Magufuli amekufa bila kuacha hata Kiwanda Kimoja cha Mfano

Magufuli amekufa bila kuacha hata Kiwanda Kimoja cha Mfano

Issue sio kiwanda kujengwa na serikali bali sera za serikali kuwezesha ujengwaji huo wa viwanda!

Kwahiyo badala ya kutafuta ni kiwinda kipi kilijengwa na serikali ya JPM, usahihi ni kuangalia ikiwa kweli ujengaji wa viwanda ulifanyika wakati wa JPM bila kujali kama ni kiwanda kilichojengwa na serikali (na hiyo sio kazi yake) au kilijengwa na sekya binafsi!

Tatizo ninaloona ni moja... hata vile viwanda ambavyo ujenzi wake ulianza kabla ya Awamu ya 5, basi tunaambiwa ni kazi ya JPM kwa sababu tu umalizikaji wakati ulifanyika wakati wa JPM, au ni yeye ndie alienda kuzindua.

Na kuna vingine ilikuwa vikifanyiwa ukarabati hata kama vilijengwa wakati wa Nyerere, tukawa tunaambiwa ni "Matunda ya Tanzania ya Viwanda"!

Lakini kama suala zima la ujenzi lilianza wakati wa JPM, basi JPM ndie anastahili credit hata kama ni kiwanda cha mtu/taasisi binafsi!!
 
Mkuu mpaka leo Adolf Hitler bado anasemwa, sababu kubwa ni kutokana na matendo yake. Ukiwa muovu watu hawatokusahau kirahisi hivyo. Nchi imepitia kipindi cha giza wakati wa Jiwe. Trust me hata ipite miaka 20 bado watu watakuwa wanakumbuka uovu wake. Mkuu yawezakuwa wewe hukupata madhara yake ndiyo maana waweza kumuona kama Shujaa kwa upande wako kama wanavyomuona wanyonge. Kumbuka mnyonge halipi kodi yoyote na anapenda sana pale mtu aliyemzidi kipato apate shida. Kama wakumbuka kauli ya Jiwe kuwa atahakikisha matajiri wanaishi kama mashetani. Wengi walishangilia lakini ni wale ambao hawana elimu yoyote na ni watu wanyonge. Mtu anayejitambua hawezi kushangilia kusikia kuwa matajiri wanaenda kukomolewa wakati hao matajiri ndiyo wanatoa ajira kwa raia wako. Yapo maeneo alifanya vizuri lakini uovu wake umefunika hayo machache hasa swala la kuua raia wake,wizi na uongo.
Tajiri anayefanya ngazi ,,
kwa kukakanyaga masikini ili azidi kuwa tajiri ,
huyo kuna haja gn wa kumsikitikia?

90% ya matajiri ni watu wa Mambo ya dhuluma/ wakwepa Kodi na kunyanyasa wanyonge..

Watanzania tunajuwa waliokuwa wanateseka na Magufuli ni akina Nani.
Ndy hao hao Leo wanashangilia na kutamba mitaani..
 
Tajiri anayefanya ngazi ,,
kwa kukakanyaga masikini ili azidi kuwa tajiri ,
huyo kuna haja gn wa kumsikitikia?

90% ya matajiri ni watu wa Mambo ya dhuluma/ wakwepa Kodi na kunyanyasa wanyonge..

Watanzania tunajuwa waliokuwa wanateseka na Magufuli ni akina Nani.
Ndy hao hao Leo wanashangilia na kutamba mitaani..
Usijisifie umasikini, kataa kuwa mnyonge. Unyonge siyo sifa mkuu.
 
Naomba mkumbuke ya kuwa marehemu hasemwi hata siku moja. Nyie endeleeni tu.
 
Salaam Wakuu,

Baba wa Taifa aliacha Viwanda Vingi sana kiasi kwamba Nchi ilishindwa kuviendeleza hadi Vikabinafsishwa.

Wakati wa Kampeni ya 2015. Mwenda zake alisema "TANZANIA YA MAGUFULI NI TANZANIA YA VIWANDA". Lakini hata baada ya kuongoza awamu tano, alishindwa kujenga kiwanda hata cha sindano wala toothpick za kuchokonolea meno.

Mfano: Nchi idaiwe, haina kiwanda kilichojengwa na Magufuli tunachoweza kuuza wala kubinafsisha kama ilivyokuwa kwa Nyerere. Halafu anaibuka mjinga mmoja eti Magufuli ni sawa na Nyerere.

Rostam akijenga utasikia hongera Magufuli, Ajenge Mo Dewji eti hongera Magufuli, Ajenge Bakhresa utasikia juhudi za awamu ya tano. Kwanini ujisifie utajenga Viwanda wakati huna Mpango wala hela?

Ili Tanzania iondoe umasikini, lazima viongozi tunaowachagua wasimamie kile wanachokiamini.

Tanzania iligubikwa na Viongozi waongo. Kuanzia Majaliwa na Magufuli wake.
View attachment 2259480
Angalia hapa alikuwa ananyang'anya watu Viwanda vyao anadai ni vyake. Mungu Shujaa

Nasema Industry sio Factory
Si ametuachia Bashite na Sabaya hawa ni zaidi ya viwanda.
 
Aliandaa mazingira wezeshi gani zaidi ya kuwatimua wawekezaji wenye mitaji yao na wakahama nchi kabisa!??
Walikuwa wachumia tumbo a.k.a wawekezaji uchwara.

Hivi Kwa taarifa zilizotoka ambazo had leo hawajazikanusha hao wawekezaji - taifa lilikuwa linanufaika vipi?
 
