jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Unaelezeaje kichapo cha 2015 ?Magufuli hawezi kushindana na mtupu kichwani kwenye hoja.
Nchi imemshinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaelezeaje kichapo cha 2015 ?Magufuli hawezi kushindana na mtupu kichwani kwenye hoja.
Nchi imemshinda
Kwahiyo Mbowe, Lissu, Nyalandu wote wanagombea urais? Hoja ya hovyo.Katika chaguzi zenye joto kali na la namna yake ni huu wa 2020!!
Kitakachopandisha joto zaidi ni aina ya mgombea anaetetea kiti chake kupitia CCM yaani John Pombe Magufuli.
Sipati picha combination ya Membe, Lissu, Mbowe, Nyalandu and the like mbele ya JPM.
Tunaomjua JPM ni mtu asiyeziweza hoja wala upinzani. JPM ni mtu mwoga na DHAIFU sana asiye na subira wala utulivu.
Miaka 5 yote ya kupiga kampeni mwenyewe bado hajiamini na mwoga mno.
Joto la mwaka huu tofauti na ilivyotarajiwa litakuwa kali sana huku hoja nzito nzito kutoka upinzani zikitamalaki huku JPM asijue cha kufanya!!
Hoja ya makinikia, wizi wa trillion 1.5, manunuzi ya kifisadi ya ndege, kivuko kibovu, nyumba za serikali kwa mahawara... Stigla na SGR vitatawala majukwaani huku akina Zitto wakijaribu kuwaelewesha watu ni kwa namna gani JPM kupitia ATCL amewalisha watanzania mzigo mzito wa hasara isiyobebeka!
Mbele ya hoja nzito Magufuli ni mwepesi kama karatasi!
Wewe ndo wa hovyo kama mgombea wako wa CCMKwahiyo Mbowe, Lissu, Nyalandu wote wanagombea urais? Hoja ya hovyo.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Magufuli anagombea na Nani huko Chadema?:watu hamna mgombea mnabwabwaja tuu.Magufuli haamini kinachokwenda kutokea. Siasa siasani.
Wewe ulimhurumia Magufuli ukaacha Lowassa?Hahaa mkuu umenikumbusha 2O15 alivyokuwa anapiga kampeni paka huruma.Ila moyoni alikuwa anajisemea tuu hii ngoja wanipe nchi tawanyoosha mimi kabisa wa kupigishwa push up.
Ngoma haifai hii,kule Momba juzi Silinde anawambia wananchi mambo ya Stigler's,Flyover sijui SGR jamaa wakamwambia oyaa achana na hayo mambo yaliyofanyika huko dar tuambie kilichofanyika hapa.Ngoma nzito
Kwahiyo Mbowe poyoyo tu!Kuna watu wakuwafanyia huo uhuni wakatulia ila si kariba ya watu aina ya Lissu au Membe!!
Kote kulikotokea ukombozi usikiri hakukua na Dola laah aina ya watu walioleta ukombozi ndo ilikua chachu!
Hata mimi nakubaliana na wewe kuwa Yohana atapata shida sana na kampeni za mwaka huu.Katika chaguzi zenye joto kali na la namna yake ni huu wa 2020!!
Kitakachopandisha joto zaidi ni aina ya mgombea anaetetea kiti chake kupitia CCM yaani John Pombe Magufuli.
Sipati picha combination ya Membe, Lissu, Mbowe, Nyalandu and the like mbele ya JPM.
Tunaomjua JPM ni mtu asiyeziweza hoja wala upinzani. JPM ni mtu mwoga na DHAIFU sana asiye na subira wala utulivu.
Miaka 5 yote ya kupiga kampeni mwenyewe bado hajiamini na mwoga mno.
Joto la mwaka huu tofauti na ilivyotarajiwa litakuwa kali sana huku hoja nzito nzito kutoka upinzani zikitamalaki huku JPM asijue cha kufanya!!
