Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wataajiriwa wengine wasomi wako wengi sanaAnaweza kuiua UDSM bila ya mwenyew kujijua. Maana wahadhiri wote wanapelekwa kwenye siasa chuo kinabaki na makapi tu. Suala la human resource planning kwa UDSM linapwaya sasa.
Ebu niambie, elimu yako? (sina nia ya dharau, hapana, nielewe please) nataka tuwe na common definition of our terms so that we can make syllogism work. Are you an academician? then tutaelimishana!Swali La Msingi naweza Kukuuliza Wewe Unaamini Waadhiri wapya Hawapo wala hawawezi Kutokea? Nafikiri Kuondoka Kwa Mmoja Kunaleta Kuzalishwa Kwa Wengi Zaidi. Nafikiri ni Uoga Tu
Tunaisha!Nimeamini, mtaisha nyote!
Huyu Mramba kazi ilimshinda halafu alihujumu sana CCM kwenye uchaguzi kwa kukata kata hovyo umeme.....Ni mfuasi wa CHADEMA huyu
Nina wasiwas UDSM inaweza kuachwa hoi kutokana na hizi teuzi za mheshimiwa rais!kWELI BANA, MANAKE ATAKAYEMTEUA LAZIMA ATATOKA UDSM NA ATAKUWA MHADHIRI, MARK MY WORDS
Na uoga huu ndo unawafanya watu waamini kuwa ccm ni baba kumbe ni mtu tunaetakiwa kumpa kazi getini na kumrudisha jikoni kesho yakeSwali La Msingi naweza Kukuuliza Wewe Unaamini Waadhiri wapya Hawapo wala hawawezi Kutokea? Nafikiri Kuondoka Kwa Mmoja Kunaleta Kuzalishwa Kwa Wengi Zaidi. Nafikiri ni Uoga Tu
alimuhujumu sana kipindi cha uchaguzi umeme ulikatika sana mpaka JK akawacharukia Tanesco huko LindiSikubaliani na wewe,JPM alivyokuja Arusha kipindi cha kampeni umeme ulikaa kwa siku mbili bila ya kukatika. Ilikua ni mara ya kwanza tokea mwezi wa 6 2015.