Taja kiwanda cha Mfano cha Magufuli. Mimi naweza kukutajia alivyojenga Nyerere. Hivyo vya Pwani ni Viwanda vya Wahindi
Kiwanda cha Bakhresa Bagamoyo, Kiwandq cha Rostam Aziz Morogoro, Kiwanda cha kusafisha dhahabu cha Abdallah kule Chunya. Mbona vingi tu kuna Viwanda vitatu vya Cement na vingine vya mbolea na zao la Korosho.
 
Magufuli alikuwa tapeli yule. Dhamira yake kubwa ilikuwa kukibadilisha kijiji cha Chato kuwa jiji.
 
Salaam Wakuu,

Baba wa Taifa aliacha Viwanda Vingi sana kiasi kwamba Nchi ilishindwa kuviendeleza hadi Vikabinafsishwa.

Wakati wa Kampeni ya 2015. Mwenda zake alisema "TANZANIA YA MAGUFULI NI TANZANIA YA VIWANDA". Lakini hata baada ya kuongoza awamu tano, alishindwa kujenga kiwanda hata cha sindano wala toothpick za kuchokonolea meno.

Mfano: Nchi idaiwe, haina kiwanda kilichojengwa na Magufuli tunachoweza kuuza wala kubinafsisha kama ilivyokuwa kwa Nyerere. Halafu anaibuka mjinga mmoja eti Magufuli ni sawa na Nyerere.

Rostam akijenga utasikia hongera Magufuli, Ajenge Mo Dewji eti hongera Magufuli, Ajenge Bakhresa utasikia juhudi za awamu ya tano. Kwanini ujisifie utajenga Viwanda wakati huna Mpango wala hela?

Ili Tanzania iondoe umasikini, lazima viongozi tunaowachagua wasimamie kile wanachokiamini.

Tanzania iligubikwa na Viongozi waongo. Kuanzia Majaliwa na Magufuli wake.
View attachment 2259480
Angalia hapa alikuwa ananyang'anya watu Viwanda vyao anadai ni vyake. Mungu Shujaa

Nasema Industry sio Factory
Alikuwa mzugaji tu
 
alianza na bwawa la umeme kwanza alafu ndo vije viwanda.
 
Salaam Wakuu,

Baba wa Taifa aliacha Viwanda Vingi sana kiasi kwamba Nchi ilishindwa kuviendeleza hadi Vikabinafsishwa.

Wakati wa Kampeni ya 2015. Mwenda zake alisema "TANZANIA YA MAGUFULI NI TANZANIA YA VIWANDA". Lakini hata baada ya kuongoza awamu tano, alishindwa kujenga kiwanda hata cha sindano wala toothpick za kuchokonolea meno.

Mfano: Nchi idaiwe, haina kiwanda kilichojengwa na Magufuli tunachoweza kuuza wala kubinafsisha kama ilivyokuwa kwa Nyerere. Halafu anaibuka mjinga mmoja eti Magufuli ni sawa na Nyerere.

Rostam akijenga utasikia hongera Magufuli, Ajenge Mo Dewji eti hongera Magufuli, Ajenge Bakhresa utasikia juhudi za awamu ya tano. Kwanini ujisifie utajenga Viwanda wakati huna Mpango wala hela?

Ili Tanzania iondoe umasikini, lazima viongozi tunaowachagua wasimamie kile wanachokiamini.

Tanzania iligubikwa na Viongozi waongo. Kuanzia Majaliwa na Magufuli wake.
View attachment 2259480
Angalia hapa alikuwa ananyang'anya watu Viwanda vyao anadai ni vyake. Mungu Shujaa

Nasema Industry sio Factory
Government ensure conducive and favourable environment for industrial investment from foreign inventory and native through various ways RUDI SHULE UKASOME IZO WAYS
 
Mkuranga kuna kiwanda kikubwa cha tikes unless kinamilikiwa na ukoo wako
 
Salaam Wakuu,

Baba wa Taifa aliacha Viwanda Vingi sana kiasi kwamba Nchi ilishindwa kuviendeleza hadi Vikabinafsishwa.

Wakati wa Kampeni ya 2015. Mwenda zake alisema "TANZANIA YA MAGUFULI NI TANZANIA YA VIWANDA". Lakini hata baada ya kuongoza awamu tano, alishindwa kujenga kiwanda hata cha sindano wala toothpick za kuchokonolea meno.

Mfano: Nchi idaiwe, haina kiwanda kilichojengwa na Magufuli tunachoweza kuuza wala kubinafsisha kama ilivyokuwa kwa Nyerere. Halafu anaibuka mjinga mmoja eti Magufuli ni sawa na Nyerere.

Rostam akijenga utasikia hongera Magufuli, Ajenge Mo Dewji eti hongera Magufuli, Ajenge Bakhresa utasikia juhudi za awamu ya tano. Kwanini ujisifie utajenga Viwanda wakati huna Mpango wala hela?

Ili Tanzania iondoe umasikini, lazima viongozi tunaowachagua wasimamie kile wanachokiamini.

Tanzania iligubikwa na Viongozi waongo. Kuanzia Majaliwa na Magufuli wake.
View attachment 2259480
Angalia hapa alikuwa ananyang'anya watu Viwanda vyao anadai ni vyake. Mungu Shujaa

Nasema Industry sio Factory
akili ya kindergarten imetumika kuleta uzi mezani
 
Magufuli alikuwa tapeli yule. Dhamira yake kubwa ilikuwa kukibadilisha kijiji cha Chato kuwa jiji.
Wapuuzi wachache ambao hamna akili hamuwezi kuona mambo aliyoyafanya Magufuli hapo watu wametaja viwanda vingi tu
 
Back
Top Bottom