Uchaguzi 2020 Magufuli ataweza himili joto hili hapo Oktoba?

Uchaguzi 2020 Magufuli ataweza himili joto hili hapo Oktoba?

Kule Babati walijaza gesti zote kumhujumu jembe mwaka 2015 lakini Jembe akitumia mbinu za medani alimgaragaza vilivyo EL na UKAWA.
Jiulize ni mbunge au diwani gani asiyependa kutumia jina la JPM ili ashinde mwaka huu
Kuwa mstaarabu maliza kwanza Qunya ndo uchangie hebu soma upya utopolo wako
 
Kiukweli jamaa ana kazi ngumu sana Octoba na hili analijua vizuri sana ndo maana anahaha kutumia vibanio kila sehemu kupitia polisi, tume, sheria mbovu, ukatili ikiwemo matumizi ya bunduki mapanga, na kila aina ya ghasia ametumia pamoja na kukusanya waganga wa kienyeji kila kona ya nchi, mara ooh umoja wa Waganga na wachawi wa Gambosi wanampongeza sijui nani kwa mapumziko huko burigi.

Mbaya zaidi hapendi chalenji ukimzidi hoja anakimbilia panga yaani kama baba ubaya sasa atakiona cha mtema kuni bila kusahau kibano alichowapa ccm huko dodoma asidhani kwamba amewaweza usaliti utakaotamalaki in 2020 General Election hatasahau maishani mwake.

Kinacho ogopesha ni pale Tundi Antipus Mung'hwai Lissu atakapo panda jukwaani aisee akaazime polisi huko rwanda, Burundi na kwingineko na mwaka huu makombeo yatarusha juu Helmet za mamurere mpaka basi, atavurugika na kuvurugwa push up hazitapigika
Comment of the day 👏👏👏
 
Hoja za upinzani zinafahamika na zimeshajibiwa, hakuna jipya.
 
Katika chaguzi zenye joto kali na la namna yake ni huu wa 2020!!

Kitakachopandisha joto zaidi ni aina ya mgombea anaetetea kiti chake kupitia CCM yaani John Pombe Magufuli.

Sipati picha combination ya Membe, Lissu, Mbowe, Nyalandu and the like mbele ya JPM.

Tunaomjua JPM ni mtu asiyeziweza hoja wala upinzani. JPM ni mtu mwoga na DHAIFU sana asiye na subira wala utulivu.

Miaka 5 yote ya kupiga kampeni mwenyewe bado hajiamini na mwoga mno.

Joto la mwaka huu tofauti na ilivyotarajiwa litakuwa kali sana huku hoja nzito nzito kutoka upinzani zikitamalaki huku JPM asijue cha kufanya!!

Hoja ya makinikia, wizi wa trillion 1.5, manunuzi ya kifisadi ya ndege, kivuko kibovu, nyumba za serikali kwa mahawara... Stigla na SGR vitatawala majukwaani huku akina Zitto wakijaribu kuwaelewesha watu ni kwa namna gani JPM kupitia ATCL amewalisha watanzania mzigo mzito wa hasara isiyobebeka!

Mbele ya hoja nzito Magufuli ni mwepesi kama karatasi!
Katika hao uliowataja ambao hawakuwepo upinzani 2015 ni Nyarandu na Membe tu,
Hebu twambie Nyarandu na Membe wana kipi kipya kulinganisha na wana ccm wale wa lowasa walioenda chadema 2015?
 
Wakifanya kinyume na hapo, nitampigia Magufuli kampeni ya kufa mtu kama nilivyofanya mwaka uleeee.
Hawawezi.
Mwaka huu matukio yatakayopelekwa kwa wananchi
1. Bomoa bila fidia
2. Kufutwa wanagunzi udom na kubakiza watoto Wa wakubwa
3. Uhuru wa kujieleza
4. Kuminywa kwa democracy
5. Mikataba ya siri
6. Ujenzi wa siri wa miundombinu
7. Upendeleo alikotoka mkulu
8. Jaza wewe.............
 
Hawawezi.
Mwaka huu matukio yatakayopelekwa kwa wananchi
1. Bomoa bila fidia
2. Kufutwa wanagunzi udom na kubakiza watoto Wa wakubwa
3. Uhuru wa kujieleza
4. Kuminywa kwa democracy
5. Mikataba ya siri
6. Ujenzi wa siri wa miundombinu
7. Upendeleo alikotoka mkulu
8. Jaza wewe.............
Nasikia Makonda Bashite ameachia kiti cha URC
 
Atapata upinzani ndani ya CCM na kutoka kwa wapinzani.

Kachero katangulizwa tu lakini kuna kundi la watu wa maana wanagugumia chinichini kwa maumivu na sehem pekee ya kupunguzia machungu ni October 2020. Kundi hilo lipo nyuma ya Kachero wakiwemo watu wa mikakati ya ushindi kuanzia wa halali hadi wa goli la mkono.
 
