habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,749
yapNi kama kula na kuliwa
mwinuka ni songeaMajina ya Njombe/Ludewa hayo
Mkuu ata mimi nilikuwa ninamkubali sana Mramba kwa utendaji wake mzuri.ameibadilisha sana tanesco kiutendaji.Toka alipoteuliea mramba kwa maoni yangu na kwa mara ya kwanza niliona tanesco wakifanya vizuri kwenye kutoa huduma kuliko wakurugenzi wote waliopita,,zile kelele za uooooo tulishazisahau ila si muda mrefuu zinarudiii
wapiga kelele mkuu hawatakuelewa nimesema na narudia tena mramba ni one of the best md's waliowahi kuwepo na kaliinua sana shirikaSasa Mramba na Magufuli + Muhongo nani dhaifu kiutendaji? Au kwakuwa wanapigapiga makelele majukwaani! Hivi TANESCO aliyoikuta Mramba unaifahamu? Ile TANESCO ya Mhando!
Kilaza kweli wewe,unajua hata maana ya tetesi??Tumia akili usibwatebwate hovyo,ni lini EWURA iliweka wazi suala la kupanda gharama za umeme kama sio jana? Tetesi zilikuwepo tangia octoba zilienea sana mitandaoni,je ulitaka serikali ijibu tetesi??? Mahaba ya ukawa uasikukabe uwe mtumwa wa fikra.
mkuu umeongea mawe mno point tupuLet say he is right kachukizwa na maamuz ya kupandishwa kwa bei ya umeme ni obvious kwamba Mramba hawez kufanya hivyo bila baraka ya bodi..sasa anaiachaje bodi na kumuondoa mramba.
Pili shirika kama Tanesco linahitaji taaluma ya uendeshaji na siyo kuchukua intruder ambae hata hafaham na hana taaluma hiyo na wala hana experience ya uendeshaji
Mfano Dr Idrisa Rashid ilimchukua muda sana hadi kuja kumaster challanges na kusonga mbele
Wapo watu hapo Tanesco wenye uwezo mkubwa tuh kama Engineer Nazir Kachwamba...Engineer Deklan Mhaiki...na kadhalika ambao may be wangeweza kumrith mramba
Sasa kukimbilia kufanya maamuz ya mlipuko kama hayo ni kutuaminisha kwamba kuna watu wake alishawaandaa na anawatafutia kazi...ma kututhibitishia kwamba katika awamu hii wachaga na waislam ni watu wa kuogopwa kama ukoma
Tanesco yote ni Shida tu, wanajisikia sana. Utafikiri Umeme wanagawa Bure, watumbuliwe tu labda watabadilika.wapiga kelele mkuu hawatakuelewa nimesema na narudia tena mramba ni one of the best md's waliowahi kuwepo na kaliinua sana shirika
mkuu ungeuliza kwanza huo uamuzi sio wa mramba ni baada ya kamati ya majadiliano kati ya wafanyakazi kupitia tuico na bodi then wizara ikathibitisha so uamuzi wa unit 700 sio wa mrambamramba nimependa confidence yako japo kuna jambo umetuangusha raia... why unagawa umeme bure.. kwa watumishi wako halafu unapandishia wananchi maskini bei....
tunapata shida kukutetea.. sababu ya kugawa umeme bure kwa wafanyakazi.wako.ambao wana underperform
Ataandaa head master mwenyeweKwan Msigwa atakapo tenguliwa,press release ataandaa nan?
Teh,nko nawaza tu.