tunaowachagua wasimamie kile wanachokiamini.
Tanzania iligubikwa na Viongozi waongo. Kuanzia Majaliwa na Magufuli wake.
View attachment 2259480
Angalia hapa alikuwa ananyang'anya watu Viwanda vyao anadai ni vyake. Mungu Shujaa
Ungekaa kimya mkuu. Kumjibu mjinga ni kununua ujinga wake.Hv tukisema Tanzania ya viwanda maana yake serikali ijenge viwanda na kufanya biashara? Au iweke mazingira rafiki ya watu wake kufanya hivyo?
Ha HahaaaaUna mafi mengi sana matakoni tumboni sasa yanapanda kichwani kayatoe.
You know nothing about Mwalimu Nyerere and I wonder if you were born when he was still the president of Tanzania.Nyerere alikua ni chizi tu kama Magufuri . Suala sio kiwanda suala ni mahitaji ya bidhaa. Mahitaji ya bidhaa yakiwepo na binadamu wanauwezo wa kununua ndio upelekea uzalishaji ( kujenga viwanda kwa ajili ya uzalishaji).
Sasa sera za hao wahuni zilikua ni kama zakike kurukia vitu juu juu bila kuangalia roots.
Viwanda ni Entrepreneurship sio Politics.
Mkuu, unahatari sana! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kiwanda cha kushusha ndege na kubakia abiria chato
Pssf ni serikali magereza ni serikali kwaiyo ni cha serikali na alikizindua maguful 2020Mkuu, hiki kiwanda ni cha Kilimanjaro International leather Industries Co. ltd (KLICL) ni Mali ya PSSSF na Prisons Corporation Sole (PCS). Michango ya Wastaafu wetu inaenda huko mwisho wa siku Hawalipwi kwa Wakati. Magereza wao wanachofanya ni kupeleka wafungwa wafanye kazi.
Muulize mwenyeweYou know nothing about Mwalimu Nyerere and I wonder if you were born when he was still the president of Tanzania.
View attachment 2259746View attachment 2259745View attachment 2259744View attachment 2259747View attachment 2259748View attachment 2259749Onyesha Tanzania ya viwanda chini ya Mwendazake..vya mama hivi hapa
😄😄😄😄😄 Angejenga hata 100 vya maana Tanzania tungekuwa tunaizidi Kenya...