Uchaguzi 2020 Magufuli anaiona Tanzania nzuri miaka 30 ijayo, shida wengi tuna njaa

Uchaguzi 2020 Magufuli anaiona Tanzania nzuri miaka 30 ijayo, shida wengi tuna njaa

Nimejipa kazi kuwafatilia wagombea wawili wa uraisi wanaoonekana kupendwa na watu wengi, nimegundua kuwa Dr. Magufuri anawaza mambo ya miaka kama 30 ijayo ndo tule bata. Ili hali Ndg Lisu akiwaza mambo ya leo, kesho itajulikana ikifika.

Shida kwa watu wengi, bado huduma muhimu ( chakula, malazi na mavazi) ni shida njaa ni kubwa.

Cha kujiuliza ni,tufanye maendeleo atakayefika miaka hyo ale bata au tule leo wa miaka hiyo watajijua?

Maoni yangu ni kwamba Ndg Lisu aendelee kutupambania kama mwanaharakati, ili kumsutua Magufuri atoe vitu kama ajira ili hela irudi mtaani, na Dr. Magufuri aendelee na maono yake ya kujenga Tanzania ya miaka 30 ijayo.

Maoni yako ni yapi? Kumbuka maendeleo hayana chama.
Wakati unafuatilia kampeni hujisikiaje mwanzoni mwa kampeni unaambiwa "Maendeleo hayana chama" then baada ya nusu saa unasikia mtu yule yule anasema "Msipomchagua mbunge wa CCM hapa maji hamuwezipata" Then mtu yule yule wakati anamaliza kampeni siku hiyo hiyo tena ndani ya masaa tu anasema tena maendeleo hayana chama!!! Hiki ndicho ulichomaanisha kuwa na mawazo ya miaka 30 mbele!!

Kama ndani ya masaa 3 kumekuwa na disorganized ideas, messages, opinions, visions atakuwaje na mawazo ya 30 yrs ahead??? Watanzania tuseme ukweli na kumwogopa Mungu!
 
Nimejipa kazi kuwafatilia wagombea wawili wa uraisi wanaoonekana kupendwa na watu wengi, nimegundua kuwa Dr. Magufuri anawaza mambo ya miaka kama 30 ijayo ndo tule bata. Ili hali Ndg Lisu akiwaza mambo ya leo, kesho itajulikana ikifika.

Shida kwa watu wengi, bado huduma muhimu ( chakula, malazi na mavazi) ni shida njaa ni kubwa.

Cha kujiuliza ni,tufanye maendeleo atakayefika miaka hyo ale bata au tule leo wa miaka hiyo watajijua?

Maoni yangu ni kwamba Ndg Lisu aendelee kutupambania kama mwanaharakati, ili kumsutua Magufuri atoe vitu kama ajira ili hela irudi mtaani, na Dr. Magufuri aendelee na maono yake ya kujenga Tanzania ya miaka 30 ijayo.

Maoni yako ni yapi? Kumbuka maendeleo hayana chama.
Una akili sana.
 
Nimejipa kazi kuwafatilia wagombea wawili wa uraisi wanaoonekana kupendwa na watu wengi, nimegundua kuwa Dr. Magufuri anawaza mambo ya miaka kama 30 ijayo ndo tule bata. Ili hali Ndg Lisu akiwaza mambo ya leo, kesho itajulikana ikifika.

Shida kwa watu wengi, bado huduma muhimu ( chakula, malazi na mavazi) ni shida njaa ni kubwa.

Cha kujiuliza ni,tufanye maendeleo atakayefika miaka hyo ale bata au tule leo wa miaka hiyo watajijua?

Maoni yangu ni kwamba Ndg Lisu aendelee kutupambania kama mwanaharakati, ili kumsutua Magufuri atoe vitu kama ajira ili hela irudi mtaani, na Dr. Magufuri aendelee na maono yake ya kujenga Tanzania ya miaka 30 ijayo.

Maoni yako ni yapi? Kumbuka maendeleo hayana chama.
Urusi ilibadilika kutoka nchi ya kilimo na kuwa Industrialise country within 20 years.
Ukitaka kuwasikiliza wenye njaa maendeleo yatakuja baada ya sisi kufa.
 
Babuu wa kimeru kaniongezea siku ya kuishi kwa hoja za Magufuli awe Rais kwa miaka 20 !
Tazama video clip

Nimejipa kazi kuwafatilia wagombea wawili wa uraisi wanaoonekana kupendwa na watu wengi, nimegundua kuwa Dr. Magufuri anawaza mambo ya miaka kama 30 ijayo ndo tule bata. Ili hali Ndg Lisu akiwaza mambo ya leo, kesho itajulikana ikifika.

