Elythrobacter
Member
- Sep 29, 2020
- 47
- 94
Nimejipa kazi kuwafatilia wagombea wawili wa uraisi wanaoonekana kupendwa na watu wengi, nimegundua kuwa Dr. Magufuri anawaza mambo ya miaka kama 30 ijayo ndo tule bata. Ili hali Ndg Lisu akiwaza mambo ya leo, kesho itajulikana ikifika.
Shida kwa watu wengi, bado huduma muhimu ( chakula, malazi na mavazi) ni shida njaa ni kubwa.
Cha kujiuliza ni,tufanye maendeleo atakayefika miaka hyo ale bata au tule leo wa miaka hiyo watajijua?
Maoni yangu ni kwamba Ndg Lisu aendelee kutupambania kama mwanaharakati, ili kumsutua Magufuri atoe vitu kama ajira ili hela irudi mtaani, na Dr. Magufuri aendelee na maono yake ya kujenga Tanzania ya miaka 30 ijayo.
Maoni yako ni yapi? Kumbuka maendeleo hayana chama.
Shida kwa watu wengi, bado huduma muhimu ( chakula, malazi na mavazi) ni shida njaa ni kubwa.
Cha kujiuliza ni,tufanye maendeleo atakayefika miaka hyo ale bata au tule leo wa miaka hiyo watajijua?
Maoni yangu ni kwamba Ndg Lisu aendelee kutupambania kama mwanaharakati, ili kumsutua Magufuri atoe vitu kama ajira ili hela irudi mtaani, na Dr. Magufuri aendelee na maono yake ya kujenga Tanzania ya miaka 30 ijayo.
Maoni yako ni yapi? Kumbuka maendeleo hayana chama.