Troll JF
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 7,804
- 12,237
Kumekua na Wimbi la Kuteua Wahadhiri ambao hawajawahi hata kukaa Ofisini zaidi ya Kuzoea Ku deal na Coursework za wanafunzi hivi kwa mfano Utumbuzi wa Lawrence Mafuru pale Wizara ya Fedha alikosekana mtu kweli hadi wakaenda kumchukua Lecture wa Economics UDSM?
Mwele Malecela ametumbuliwa hivi karibuni katika kitui cha Utafiti wa Tiba na Magonjwa cha Ajabu hajapelekwa pale Daktari Wa binanadamu amepelekwa mtu aliyebobea kwenye Fisheries!
Leo hii ametumbuliwa ndugu Engineer Mramba hivi hata pale TANESCO walimkosa mtu wa kushika nafasi hiyo sizijui sana mpangilio/hirachy za vyeo pale Tanesco lakini Hata Regional Managers wanaweza kushika nafasi hiyo tofauti na aliyetoka kushika chako moja kwa moja.
Mwele Malecela ametumbuliwa hivi karibuni katika kitui cha Utafiti wa Tiba na Magonjwa cha Ajabu hajapelekwa pale Daktari Wa binanadamu amepelekwa mtu aliyebobea kwenye Fisheries!
Leo hii ametumbuliwa ndugu Engineer Mramba hivi hata pale TANESCO walimkosa mtu wa kushika nafasi hiyo sizijui sana mpangilio/hirachy za vyeo pale Tanesco lakini Hata Regional Managers wanaweza kushika nafasi hiyo tofauti na aliyetoka kushika chako moja kwa moja.