Shida kwa watu wengi, bado huduma muhimu ( chakula, malazi na mavazi) ni shida njaa ni kubwa.

Cha kujiuliza ni,tufanye maendeleo atakayefika miaka hyo ale bata au tule leo wa miaka hiyo watajijua?

Maoni yangu ni kwamba Ndg Lisu aendelee kutupambania kama mwanaharakati, ili kumsutua Magufuri atoe vitu kama ajira ili hela irudi mtaani, na Dr. Magufuri aendelee na maono yake ya kujenga Tanzania ya miaka 30 ijayo.

Maoni yako ni yapi? Kumbuka maendeleo hayana chama.
 

Attachments

  • 1601892321538.mp4
    4 MB
  • 1601781206792.mp4
    8.9 MB
Nimejipa kazi kuwafatilia wagombea wawili wa uraisi wanaoonekana kupendwa na watu wengi, nimegundua kuwa Dr. Magufuri anawaza mambo ya miaka kama 30 ijayo ndo tule bata. Ili hali Ndg Lisu akiwaza mambo ya leo, kesho itajulikana ikifika.

Shida kwa watu wengi, bado huduma muhimu ( chakula, malazi na mavazi) ni shida njaa ni kubwa.

Cha kujiuliza ni,tufanye maendeleo atakayefika miaka hyo ale bata au tule leo wa miaka hiyo watajijua?

Maoni yangu ni kwamba Ndg Lisu aendelee kutupambania kama mwanaharakati, ili kumsutua Magufuri atoe vitu kama ajira ili hela irudi mtaani, na Dr. Magufuri aendelee na maono yake ya kujenga Tanzania ya miaka 30 ijayo.

Maoni yako ni yapi? Kumbuka maendeleo hayana chama.
Kama naiona yeye sisi hatuioni basi sio mbaya akainee chato
 
Demokrasia ni watu kuchagua aina ya maendelo wanayoyataka wala siyo kuchaguliwa na mtu mwingine
Nimejipa kazi kuwafatilia wagombea wawili wa uraisi wanaoonekana kupendwa na watu wengi, nimegundua kuwa Dr. Magufuri anawaza mambo ya miaka kama 30 ijayo ndo tule bata. Ili hali Ndg Lisu akiwaza mambo ya leo, kesho itajulikana ikifika.

Shida kwa watu wengi, bado huduma muhimu ( chakula, malazi na mavazi) ni shida njaa ni kubwa.

Cha kujiuliza ni,tufanye maendeleo atakayefika miaka hyo ale bata au tule leo wa miaka hiyo watajijua?

Maoni yangu ni kwamba Ndg Lisu aendelee kutupambania kama mwanaharakati, ili kumsutua Magufuri atoe vitu kama ajira ili hela irudi mtaani, na Dr. Magufuri aendelee na maono yake ya kujenga Tanzania ya miaka 30 ijayo.

Maoni yako ni yapi? Kumbuka maendeleo hayana chama.
Usijifanye hujaelewa ni hivi tunataka maendeleo ya watu vitu baadae
 
Umesema miaka 60 mpaka sasa hakuna Maendeleo yoyote...
Sikuwepo mwaka 1964 ila ni wazi kuwa Tanzania ya mwaka 1964 haiwezi kufanana na Tanzania ya mwaka 2020 kwa kuzilinganisha Kimaendeleo (Uchumi, Miundo Mbinu [umeme, barabara, Madaraja, Mawasiliano etc.], Afya, Elimu etc. )...
Mimi nakubaliana na Mtoa Mada kwa jinsi alivyowachambua Lissu na Magufuli.
Cha msingi ni tupige kura Tarehe 28 Octoba ikifika, Haya mengine tuwaachie Wanasiasa wenyewe.
Maana Mwanasiasa yeyote lengo kubwa ni Maslahi yake Binafsi kwanza, hata kama atatamka maneno matamu kiasi gani. Kutamka na Kutekeleza ni vitu viwili tofauti! Na hii kwa Wagombea wa Vyama Vyote.
Kuna waliokuwa na umri wa wa kutosha wakati tunapata uhuru, eti nao wanasema hakuna kilichofanyika hadi leo. Sishangai vijana wakisema hivyo. Ila kwa hawa wazee, ni tatizo.
 
