Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mm nashangaa sasa sijui tutafundishwa na naniSasa hawa wahadhiri mbona wanaisha pale UDSM😵😵😵
Mkuu nimecheka sana kwa post ya huyo mshikaji!! Kampatia jamaa jibu la ukweli.Kabisaaa
=TUMBUATeua tengua, tengua teua.
Huenda unamjua vzr hebu lete habari zake..... maana mtukufu ilimradi uwe unaitwa Dr au EngMwinuka????? Dah haya bwana... Ila katoa fadhila kwa Wahaya ili kesho abwate weee na mambo mengine yaende!! Mwinuka ni mchanga mno na hajawahi kuwa mbunifu hata kidogo.! Hapana!! Mwinuka Tito hapana!!!!!
Ha ha haaa!!Hata mm nashangaa sasa sijui tutafundishwa na nani
Kama production costs ni 100 Ths unatakiwa uuzeje ili ujiendeshe?Kosa Ni kuwaongezea mzigo wananchi wakati mzigo walio nao umewachosha
Kiufupi Mzee hataki masihara....na ni kiashiria kwamba hajachoka kujenga nidhani na uwajibikaji serikalini.Duh...... Yaani siku ya kwanza tu ya mwaka 2017, tayari Magu kauanza kwa kutumbua mtu!
Basi tutarajie mwaka huu utakuwa wa utumbuaji wa kutisha zaidi .......