Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, F. Mramba. Amteua Dkt. Mwinuka kukaimu

Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, F. Mramba. Amteua Dkt. Mwinuka kukaimu

mtu baada apokee happy new year card, anakutana na kitu ya kutenguliwa!!!, mheshimiwa hatari sana
 
Magu, umebakiwa na kazi moja tu katika tumbua jipu...
Sasa ifuate zamu ya mkurugenzi mkuu wa DAWASCO.. Inahitajika damu mpya pale ili shirika liweze kusonga mbele...
 
Hamna kitu ni fukuza fukuza na kuteuwa teua tu hadi miaka 5 kwisha Mtz bado anasaka milo 1 wa chakula kwa tabu sana, umaskini haujawai kupungua ni shida na kwenda mbele sioni jipya.
 
Inabidi kuwa makini tukinunua umeme tucheck kama figure zimekaa vilevile maana naamini watu WA IT watakuwa walishaandaa code ikitrigger tu tarehe moja itoe mchanganuo mpya,unless wawe wameitwa kuja kufuta ki code Chao[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
 
c9d1d93e6e6a407554b5c67ea449ed62.jpg
nani kaiandika hii[emoji1540][emoji1540][emoji23][emoji23]
 
Magu, umebakiwa na kazi moja tu katika tumbua jipu...
Sasa ifuate zamu ya mkurugenzi mkuu wa DAWASCO.. Inahitajika damu mpya pale ili shirika liweze kusonga mbele...
Ningelikuwa mimi ningelondoa vitu vyangu ofisini na kudai madeni yangu. Kaa standby! Kaa chonjo saa mbaya.
 
Kama sijakosea na km nimekosea niwiwe radhi bure Rais alisema "kama hujui kitu cha kufanya uliza" Hii kauli ndio inayowatumbua wengi. Na pia nafikiri wale waliopewa mamlaka ktk vitengo au wizara fulani hawajajua nini maono ya Rais maguful. Jambo usilolijua nisawa na usiku wa giza hata km utaonekana unaenda wale wanaojua hiyo njia watajua kuwa haujui kutokana na mwendo wako,utakuwa wa mashaka ingawa unaonekana unaenda. Maguful anajua ni wapi anataka kuipeleka hii nchi,ndie mbeba maono. Ishu wengine hawajajua tunakopelekwa kwakuwa tulizoea mfumo fulani wakila mtu kuwa na maono yake. Hii ndio shida. Mm aijamchaagua ila ni raisi wangu na inanibidi nikubaliane nae tena hata km sikutaka kumuombea ninamuombea sasa kwakuwa aliomba tumuombee. Tusubiri tuone tunakoelekea na ninyi viongozi si kila jambo mnatutwisha sisi wananchi mzigo. Leo hii kila mtu analia maisha magumu sheleli haionekani,matokeo yake mnatuongezea 8 asilimia ya umeme. Hamna hata aibu kweli au kwasababu mko kwenye vitengo? Wale wa vijijini wanaotegemea zao moja la msimu wafanyeje? Mvua yenyewe imegoma,mnaongeza bei ya umeme!! Ni shida. Nampongeza Rais na Mungu amlinde. Tulikuwa tumepotea njia saana ,sasa tutajua km tuendako ndionau siko,ila magufuli km dreva anajua anakoenda,tukifika atashika brek tu.
 
Back
Top Bottom