Basi huijui historia ya uchumi wa Korea jinsi serikali ilivyowekeza kwenye miundombinu na viwanda; vile vile huenda pia hujui jinsi uchumi wa Japan ulivyokua kwa serikali kuwekeza kwenye miundombinu na viwanda.

Uchumi unakua kwa kuwa na infrastructure nzuri, jambo ambalo linafanywa na serikali pekee. Serikali yoyote duniani hujiendesha kwa kukusanya kodi. Unapochukia serikali kwa kukusanya kodi na kujenga miundo mbinu basi sijui wewe unataka serikali ya namna gani. Hii mediocrity ya kupenda kula bata bila kulipa kodi na kuendelea kuwa na miundo mbinu hovyohovyo isiyopotika wakati wa masika inabidi uindoe kichwani mwako. Shughuli za kiuchumi zinatakiwa ziwe zinafanyika all year round, siyo eti wakati wa masika watu wanajifungia ndani tu kwa sababu barabara hazipitiki. Kuna kauli za magufuli sikubaliani nazo, ila nakubaliana kabisa na jinsi anavyoendesha serikali kutekeleza wajibu wake. Normally serikali yoyote hufanya kazi kwa nguvu, siyo kwa kubembelezanana, ndiyo maana kuna sheria, anbazo ni instruments za matumizi ya nguvu.
 
Mungu nasubiri baada ya tarehe 28 Lissu atakavyo futa hapa kazi tu kwenye ndege
 
hapa unapoteza tu mda, hawa jamaa hawaelewagi wanaongea nn! nakushauri kafanye tu shuhuli zingine za maendeleo hawa jamaa ni chama kizima ndo akili zao zpo ivo
Hawa hawa ndio watakuwa viongozi wetu chama chao kikichukua nchi.
 
Nimejipa kazi kuwafatilia wagombea wawili wa uraisi wanaoonekana kupendwa na watu wengi, nimegundua kuwa Dr. Magufuri anawaza mambo ya miaka kama 30 ijayo ndo tule bata. Ili hali Ndg Lisu akiwaza mambo ya leo, kesho itajulikana ikifika.

Shida kwa watu wengi, bado huduma muhimu ( chakula, malazi na mavazi) ni shida njaa ni kubwa.

Cha kujiuliza ni,tufanye maendeleo atakayefika miaka hyo ale bata au tule leo wa miaka hiyo watajijua?

Maoni yangu ni kwamba Ndg Lisu aendelee kutupambania kama mwanaharakati, ili kumsutua Magufuri atoe vitu kama ajira ili hela irudi mtaani, na Dr. Magufuri aendelee na maono yake ya kujenga Tanzania ya miaka 30 ijayo.

Maoni yako ni yapi? Kumbuka maendeleo hayana chama.
Kama wameshindwa kwa miaka 30 wataweza kwa miaka 5? je hiyo miaka 30 utakuwepo?
 
Nimejipa kazi kuwafatilia wagombea wawili wa uraisi wanaoonekana kupendwa na watu wengi, nimegundua kuwa Dr. Magufuri anawaza mambo ya miaka kama 30 ijayo ndo tule bata. Ili hali Ndg Lisu akiwaza mambo ya leo, kesho itajulikana ikifika.

Shida kwa watu wengi, bado huduma muhimu ( chakula, malazi na mavazi) ni shida njaa ni kubwa.

Cha kujiuliza ni,tufanye maendeleo atakayefika miaka hyo ale bata au tule leo wa miaka hiyo watajijua?

Maoni yangu ni kwamba Ndg Lisu aendelee kutupambania kama mwanaharakati, ili kumsutua Magufuri atoe vitu kama ajira ili hela irudi mtaani, na Dr. Magufuri aendelee na maono yake ya kujenga Tanzania ya miaka 30 ijayo.

Maoni yako ni yapi? Kumbuka maendeleo hayana chama.
Ye alitakiwa aitengeneze Tanzania aliyopewa kwa miaka 5,miaka 30 haimuhusu sasa miaka mitano imeisha hamna kitu au Ndo tusubiri mpaka 30?na je msoto tunaupitia wote?
 
Nimejipa kazi kuwafatilia wagombea wawili wa uraisi wanaoonekana kupendwa na watu wengi, nimegundua kuwa Dr. Magufuri anawaza mambo ya miaka kama 30 ijayo ndo tule bata. Ili hali Ndg Lisu akiwaza mambo ya leo, kesho itajulikana ikifika.

