Uchaguzi 2020 Magufuli ataweza himili joto hili hapo Oktoba?

Uchaguzi 2020 Magufuli ataweza himili joto hili hapo Oktoba?

Ngoma haifai hii,kule Momba juzi Silinde anawambia wananchi mambo ya Stigler's,Flyover sijui SGR jamaa wakamwambia oyaa achana na hayo mambo yaliyofanyika huko dar tuambie kilichofanyika hapa.
Stigler's inafanyika dar??
 
Katika chaguzi zenye joto kali na la namna yake ni huu wa 2020!!

Kitakachopandisha joto zaidi ni aina ya mgombea anaetetea kiti chake kupitia CCM yaani John Pombe Magufuli.

Sipati picha combination ya Membe, Lissu, Mbowe, Nyalandu and the like mbele ya JPM.

Tunaomjua JPM ni mtu asiyeziweza hoja wala upinzani. JPM ni mtu mwoga na DHAIFU sana asiye na subira wala utulivu.

Miaka 5 yote ya kupiga kampeni mwenyewe bado hajiamini na mwoga mno.

Joto la mwaka huu tofauti na ilivyotarajiwa litakuwa kali sana huku hoja nzito nzito kutoka upinzani zikitamalaki huku JPM asijue cha kufanya!!

Hoja ya makinikia, wizi wa trillion 1.5, manunuzi ya kifisadi ya ndege, kivuko kibovu, nyumba za serikali kwa mahawara... Stigla na SGR vitatawala majukwaani huku akina Zitto wakijaribu kuwaelewesha watu ni kwa namna gani JPM kupitia ATCL amewalisha watanzania mzigo mzito wa hasara isiyobebeka!

Mbele ya hoja nzito Magufuli ni mwepesi kama karatasi!
Kubwa Mzee baba atulie tu kwasababu
Kuja kwa Lissu ni mtego hatari sana . watumie hekima kumpuuza wamwache tu aseme weee agombee mwisho kura zipigwe najua hata shinda ila wakianza kumpa misukosuko wajue ndio habari ya mjini hiyo.


PILI . wapinzani wanaingia KWENYE kinyang'anyiro wakijua police wao,magereza yao,kifo chao. Ogopa mtu anaekula sumu huku akijua ni sumu.
Kwa namna hiyo mwenye sumu atumie hekima kubwa ya kuitoa sumu. Police wasitumike na tume ya uchaguzi iwe fare.


Tatu. Cdm wamecheza karata nzuri sana kuruhusu watu wakagombee chama tawala . najua huko ni mbinu za kufichua yaliyopo huko . na ugomvi utakuwa kwa wale ambao wataachwa kuwapisha wale wanaokuja toka upinzani.
 
Mwaka huu Kama CCM watampigia kampen mgombea wao wa urais ni matumizi mabaya ya fedha za Chama. Kwasasa fedha za kampen ya urais wazielekeze kujenga na kukarabati vyuo vya uongozi na Taasisi nyingine za CCM.
Mkuu, usipotoshe wanachama. Kinana aliongea ukweli juzi. Uchaguzi huu si mwepesi pamoja na mazuri yote yaliyofanyika.
 
Mkuu, usipotoshe wanachama. Kinana aliongea ukweli juzi. Uchaguzi huu si mwepesi pamoja na mazuri yote yaliyofanyika.
Ila kinana ni jasiri sana . kumbuka haki ya vyama wengine wanashikwa na kufungwa wengine wanapeta.


Yaani Tundu lissu apande jukwaani akiwa amevaa bukta aoneshe majeraha Yake unadhani watu watakumbuka fly over?
 
Katika chaguzi zenye joto kali na la namna yake ni huu wa 2020!!

Kitakachopandisha joto zaidi ni aina ya mgombea anaetetea kiti chake kupitia CCM yaani John Pombe Magufuli.

Sipati picha combination ya Membe, Lissu, Mbowe, Nyalandu and the like mbele ya JPM.

Tunaomjua JPM ni mtu asiyeziweza hoja wala upinzani. JPM ni mtu mwoga na DHAIFU sana asiye na subira wala utulivu.

Miaka 5 yote ya kupiga kampeni mwenyewe bado hajiamini na mwoga mno.

Joto la mwaka huu tofauti na ilivyotarajiwa litakuwa kali sana huku hoja nzito nzito kutoka upinzani zikitamalaki huku JPM asijue cha kufanya!!

