Rais2020
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 3,248
- 5,537
Huyu wa ewura hawezi kutumbuliwa kwa sababu zilizo nje ya mfumo ulioratibiwaIla mbona jamaaa namuonaga anapiga kaz kisomi sana mramba ...ila duh hizi drama ...
Na wa ewura nae mbona kaachwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu wa ewura hawezi kutumbuliwa kwa sababu zilizo nje ya mfumo ulioratibiwaIla mbona jamaaa namuonaga anapiga kaz kisomi sana mramba ...ila duh hizi drama ...
Na wa ewura nae mbona kaachwa
Kwan Msigwa atakapo tenguliwa,press release ataandaa nan?Ila Msigwa atakuwa keshaiva kwenye kuandaa barua za kutengua angeanza kumjenga na kwenye maeneo mengine
Lengo la chama hujui ni kuua elimu ya bongo mtawalike vizuriSasa hawa wahadhiri mbona wanaisha pale UDSM😵😵😵
Unbelievable! Ngoja kila mmoja aguswe then 2020 kila mmoja atakuwa na akili, good!Umeme kupandishwa
Rais ameshangazwa na kitendo cha watendaji waliopandisha bei ya umeme bila hata ya kushauriana na yeye, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu au Waziri wa Nishati na Madini, Prof Sospeter Muhongo.Mwaka mpya Eng.Mramba anauanza vibaya
kWELI BANA, MANAKE ATAKAYEMTEUA LAZIMA ATATOKA UDSM NA ATAKUWA MHADHIRI, MARK MY WORDSSasa hawa wahadhiri mbona wanaisha pale UDSM😵😵😵
Anaweza kuiua UDSM bila ya mwenyew kujijua. Maana wahadhiri wote wanapelekwa kwenye siasa chuo kinabaki na makapi tu. Suala la human resource planning kwa UDSM linapwaya sasa.
Hivi kosa ndio hilo la kuiomba EWURA ipandishe bei ili kuweza kujiendesha?au kuna mengine?
Mkuu,ni kweli znanyesha?Hakuna kujali, aje huku Arusha mvua zimeanza kunyesha za nguvu, aje awahi shamba maana ajira siku hizi hakuna naye ajiajiri sasa