Ametuvusha salama kipindi cha Covid-19.Ni nini cha pekee alichofanya Magufuli ambacho hakijawahi kufanyika huko nyuma?
Kama una akili na ufahamu na uwezo wa kufuatilia mambo, utagundua kuwa Magufuli alikuwa anaendesha siasa za uwongo kuwahadaa wajinga wamwone kuwa anafanya mambo makubwa sana ambayo hayajawahi kufanyika, wakati hakuna hata moja lililokuwa jipya
Baba yangu hajifanyi mungu mtu na haui watu na bado yupo haiBaba yako hajafa na kigeuka mbolea eti eeh ....??? Kufa siyo adhabu
Wanyonge ni watu wasiokuwa na elimu na wanapumbazwa kirahisi na wanasiasa laghai kama yule wa ChatoMpaka anajadiliwa na wakati kasha kufa ujue alikua mwamba kweli na ukiona wanyonge ndio walikuwa wanampenda jiulize mara mbili mbili maana hao ndio wanajua wanacho kihitaji kutoka kwa viongozi na sio mawazo yako ndio yasababishe tumchukie au tuone hakufanya la maana lolote kwa wananchi endeleeni tu kula asali ya taifa inayo tokana na nguvu ya hao wanyonge
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Aliweza ku control corona wakati corona ndio ilimuua? Ali control corona kwa maombi? Hivi kwa akili yako ugonjwa unaweza kuwa controlled na maombi?Najua Uzi Huu umeletwa maksudi
lkn nijibu kwa Hoja tuu
Mzalendo wa kweli JPM kama aliweza kukontrol Corana Iliyowasumbu hata hao wanajifanya wanajua technologia (MABEBERU) hata hichi kidogo angeweza vizri tuu na tusingefikia kwenye matozo,mabei ya ajabu ya sukari na bidhaa muhimu,
Na kila nchi ina utaratibu wake wa kiuchumi ,mfano leo mahindi gunia ni Tsh 200k lkn JPM angekuwepo hizi zoote tusingeona maana angezuia mahindi kuuzwa njee na tungekuwa na chakula cha kutosha,
kama ambavyo umesema tunajibu hoja kwa hoja ,nawe nijibu ,matusi sitakii
Hivi kwa akili yako corona inaweza kuondolewa kwa maombi? Na ndio maana ilimuondoaAmetuvusha salama kipindi cha Covid-19.
Miaka yote aliyokaa madarakani ali-control inflation. And mind you, inflation kwa Tanzania ilikuwa uncontrollable tangu June/July mwaka jana.
Uchumi unahitaji viongozi aina ya Magufuli.
Hivi kwa akili yako corona inaweza kuondolewa kwa maombi? Na ndio maana ilimuondoa
Chakula sio cha serikali mbumbumbu weee, chakula ni mali ya wakulima waliolima kwa nguvu zao na wana haki ya kuuza popote kwa bei yoyoteMy God. Huyo ni kikwete siyo Samia.
Yaani unaacha chakula kiishe afu uje uanze kugawa hehe he heee takataka
Akili za pimbi hizi
Niambie nchi gani ambayo bei ya mafuta na nafaka hazijapandaEti vilianza. Bei ya mafuta ilikuwaje?
Bei ya Nafaka ilikuwaje?
Sasa hivi kila kitu kiko juuu..hadi aibu.
Nchi ipi ya Afrika imenunua mafuta kutoka russia,? Russia huwezi kununua mafuta sababu imewekewa vikwazoAsingeweka tozo za ovyoovyo,angetafuta mafuta cheap kutoka Russia,angezuia vyakula kusafirishwa nje ya nchi hivyo kutokuongezeka Kwa bei ya vyakula.sasa hivi yote Haya yanatokea Kwa sababu ya uongozi dhaifu wa Rais samia.acha chuki zisizokuwa na maana.
