Uchaguzi 2020 Magufuli ataweza himili joto hili hapo Oktoba?

Kule Babati walijaza gesti zote kumhujumu jembe mwaka 2015 lakini Jembe akitumia mbinu za medani alimgaragaza vilivyo EL na UKAWA.
Jiulize ni mbunge au diwani gani asiyependa kutumia jina la JPM ili ashinde mwaka huu
Kuwa mstaarabu maliza kwanza Qunya ndo uchangie hebu soma upya utopolo wako
 
Comment of the day 👏👏👏
 
Hoja za upinzani zinafahamika na zimeshajibiwa, hakuna jipya.
 
Katika hao uliowataja ambao hawakuwepo upinzani 2015 ni Nyarandu na Membe tu,
Hebu twambie Nyarandu na Membe wana kipi kipya kulinganisha na wana ccm wale wa lowasa walioenda chadema 2015?
 
Wakifanya kinyume na hapo, nitampigia Magufuli kampeni ya kufa mtu kama nilivyofanya mwaka uleeee.
Hawawezi.
Mwaka huu matukio yatakayopelekwa kwa wananchi
1. Bomoa bila fidia
2. Kufutwa wanagunzi udom na kubakiza watoto Wa wakubwa
3. Uhuru wa kujieleza
4. Kuminywa kwa democracy
5. Mikataba ya siri
6. Ujenzi wa siri wa miundombinu
7. Upendeleo alikotoka mkulu
8. Jaza wewe.............
 
Nasikia Makonda Bashite ameachia kiti cha URC
 
Atapata upinzani ndani ya CCM na kutoka kwa wapinzani.

Kachero katangulizwa tu lakini kuna kundi la watu wa maana wanagugumia chinichini kwa maumivu na sehem pekee ya kupunguzia machungu ni October 2020. Kundi hilo lipo nyuma ya Kachero wakiwemo watu wa mikakati ya ushindi kuanzia wa halali hadi wa goli la mkono.
 
Black colonial master must go
 
Yaani wazee wa system
Akina
Nape
January
Hawa mioyoni mwao wanamafundo makubwa sana . lazima wakiwashe yaani.
 
Lusungo, angalia mkuu utatengwa nyumbani kwenu yaani hukisapoti jiwe kabisa wakati linatoka kanda?
 
Naiona pacemaker inazima katikati ya kampeni,

Mwaka huu ataruka kichura chura badala ya push ups
 
Kwa tulipofikia bora iwe hvyo tuu mkuu
 
Have you already forgotten what's happen during the time of Lowasa ? Mtoto wa nyoka ni nyoka .
 
Mbona kongwa sion vijana wakichangamkia fursa wanaogopa fimbo ya job ndugai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…