Hoja ya makinikia, wizi wa trillion 1.5, manunuzi ya kifisadi ya ndege, kivuko kibovu, nyumba za serikali kwa mahawara... Stigla na SGR vitatawala majukwaani huku akina Zitto wakijaribu kuwaelewesha watu ni kwa namna gani JPM kupitia ATCL amewalisha watanzania mzigo mzito wa hasara isiyobebeka!

Mbele ya hoja nzito Magufuli ni mwepesi kama karatasi!

Mantiki inatuambia kama mtu hana kitu huwezi kuona mtu anahangahika naye. Mnajaza uzi kuhusu JPM badala ya mnaowapenda. Amba lulu na Gigi wanatosha kupambana na hao wakina Lissu nk. Sisi Tz. Jembe letu Ni JPM. kuongea hata mimi Nini PHD 2. DDR. Lakini Tz inahitaji Mtendaji wa kuwaminya wavivu kama nyie. Maneno 24 hours. No actions.
 
Mantiki inatuambia kama mtu hana kitu huwezi kuona mtu anahangahika naye. Mnajaza uzi kuhusu JPM badala ya mnaowapenda. Amba lulu na Gigi wanatosha kupambana na hao wakina Lissu nk. Sisi Tz. Jembe letu Ni JPM. kuongea hata mimi Nini PHD 2. DDR. Lakini Tz inahitaji Mtendaji wa kuwaminya wavivu kama nyie. Maneno 24 hours. No actions.
Kuwe na tume huru na police wakae pembeni uone uchaguzi halisi
 
Katika chaguzi zenye joto kali na la namna yake ni huu wa 2020!!

Kitakachopandisha joto zaidi ni aina ya mgombea anaetetea kiti chake kupitia CCM yaani John Pombe Magufuli.

Sipati picha combination ya Membe, Lissu, Mbowe, Nyalandu and the like mbele ya JPM.

Tunaomjua JPM ni mtu asiyeziweza hoja wala upinzani. JPM ni mtu mwoga na DHAIFU sana asiye na subira wala utulivu.

Miaka 5 yote ya kupiga kampeni mwenyewe bado hajiamini na mwoga mno.

Joto la mwaka huu tofauti na ilivyotarajiwa litakuwa kali sana huku hoja nzito nzito kutoka upinzani zikitamalaki huku JPM asijue cha kufanya!!

Hoja ya makinikia, wizi wa trillion 1.5, manunuzi ya kifisadi ya ndege, kivuko kibovu, nyumba za serikali kwa mahawara... Stigla na SGR vitatawala majukwaani huku akina Zitto wakijaribu kuwaelewesha watu ni kwa namna gani JPM kupitia ATCL amewalisha watanzania mzigo mzito wa hasara isiyobebeka!

Mbele ya hoja nzito Magufuli ni mwepesi kama karatasi!
Hiyo combination ni kali kuliko ya Lowasa, Sumaye, Mbowe, babu Duni, Mbatia na Lipumba?
 
Vijana waliotoka ma vyuoni tangu 2015-2020 hawana ajira wala nini,wanasema wanamsubiria kwny Kampeni zake aje awaletee zile story zake za stigler's sijui flyover..
Ndugu Zangu Msemakweli Ni Mpenzi Wa Mungu
Mshahara Hata Mimi Haunitoshi, Chungu Kitakapojaa Tutagawana.

Hata Hivyo Ndugu Zangu Bado Sijamaliza Kipindi Changu
Mimi Sitawaongeza Tshs 10000/= Nitawapa Nyingi

😀😁😂😅😄😃🤣😑🤨😶😐🤔😎😎🤗🤩😗😘😑😊😊
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
 
Kule Babati walijaza gesti zote kumhujumu jembe mwaka 2015 lakini Jembe akitumia mbinu za medani alimgaragaza vilivyo EL na UKAWA.
Jiulize ni mbunge au diwani gani asiyependa kutumia jina la JPM ili ashinde mwaka huu
Hamna kitu hapo JPM ana hali mbaya sana hoja ya MAENDELEO YA VITU VS MAENDELEO YA WATU tena mengine yapo kisheria yatamfunga sana kuliko wanaCCM wanavyofikiria.
 
Tuombe vyama vya upinzani wachague wale walio kipigania chama miaka yote mitano. Yaani patachimbika
Wakifanya kinyume na hapo, nitampigia Magufuli kampeni ya kufa mtu kama nilivyofanya mwaka uleeee.
 
Back
Top Bottom