Hoja ya makinikia, wizi wa trillion 1.5, manunuzi ya kifisadi ya ndege, kivuko kibovu, nyumba za serikali kwa mahawara... Stigla na SGR vitatawala majukwaani huku akina Zitto wakijaribu kuwaelewesha watu ni kwa namna gani JPM kupitia ATCL amewalisha watanzania mzigo mzito wa hasara isiyobebeka!
Mbele ya hoja nzito Magufuli ni mwepesi kama karatasi!
Chadema ni wapi ?Magufuli anagombea na Nani huko Chadema?:watu hamna mgombea mnabwabwaja tuu.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Kama mbwai na iwe mbwai , mkoloni must go.Natabiri matumizi makubwa ya silaha za moto, watu kutekwa na uvunjwaji mkubwa wa sheria. Naona kampeni za wazi za bunduki v/s hoja.
ngoja mnogeshaji ajeKatika chaguzi zenye joto kali na la namna yake ni huu wa 2020!!
Kitakachopandisha joto zaidi ni aina ya mgombea anaetetea kiti chake kupitia CCM yaani John Pombe Magufuli.
Sipati picha combination ya Membe, Lissu, Mbowe, Nyalandu and the like mbele ya JPM.
Tunaomjua JPM ni mtu asiyeziweza hoja wala upinzani. JPM ni mtu mwoga na DHAIFU sana asiye na subira wala utulivu.
Miaka 5 yote ya kupiga kampeni mwenyewe bado hajiamini na mwoga mno.
Joto la mwaka huu tofauti na ilivyotarajiwa litakuwa kali sana huku hoja nzito nzito kutoka upinzani zikitamalaki huku JPM asijue cha kufanya!!
Hoja ya makinikia, wizi wa trillion 1.5, manunuzi ya kifisadi ya ndege, kivuko kibovu, nyumba za serikali kwa mahawara... Stigla na SGR vitatawala majukwaani huku akina Zitto wakijaribu kuwaelewesha watu ni kwa namna gani JPM kupitia ATCL amewalisha watanzania mzigo mzito wa hasara isiyobebeka!
Mbele ya hoja nzito Magufuli ni mwepesi kama karatasi!
Stiglers , bombawadia na flyover tumeshazisikia sana hadi tumezichoka, sijui atawadanganya nini tena watanganyika hawa ?Vijana waliotoka ma vyuoni tangu 2015-2020 hawana ajira wala nini,wanasema wanamsubiria kwny Kampeni zake aje awaletee zile story zake za stigler's sijui flyover..
Nguvu ya Dola nayo huwa ina mwisho wake. Ni nchi kibao zilikuwa na watawala maharamia wanaotawala kwa mkono wa chuma lakini siku ilipofika Vyombo Vya Dola vilisalimu amri. Nguvu ya umma usicheze nayo. Hata mimi siombei itokee hapa kwetu kwani madhara yake ni makubwa na nchi kuja kurudi tena kwenye mstari inachukuwa muda sana. Kuna wengi (hata mimi) huwa tunaona kama watanzania ni waoga wana na hawawezi kufanya fujo lakini historia inaonyesha watu wa aina hiyo ni wabaya sana na wanalipulika kama moto wa petrol mpaka kila mtu anashangaa.Shida ni kwamba wao ndo wameshika mpini, ata wasipopata kura hata moja watapora ushindi na watakuongoza tu utake usitake[emoji26] so acheni kujifariji kiujumla uchaguzi huu hauna mvuto kabisa.
Hata kwa Lowassa mulisema maneno kama haya lakini jamaa kamaliza muhula.Kuna watu wakuwafanyia huo uhuni wakatulia ila si kariba ya watu aina ya Lissu au Membe!!
Kote kulikotokea ukombozi usikiri hakukua na Dola laah aina ya watu walioleta ukombozi ndo ilikua chachu!