Akili za Magufuli tunazifahamu zilivyokuwa kwa hiyo tunajua ambacho angefanyaPoint alafu kwanini tumkisie ange fanya hivi au inge kua hivi wao ndio walikua wanamuongoza au ndio elimu zetu za kukariri na kubet (siidharau elimu ila nina mashaka na tunaotafuta elimu)
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Tupewe kura kwa hisani ya Magufuli, wakati yeye mwenyewe ilibidi anajisi uchaguzi ili atangazwe mshindi kwa shuruti.Kila mara mnalialia tu. Fanyeni kazi la sivtyo 2025 mtaenda mkafagie kabli lake ndio mpewe kura.
Hoja ni uchumi wetu ulikuwa comparatively imara wakati wa Covid-19 kuliko nchi nyingi duniani.Hivi kwa akili yako corona inaweza kuondolewa kwa maombi? Na ndio maana ilimuondoa
Kawaulize wakulima wakorosho kilicho wakuta msimu huu wa mama.Huwa nikikumbuka sakata la sukari na korosho hakika dhalimu alikuwa na maamuzi ya hovyo Sana ila ndo rais aliye pendwa na masikini wengi kwa jina la rais wa wanyonge
Dah, mkuu watanzania wengi wana uelewa finyu sana, yaani kwa staili hii demokrasia haifai kama wanahadaiwa na wanasiasa kirahisi hivi20,000 ya Kitambulisho Cha Machinga ilipitia mlango gani?
Lini alishusha hivyo vitu wakati Sukari na Saruji vilimshinda? Hivyo vitu automatic vilishuka kwa sababu za Soko,,hakuna mwaka hata mmja Nchi jirani zilikubwa na Ukame ambayo ungelazimisha Bei za bidhaa kuwa juu,Wala hakuna mwaka hata mmja was Mwendazake Nchi ilipata mvua kidogo Ili kuathiri Bei..
Mwisho Mwaka 2021 wakati SSH anaingia bajeti ilikuwa tayari imeandaliwa na tozo zilianzishwa na Serikalini ya Mwendazake unless hujui mchakato was bajeti ndio unaweza ongea hayo..
Narudia kukwambia tozo mungelipa,na bidhaa zingeadimika huku Jiwe akishupaza shingo maana hata mkopo wa covid 19 ukichukukiwa Ili kuongeza hazina ya forex ambayo ilianguka na ambavyo Jiwe aliharibu Biashara Tzn ingeshakuwa kibra saizi maana Jiwe alitegemea zaidi mapato ya bandari na kupora pesa..
Sasa si afadhali kipindi hiki cha Samia kuliko kile kipindi Magufuli alitumia jeshi kuwapora na kisha zikaenda kumwaga baharini?Kawaulize wakulima wakorosho kilicho wakuta msimu huu wa mama.
Wakulima wanamlilia Magufuli wewe dalali unakuja na mihemko na hujui chochote kuhusu kilimo.
Na bado akiliitawakaa sawa tu
Sio tuu Wana akili finyu bali manyumbu ni wengi Sana.Dah, mkuu watanzania wengi wana uelewa finyu sana, yaani kwa staili hii demokrasia haifai kama wanahadaiwa na wanasiasa kirahisi hivi
Magufuli huyu huyu aliyekuwa akitukana watu kuwa serikali haina shamba kama huna chakula kufa, leo hii ndio anaonekana eti shujaa wa masikini ?ππ
Kweli mmeishiwa hoja kweli mnaongelea mtu au tasisi harafu hoja yako haina mashiko jaribu kufikiria kipindi kigumu alichopitia Magufuli kama corona halifanya nn je aliwaumiza hao watu au aliwasaidia sio kuandika ili kufurahisha mabwana zenu harafu Mh.MAGUFULI kamaliza kazi yake kwa sasa pambaneni na hali ya sasaKwa watetezi wa Magufuli najua mna hisia kali sana, lakini hebu jaribuni kujibu hoja kwa hoja, sio matusi
Hebu niambieni ni mambo gani Magufuli angefanya au alishafanya ambayo yangeshusha bei za vitu
Vitu kupanda bei imetokea baada ya Covid kuisha, kipindi cha covid vitu vilikuwa bei ya chini mfano mafuta, maana demand ilikuwa chini.Hoja ni uchumi wetu ulikuwa comparatively imara wakati wa Covid-19 kuliko nchi nyingi duniani.