Shida kwa watu wengi, bado huduma muhimu ( chakula, malazi na mavazi) ni shida njaa ni kubwa.

Cha kujiuliza ni,tufanye maendeleo atakayefika miaka hyo ale bata au tule leo wa miaka hiyo watajijua?

Maoni yangu ni kwamba Ndg Lisu aendelee kutupambania kama mwanaharakati, ili kumsutua Magufuri atoe vitu kama ajira ili hela irudi mtaani, na Dr. Magufuri aendelee na maono yake ya kujenga Tanzania ya miaka 30 ijayo.

Maoni yako ni yapi? Kumbuka maendeleo hayana chama.
Kwani Hawezi kuleta hayo mavitu yake bila kuteka, kupora, kuua, kupiga, watu risasi, kufunga watu bila hatia?
 
Usijifanye hujaelewa ni hivi tunataka maendeleo ya watu vitu baadae
Ndio point yangu, kwamba watu wachague aina ya maendelo wanayoyataka siyo mtu awachagulie.
Maendelo yanatokana na nguvu(Kodi) za wananchi, hivyo ni vizuri wananchi wakaamua ni kitu gani watakacho kwa nguvu zao wenyewe.
 
Mtu yeyote anayetaka kubadilisha jambo na kuona matokeo yake miaka 30 mbele hayuko serious au hajui anachofanya.

Uchumi ni jambo linalobadilika ndani ya week kadhaa tu, wenzetu hupima matokeo ya sera za uchumi katika quarters (robo mwaka).

Awaachie wanaoweza kuleta madhara katika miezi, sio miaka!!
 
Nimejipa kazi kuwafatilia wagombea wawili wa uraisi wanaoonekana kupendwa na watu wengi, nimegundua kuwa Dr. Magufuri anawaza mambo ya miaka kama 30 ijayo ndo tule bata. Ili hali Ndg Lisu akiwaza mambo ya leo, kesho itajulikana ikifika.

Shida kwa watu wengi, bado huduma muhimu ( chakula, malazi na mavazi) ni shida njaa ni kubwa.

Cha kujiuliza ni,tufanye maendeleo atakayefika miaka hyo ale bata au tule leo wa miaka hiyo watajijua?

Maoni yangu ni kwamba Ndg Lisu aendelee kutupambania kama mwanaharakati, ili kumsutua Magufuri atoe vitu kama ajira ili hela irudi mtaani, na Dr. Magufuri aendelee na maono yake ya kujenga Tanzania ya miaka 30 ijayo.

Maoni yako ni yapi? Kumbuka maendeleo hayana chama.

Utakuwa kula kulala si bure.sera za jiwe ni za kizamani hazijawahi fanikiwa popote dunia,mtu ambae ajawahi soma hata development study atajua vipi kuhusu maendeleo ya watu.
Uliona wapi unaweza tengeneza future kwa kuuwa sekta binafsi,kuuwa diplomasia, kusomesha watu namba, kuminya demokrasia,kutunga Sheria Kandamizi, huwezi endelea kwa kuwa kisiwa Hali nchi tajiri zinaimarisha diplomasia.
 
Mtu ynzeyote anayetaka kubadilisha jambo na kuona matokeo yake miaka 30 mbele hayuko serious au hajui anachofanya.

Uchumi ni jambo linalobadilika ndani ya week kadhaa tu, wenzetu hupima matokeo ya sera za uchumi katika quarters (robo mwaka).

Awaachie wanaoweza kuleta madhara katika miezi, sio miaka!!
Mfano pesa zilizowekezwa kwwenye hii miradi yote zingewekezwa kwenye kilimo ndani ya miaka 3 tu zingezaa mara tatu huku zikichochea ajira, pesa za kigeni, kuliko kutumia zaidi ya tilioni moja kununua ndege zinazoajiri watu 404 huku wanaomudu kupanda ndege awafiki hata milioni 1 nchi nzima.
Kwa mchumi hii miradi yote ilitakiwa ifanyike kwenye stage ya tatu ya ukuzaji uchumi.
Kiongozi mzuri utokana na fani ya sheria,diplomasia,uchumi au biashara, sayansi ya Jamii hizi fani zingine ni chenga tu maana zinahitaji claiming capacity na sio reasoning capacity, uongozi ni reasoning na sio claiming. Kuhesabu kilometers za barabara kumetuingiza chaka
 
Back
Top Bottom