Uchaguzi 2020 Magufuli anaiona Tanzania nzuri miaka 30 ijayo, shida wengi tuna njaa

Uchaguzi 2020 Magufuli anaiona Tanzania nzuri miaka 30 ijayo, shida wengi tuna njaa

Elythrobacter

Member
Joined
Sep 29, 2020
Posts
47
Reaction score
94
Nimejipa kazi kuwafatilia wagombea wawili wa uraisi wanaoonekana kupendwa na watu wengi, nimegundua kuwa Dr. Magufuri anawaza mambo ya miaka kama 30 ijayo ndo tule bata. Ili hali Ndg Lisu akiwaza mambo ya leo, kesho itajulikana ikifika.

Shida kwa watu wengi, bado huduma muhimu ( chakula, malazi na mavazi) ni shida njaa ni kubwa.

Cha kujiuliza ni,tufanye maendeleo atakayefika miaka hyo ale bata au tule leo wa miaka hiyo watajijua?

Maoni yangu ni kwamba Ndg Lisu aendelee kutupambania kama mwanaharakati, ili kumsutua Magufuri atoe vitu kama ajira ili hela irudi mtaani, na Dr. Magufuri aendelee na maono yake ya kujenga Tanzania ya miaka 30 ijayo.

Maoni yako ni yapi? Kumbuka maendeleo hayana chama.
 
Mtu mwenye matongotongo mengi ya kimaono anawezeje kuona mambo ya miaka 30 ijayo!? Vitu vingine jamani ebu tuacheni kuropokaropoka tu. Mtu ambaye anajiapiza kutopeleka maendeleo kwenye majimbo ya upinzani anaweza kufanya jipya lipi, kama si zaidi ya kuzidi kumomonyoa misingi ya umoja ya taifa letu.
 
Ameshindwa kutengeneza mifumo na Taasisi Imara.
Amekazana kuteka watu ,kuua ,kuwapoteza watu, kubana uhuru wa vyombo vya habari na mabaya ya kila namna .

"Hafai hata kuwa kiongozi wakijiji labda Nyapala wa bara bara.
RIP kingunge
 
Kusema " maendeleo hayana chama" na hapo hapo unasema " msiponichagulia diwani, mbunge na raisi wa ccm, sitawaletea maendeleo" ni kutoa kauli mbili zinazopingana! Ni wagonjwa wa akili na wenye mtindio wa ubongo watakaoshindwa kuelewa ujinga huo wa kibaguzi dhahiri!
 
Tukae miaka 60 bilabila na yeye akiwa humohumo, leo aje aione TZ ya miaka 30 ijayo!? Biashara kichaa hiyo. Wacha watu wengine vision tofauti waje kuleta mabadiliko chanya. Hakuna haja ya kung'ang'ania watu walewale na chama kilekile wakati hakuna jipya.
 
Huyu fisadi wa chattle ametuweka mahali pabaya sana, ameharibu mshikamano wetu, amejaza kaka na dada zake kila mahali, amejenga kiwanja cha kimataifa shambani kwake, ameziba watu midomo, ameua uhuru wa watu na vyombo vya habari, ameleta hasara kubwa kupitia mikataba ya kifisadi ya ndege na madaraja, hatufai na tunamsubiri mahakama ya Arusha ya wahalifu akajibu yote hayo.
 
lissu anaweza kutifikisha kote huku, kwa kutuwezesha sisi waleo kushiriki maendeleleo ya kesho kwa furaha na kizalendo kuliko huyu mbabe mbabe asiyejali tunaishije yeye anakimbizana na majengo kila siku.
Nimejipa kazi kuwafatilia wagombea wawili wa uraisi wanaoonekana kupendwa na watu wengi, nimegundua kuwa Dr. Magufuri anawaza mambo ya miaka kama 30 ijayo ndo tule bata. Ili hali Ndg Lisu akiwaza mambo ya leo, kesho itajulikana ikifika.

Shida kwa watu wengi, bado huduma muhimu ( chakula, malazi na mavazi) ni shida njaa ni kubwa.

Cha kujiuliza ni,tufanye maendeleo atakayefika miaka hyo ale bata au tule leo wa miaka hiyo watajijua?

Maoni yangu ni kwamba Ndg Lisu aendelee kutupambania kama mwanaharakati, ili kumsutua Magufuri atoe vitu kama ajira ili hela irudi mtaani, na Dr. Magufuri aendelee na maono yake ya kujenga Tanzania ya miaka 30 ijayo.

Maoni yako ni yapi? Kumbuka maendeleo hayana chama.
 
Kukusaidia kueleza ulichosema kwa maneno rahisi ya wenzetu ni kuwa Magufuli ni mgombea Visionary wakati Lissu ni mgombea Myopic. Sasa ni swala la kuchagua kama unataka visionary leader au myopic leader
 
IMG_20201004_000846_966.jpg

Haya ndio maono ya chama cha Mbowe. October 28,tunajambo letu.
 
Nimejipa kazi kuwafatilia wagombea wawili wa uraisi wanaoonekana kupendwa na watu wengi, nimegundua kuwa Dr. Magufuri anawaza mambo ya miaka kama 30 ijayo ndo tule bata. Ili hali Ndg Lisu akiwaza mambo ya leo, kesho itajulikana ikifika.

Shida kwa watu wengi, bado huduma muhimu ( chakula, malazi na mavazi) ni shida njaa ni kubwa.

Cha kujiuliza ni,tufanye maendeleo atakayefika miaka hyo ale bata au tule leo wa miaka hiyo watajijua?

Maoni yangu ni kwamba Ndg Lisu aendelee kutupambania kama mwanaharakati, ili kumsutua Magufuri atoe vitu kama ajira ili hela irudi mtaani, na Dr. Magufuri aendelee na maono yake ya kujenga Tanzania ya miaka 30 ijayo.

Maoni yako ni yapi? Kumbuka maendeleo hayana chama.

30 years????? we uko nchi hii kweli? since ATCL imeingia unajua foreign reserves znaingia kiasi gan kwa mwaka tz?
unajua Tanzania ni ya tatu afrika kwa mapato ya utalii?

lissu kinachomkwamisha ni uelewa wa economics, ana ahadi nyingi ambazo in economics hazimake sense,
serikali haimiliki pesa, inatafuta pesa kama mwananchi mwingine wa kawaida, inakopa pia! sasa kauli anazotoa its wide open jamaa kichwan kumeshake kidogo,

na ana wafuasi wengi tu wanaodhan wakiongezewa mshahara maisha yao yatakua mazuri, elimu ni muhimu sana
 
Yule Mwenye Vision ya kusimamia Maendeleo Vizuri, ndio mtu pekee anafaa kuwa rais.

Lakini kama una kiongozi asiye na maono ya kuwa hii nchi itaendeshwa vipi,Hafai kabisa kuwa rais wa nchi hii.

Tumetekeleza miaka mitano,twende kwa pamoja Miaka mingine mitano.

Chagua J.P.Magufuli,kwa maendeleo ya nchi yako.
 
Back
Top Bottom