Atapata upinzani ndani ya CCM na kutoka kwa wapinzani.

Kachero katangulizwa tu lakini kuna kundi la watu wa maana wanagugumia chinichini kwa maumivu na sehem pekee ya kupunguzia machungu ni October 2020. Kundi hilo lipo nyuma ya Kachero wakiwemo watu wa mikakati ya ushindi kuanzia wa halali hadi wa goli la mkono.
Black colonial master must go
 
Atapata upinzani ndani ya CCM na kutoka kwa wapinzani.

Kachero katangulizwa tu lakini kuna kundi la watu wa maana wanagugumia chinichini kwa maumivu na sehem pekee ya kupunguzia machungu ni October 2020. Kundi hilo lipo nyuma ya Kachero wakiwemo watu wa mikakati ya ushindi kuanzia wa halali hadi wa goli la mkono.
Yaani wazee wa system
Akina
Nape
January
Hawa mioyoni mwao wanamafundo makubwa sana . lazima wakiwashe yaani.
 
Katika chaguzi zenye joto kali na la namna yake ni huu wa 2020!!

Kitakachopandisha joto zaidi ni aina ya mgombea anaetetea kiti chake kupitia CCM yaani John Pombe Magufuli.

Sipati picha combination ya Membe, Lissu, Mbowe, Nyalandu and the like mbele ya JPM.

Tunaomjua JPM ni mtu asiyeziweza hoja wala upinzani. JPM ni mtu mwoga na DHAIFU sana asiye na subira wala utulivu.

Miaka 5 yote ya kupiga kampeni mwenyewe bado hajiamini na mwoga mno.

Joto la mwaka huu tofauti na ilivyotarajiwa litakuwa kali sana huku hoja nzito nzito kutoka upinzani zikitamalaki huku JPM asijue cha kufanya!!

Hoja ya makinikia, wizi wa trillion 1.5, manunuzi ya kifisadi ya ndege, kivuko kibovu, nyumba za serikali kwa mahawara... Stigla na SGR vitatawala majukwaani huku akina Zitto wakijaribu kuwaelewesha watu ni kwa namna gani JPM kupitia ATCL amewalisha watanzania mzigo mzito wa hasara isiyobebeka!

Mbele ya hoja nzito Magufuli ni mwepesi kama karatasi!
Lusungo, angalia mkuu utatengwa nyumbani kwenu yaani hukisapoti jiwe kabisa wakati linatoka kanda?
 
Katika chaguzi zenye joto kali na la namna yake ni huu wa 2020!!

Kitakachopandisha joto zaidi ni aina ya mgombea anaetetea kiti chake kupitia CCM yaani John Pombe Magufuli.

Sipati picha combination ya Membe, Lissu, Mbowe, Nyalandu and the like mbele ya JPM.

Tunaomjua JPM ni mtu asiyeziweza hoja wala upinzani. JPM ni mtu mwoga na DHAIFU sana asiye na subira wala utulivu.

Miaka 5 yote ya kupiga kampeni mwenyewe bado hajiamini na mwoga mno.

Joto la mwaka huu tofauti na ilivyotarajiwa litakuwa kali sana huku hoja nzito nzito kutoka upinzani zikitamalaki huku JPM asijue cha kufanya!!

Hoja ya makinikia, wizi wa trillion 1.5, manunuzi ya kifisadi ya ndege, kivuko kibovu, nyumba za serikali kwa mahawara... Stigla na SGR vitatawala majukwaani huku akina Zitto wakijaribu kuwaelewesha watu ni kwa namna gani JPM kupitia ATCL amewalisha watanzania mzigo mzito wa hasara isiyobebeka!

Mbele ya hoja nzito Magufuli ni mwepesi kama karatasi!
Naiona pacemaker inazima katikati ya kampeni,

Mwaka huu ataruka kichura chura badala ya push ups
 
Nguvu ya Dola nayo huwa ina mwisho wake. Ni nchi kibao zilikuwa na watawala maharamia wanaotawala kwa mkono wa chuma lakini siku ilipofika Vyombo Vya Dola vilisalimu amri. Nguvu ya umma usicheze nayo. Hata mimi siombei itokee hapa kwetu kwani madhara yake ni makubwa na nchi kuja kurudi tena kwenye mstari inachukuwa muda sana. Kuna wengi (hata mimi) huwa tunaona kama watanzania ni waoga wana na hawawezi kufanya fujo lakini historia inaonyesha watu wa aina hiyo ni wabaya sana na wanalipulika kama moto wa petrol mpaka kila mtu anashangaa.
Kwa tulipofikia bora iwe hvyo tuu mkuu
 
Have you already forgotten what's happen during the time of Lowasa ? Mtoto wa nyoka ni nyoka .
 
Back
Top Bottom