Hata Nyerere aliiona Tz yenye kujitegemea wakati anaanza kutawala kipindi hicho nchi bado bikra kabisa wazungu wakampa miaka michache baadae beberu yaan UK lilimuokoa asipinduliwe, miaka michache tena akafeli vibaya mnoooo kwenye utawala wake mpaka akakimbia madaraka (ila kumtunzia heshima tunasemaga mzee aling'atuka i.e. wajanja wanajua kung'atuka ni kwamba umeng'ang'ania ila imeshindikana so inabidi uachie tuna hamna namna) Magu hata angepewa miaka trillion kamwe usitegemee mapinduzi ya kiuchumi cha msingi pambana na hali yako Magu kutangazwa mshindi ipo wazi sasa basi tegemea ugumu wa maisha, ufukara, umaskini wa kupindukia utaongezeka mara dufu panapo majaliwa ya Mungu tukumbukushane huu uzi mwaka 2023 tarehe kama hii ya leo. Kumbuka ccm wamekaa madarakani miaka inakaribia 60 sasa kama wameshindwa miaka yote kuleta maboresho ya maana kwenye uchumi iweje leo uamini kuwa wamepata muarobaini wa matatizo ya waTz? Kila baada ya miaka 10 mgombea Uraisi wa ccm anapojinadi utadhan inchi ilikuwa chini ya upinzani, Magu kaingia na Tz ya viwanda leo hii hili limekufa hajui hata anasimamia nini kw sasa, kazi kusema tu anataka Sugu amsugue, anataka akistaaf aende zenj akaoe mke wa pili, anataka wagogo wampe mwali kigoli wa miaka 18!!