Uchaguzi 2020 Magufuli anaiona Tanzania nzuri miaka 30 ijayo, shida wengi tuna njaa

Uchaguzi 2020 Magufuli anaiona Tanzania nzuri miaka 30 ijayo, shida wengi tuna njaa

Pumba tupu unazotoa hapa; je bado unataka kuendelea kujadiliana na mimi kwenye mada hii?
Zigeuze ziwe Pumbu tupu.
Screenshot_2020-09-17-22-19-17-1.jpg
 
Hana vision yoyote anapuyanga tu, mtu mwenye vision anao uwezo mkubwa wa ku persist kwenye visions zake katikati ya kelelele za kumkosoa, kitu ambacho Magufuli anakikosa. Ukimkosoa anaamini kuwa hata kifo ni hali yako, mtu wa namna hiyo ni nani zaidi ya dictator?
By the way, miaka 5 iliyo pita alikuwa anaimba viwanda, sasa hivi viko wapi? ....hata kuviongelea hamna, alafu mnasema ni kiongozi visionary?. Magufuli HAFAI, HAFAIIIIIII.
 
Mtukufu Magufuli aendelee kuwatesa wafanyabiashara kuwapora pesa zao kwenye mabenk kuwabambikia kesi kesi kuwapiga risasi wapinzani? aendelee kupiga pesa kifisadi kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge? aendelee kununua Ndege kwa cash kupiga chajuu kwa cash?
 
Kusema " maendeleo hayana chama" na hapo hapo unasema " msiponichagulia diwani, mbunge na raisi wa ccm, sitawaletea maendeleo" ni kutoa kauli mbili zinazopingana! Ni wagonjwa wa akili na wenye mtindio wa ubongo watakaoshindwa kuelewa ujinga huo wa kibaguzi dhahili!
Raisi wetu ni mirembe case
 
Hana vision yoyote anapuyanga tu, mtu mwenye vision anao uwezo mkubwa wa ku persist kwenye visions zake katikati ya kelelele za kumkosoa, kitu ambacho Magufuli anakikosa. Ukimkosoa anaamini kuwa hata kifo ni hali yako, mtu wa namna hiyo ni nani zaidi ya dictator?
By the way, miaka 5 iliyo pita alikuwa anaimba viwanda, sasa hivi viko wapi? ....hata kuviongelea hamna, alafu mnasema ni kiongozi visionary?. Magufuli HAFAI, HAFAIIIIIII.
Pesa zote za viwanda kachukua anazitumia kudidimiza demokrasia kuwabambikia kesi wapinzani
 
Ni kwa vile hujui South Korea ya leo ilitokana na kiongozi wa aina gani; unaweza kuwa unafurahia sana kutumia Samsung au Kia lakini hujui chimbuko lake.
Korea hawana kumbambikia kesi kesi hawapendi vyesi vyesi kama mtukufu magufuli
 
Magufuli hana uwezo wa kuona mbele hata kwa mwezi mmoja tu. Mfano wakati anakwiba mapesa kwenye hizi provident funds zetu hakujua kuwa kuna wataostaafu mwezi unaofuata
 
Hana Lolote kafiri tu muuaji mkubwa
Miaka mi5
Ameua wangapi
Amefilisi wangapi
Amejeruhi wangapi
Balaa huyu kafiri magufuli
Nchi inazidi kuwa masikini wawekezaji wanakimbia utitiri wa kodi za TRA zisizo na mpangilio wala tija, Mabenk hayaaminiki pesa za wafanyabiashara wakubwa zinaporwa kienyeji kwa njia haramu za kishetani, hakuna mfanyabiashara anaishi kwa Amani wengi wamefungua A/c Nchi jirani ili kuishi kwa Amani na pesa zao
 
Magufuli hana uwezo wa kuona mbele hata kwa mwezi mmoja tu. Mfano wakati anakwiba mapesa kwenye hizi provident funds zetu hakujua kuwa kuna wataostaafu mwezi unaofuata
Kibaya kuliko vyote anazuia watanzania waliopo nje ya Nchi kutuma pesa Tanzania, Ukitumiwa pesa nyingi BOT wanaizuia na kuipora anaichukua yote, watanzania wengi wamefungua A/C Uganda na kenya ambapo hawana ujinga huo unatumiwa pesa yeyote toka nje hakuna wa kukuuliza swali
 
amebana kila kona hakuna unafuu wa maisha watumishi wa umma wana miaka mitano bila nyongeza za mishahara pesa zote anachukua kwenda kuhifadhi chato na chamwino
 
Wafanyabiashara wengi wamekimbilia Dubai Nchi jirani maana kuna usumbufu mwingi Nchini ikiwemo utitiri wa kodi
 
Kibaya kuliko vyote anazuia watanzania waliopo nje ya Nchi kutuma pesa Tanzania, Ukitumiwa pesa nyingi BOT wanaizuia na kuipora anaichukua yote, watanzania wengi wamefungua A/C Uganda na kenya ambapo hawana ujinga huo unatumiwa pesa yeyote toka nje hakuna wa kukuuliza swali
Daaah mimi mwenyewe kuna watu walitaka kunidhamini kuwekeza kitu kikubwa tu lakini tulipogundua ushamba wa huyu mzee ikabidi kusitisha. Nafikiria hata mimi kufungua acc nchi jirani
 
Kukusaidia kueleza ulichosema kwa maneno rahisi ya wenzetu ni kuwa Magufuli ni mgombea Visionary wakati Lissu ni mgombea Myopic. Sasa ni swala la kuchagua kama unataka visionary leader au myopic leader
Wewe ni mkongwe lakini mweupe kabisa. Ni vision gani aliyonayo? Umeshawahi kujiuliza vyanzo vikuu vya mapato vya katika awamu hii ya kwanza ni vipi na je hali itakuwaje katika awamu yake ya pili? Huyu katurudisha square zero mi naona. Tunataka KATIBA mpya itakayotoa fursa kwa wananchi kufanya maamuzi yao sio kwa wanasiasa.
 
Back
Top Bottom