G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Mimi namfahamu na ni rafiki yangu sana!!Mwinuka ni Mhaya au Mhehe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi namfahamu na ni rafiki yangu sana!!Mwinuka ni Mhaya au Mhehe?
Sasa hawa wahadhiri mbona wanaisha pale UDSM😵😵😵
Hii INA maana moja tu ktk nchi hii anae jua ni yeye tu! Wengine wote hawajui wanapaswa kumuuliza kwa kila kitu. Yeye ndie msaafu wa nini kifanyikeKama sijakosea na km nimekosea niwiwe radhi bure Rais alisema "kama hujui kitu cha kufanya uliza" Hii kauli ndio inayowatumbua wengi. Na pia nafikiri wale waliopewa mamlaka ktk vitengo au wizara fulani hawajajua nini maono ya Rais maguful. Jambo usilolijua nisawa na usiku wa giza hata km utaonekana unaenda wale wanaojua hiyo njia watajua kuwa haujui kutokana na mwendo wako,utakuwa wa mashaka ingawa unaonekana unaenda. Maguful anajua ni wapi anataka kuipeleka hii nchi,ndie mbeba maono. Ishu wengine hawajajua tunakopelekwa kwakuwa tulizoea mfumo fulani wakila mtu kuwa na maono yake. Hii ndio shida. Mm aijamchaagua ila ni raisi wangu na inanibidi nikubaliane nae tena hata km sikutaka kumuombea ninamuombea sasa kwakuwa aliomba tumuombee. Tusubiri tuone tunakoelekea na ninyi viongozi si kila jambo mnatutwisha sisi wananchi mzigo. Leo hii kila mtu analia maisha magumu sheleli haionekani,matokeo yake mnatuongezea 8 asilimia ya umeme. Hamna hata aibu kweli au kwasababu mko kwenye vitengo? Wale wa vijijini wanaotegemea zao moja la msimu wafanyeje? Mvua yenyewe imegoma,mnaongeza bei ya umeme!! Ni shida. Nampongeza Rais na Mungu amlinde. Tulikuwa tumepotea njia saana ,sasa tutajua km tuendako ndionau siko,ila magufuli km dreva anajua anakoenda,tukifika atashika brek tu.
Tanesco bado sana hichi ni kiharara tu kakiminyaMagu, umebakiwa na kazi moja tu katika tumbua jipu...
Sasa ifuate zamu ya mkurugenzi mkuu wa DAWASCO.. Inahitajika damu mpya pale ili shirika liweze kusonga mbele...
Wivu na hasira zilizochanganyikana na umaskini hizi
Anaiachaje bodi ya Tanesco sasa?anaacha kuzuia mabillion yanayolipwa kwa IPTL kila leo kwa jasho la kodi yetu anaenda kumuondoa mramba?
Kuendesha nchi kwa ubaguz wa udini na ukabila hakuna mwisho mwema
tatizo sio hizo unit 700 kwani hata zikipigwa panga kama hakuna mfumo mzuri bado shirika hasara...ingekuwa wanajiendesha kwa faida na hawapandishi bei ovyo. tusingelalamika..
kwanza wajiendeshe kwa faida kwa kufanya kazi kwa spidi.... ndio wapate bonus.
mtu haperform na bado unampa unit 700 huko ni kulea ujinga..
nitajie shirika popote linalogawa bonus huku linajiendesha kwa hasara
The home of intellectuals, hawataisha mkuuSasa hawa wahadhiri mbona wanaisha pale UDSM😵😵😵
Mkuu ongezea .....pia wana mishahara mikubwa plus marupurupu kibao na mianya ya rushwa ya nguvuNaunga mkono Mramba kutumbuliwa...
kosa lake ni kukosa ubunifu, yaan kila wakijisikia tu ni kuongeza Bei ya umeme kwa wananchi? hamna ubunifu mwingine tofauti na kuongeza gharama kwa wananchi?
Kwa nini wasipunguze zile offer za Units kwa wafanyakazi wao? au wazifute kabisa hizo offer...! haiwezekani wafanyakazi takribani zaidi ya mia 500 tuwalipie gharama za umeme afu wao wanapikia majiko ya Umeme kila siku, sisi tunajibana na mkaa au gas wao tuwalipie!! haiwezekani...
labda bado anavutiwa pumzi, au ni "mwenzetu" kama waziri wake.Mhhh utumbuaji huu ila wa ewura naona kapona
Kwa taarifa yako ile bodi,lazima isamnaratishwe,ndio chanzo cha uchafu hata kule kwenye flow meter za bandarini.Mhhh utumbuaji huu ila wa ewura naona kapona
Kumekua na Wimbi la Kuteua Wahadhiri ambao hawajawahi hata kukaa Ofisini zaidi ya Kuzoea Ku deal na Coursework za wanafunzi
"Mchapakazi hatari" una maanisha nini mkuu?Kwa kweli huyu Dr.Mwinuka aliyeteuliwa anastahili cheo hicho,kwa wanaomfahamu huyu jamaa ni mchapakazi hatari mwenye hofu ya Mungu
Sio kila postninahotaji ubunifu, huyo mrambi aliyekuwa mbunifu ni kili alichokifanya zaidi ya kuliingiza shirika katika madeni na kubuni watumiaji ndio walipe, kwa sasa tanesco waziri hisika anao utaalamu na uzoefu wala haitajiki mkurugenzi pale, mtu muhimu ni fundi wa service line endapo kutatokea dharura. Safi mheshimiwa raisi, mungu ibariki Tanzania.Mwinuka????? Dah haya bwana... Ila katoa fadhila kwa Wahaya ili kesho abwate weee na mambo mengine yaende!! Mwinuka ni mchanga mno na hajawahi kuwa mbunifu hata kidogo.! Hapana!! Mwinuka Tito hapana!!!!!
The old adageTeua tengua, tengua teua.
Mikutano yote wananchi walipinga ila ewura na tanesco wamepandisha kimyakimyaHii serikali mbona inafanya watu wote kama hatuna akili. kuhusu kupandisha kwa bei mbona EWURA waliweka kila kitu public?? Kwann serikali isiingilie kati toka wakati ule???. Yan Jan Mos imefika maamuzi ya mlipulipuko yanafanyika as if ndo serikali yote imejua jana kwamba bei ya umeme itapanda. Hapa ndipo serikali ya Mtukufu Rais inapopofanya siasa wakati ndugu zangu wa Upinzani wanapigwa mikwara kila leo. Hiz ni siasa uchwara.[HASHTAG]#SerikaliYaMilipuko[/HASHTAG].
Na Magufuli keshawajulia anajuwa mnapenda kumuona akifukuza fukuza watu ili mwendelee kumuita "Jembe" mkijakushtuka 2020 hana alichofanya.Hapo ndo unaona makali ya JPM ukimpa pande hakuachi.