Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, F. Mramba. Amteua Dkt. Mwinuka kukaimu

Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, F. Mramba. Amteua Dkt. Mwinuka kukaimu

Mhhh utumbuaji huu ila wa ewura naona kapona
Kaponea tundu la sindano. Ninadhani kwakuwa alipelekewa "ombi"!
Lakini ndiyo walewale, washazoea kuchezea maisha ya waTz kwa takwimu za ajabuajabu kwa ajili ya kuneemesha matumbo yao.
 
Acha atumbukiwe tu, maisha yenyewe magumu, bado watuongezee mzigo
 
Kama Mramba na management nzima ya TANESCO walikosea,Bodi ya TANESCO je?

Anyway wacheni tuende hivi hivi ila huko mbele ya safari tusije kimbiana.
 
Kosa ni kwanini amependekeze kupandisha umeme??
Na mwaka huu mwanzoni waliahidi kupunguza bei kila mwaka, lakini wameenda kinyume na ahadi zao kwakuona kuwa waTz wajinga na ni wasahaulifu sana.
Wacha watumbuliwe, maana hakuna namna!
Halafu huyo wa ewura kabakizwa wa nini wakati naye ni jipu uchungu lililoiva?
 
Tanesco nahisi walikuwa wameshapandisha gharama hizi za umeme kimya kimya,kwa sababu nyumba ninayoishi,nilikuwa natumia umeme wa sh.25000 kwa siku 40,lakini kama miezi miwili iliyopita nashangaa gharama zimeongezeka sana kiasi cha kufikia 40,000 kwa mwezi wakati matumizi yangu ni yale yale,sijaongeza matumizi kabisaa!!
 
Sikiliza ndugu yangu, Tanesco kupitia kwa mramba waliandika barua kwa EWURA mwezi September mwaja 2016, wakamcopy katibu mkuu wizara ya Nishati na madini juu ya azimio la kutaka kupandisha bei kwa jinsi wao TANESCO walivyokokotoa mahitaji ya shirika.
Kwa hiyo siyo kweli kwamba eti Wizara ilikuwa haijui kinachooendelea!.

Mramba kafuata taratibu zote za kiofisi na za kisheria katika kufanya mchakato huo wa kupandisha bei ya umeme, Sema at the end of the day Wanasiasa badala ya kudeal na real issues zinazosababisha Gharama za umeme ziwe juu, wao wanatafuta bangusilo!
 
Kama Mramba na management nzima ya TANESCO walikosea,Bodi ya TANESCO je?

Anyway wacheni tuende hivi hivi ila huko mbele ya safari tusije kimbiana.

Hata huyo mramba kosa lake nini ? Bila ya shaka bei za umeme zipo juu sana ila shirika halina pesa kuji endesha sasa watafanya nini ?
Shirika lina madeni mengi ya kisiasa...kuanzia richmond, pan african gas, IPTL na miradi mingine mibovu ya kunyerenzi i na 2
Yote ni hasara tupu.

Kosa lao liko wapi
Waliomba baraka za wizara na kuoeleka maombi ewura..ewurawakawapa ongezeko kidogo. Kwaniaababuzaozaridhisha...

Upande mwengine bei kubwa inattuuuwa...jeesolution ni nini ? Solution ni kuondoa vat kwenye umeme na hio asilimia wapate tanesco...ni very easy...
 
Hata huyo mramba kosa lake nini ? Bila ya shaka bei za umeme zipo juu sana ila shirika halina pesa kuji endesha sasa watafanya nini ?
Shirika lina madeni mengi ya kisiasa...kuanzia richmond, pan african gas, IPTL na miradi mingine mibovu ya kunyerenzi i na 2
Yote ni hasara tupu.

Kosa lao liko wapi
Waliomba baraka za wizara na kuoeleka maombi ewura..ewurawakawapa ongezeko kidogo. Kwaniaababuzaozaridhisha...

Upande mwengine bei kubwa inattuuuwa...jeesolution ni nini ? Solution ni kuondoa vat kwenye umeme na hio asilimia wapate tanesco...ni very easy...
Mkuu,nimeulilza hilo swali sio kama napenda ila basi tu Mungu ndie anaejua.
 
Swali zuri sana hili Mkuu maana Management ya TANESCO ilipoona kuna umuhimu wa kuongeza bei bila shaka waliwasiliana na bodi yao ya Wakurugenzi ili kupata baraka zao na hivyo kuwaruhusu waende EWURA. Sasa bodi ya Wakurugenzi mbona imeachwa!?

Mkuu kama ingekuwa ni mimi hii EWURA ningeivunja tu na kuweka kitengo kidogo pale Wizarani kushughulika kazi zinazofanywa na EWURA. Hawa EWURA nao kwa namna moja au nyingine wanachangia kwa kuongeza bei za umeme nchini.

Kama Mramba na management nzima ya TANESCO walikosea,Bodi ya TANESCO je?

Anyway wacheni tuende hivi hivi ila huko mbele ya safari tusije kimbiana.
 
Swala la dr na mapro wa chuo kushika nafasi hizo, wakati watu walio somea fani za mejimentinti wapo, ilo litakuja kuleta madhara baadaye vuoni baada madr na mapro kuisha kwa uteuzi.
 
Kilaza kweli wewe,unajua hata maana ya tetesi??
Yani wewe suala la kupanda kwa bei ndo umelisikia jana?? Upo nchi gan? Swala hili liliwekwa public na Mkurugenzi wa EWURA tokea November kwa taarifa yako.haya unalingine?
Tumia akili kufikiri usitumie kipururu chako,nmekwambia tetesi zilkuepo kwenye mitandao hata hapa jf tangu mwezi wa kumi,lakini ewura rasmi wametangaza Jana au hata hujui ewura wametangaza lini ongezeko hilo? Vijana wa ufipa mpo kama misukule hivi
 
Hilo ni kosa? Huyu mtu na maaskofu wake watahukumiwa!
Retired inaonekana wewe ni tanesco masalia. Iko wapi sympathy yako kwa umma? Nikikueleza kuwa wewe ndiye walewale ntakosea? Kama nakosea, niwie radhi.
Hata tunapoungama na kujuta dhambi, hujuta pia dhambi tulizozifanya kwa njia ya kuwaza!
Unapo-propose kitu kwa ajili ya utekelezaji, wewe uliyebuni huitwa "master mind". Na kadhia yoyote inayopatikana kutokana na mawazo yako hayo lazima uwajibikie.
Kwanini Mramba asilambwe?
 
Swali zuri sana hili Mkuu maana Management ya TANESCO ilipoona kuna umuhimu wa kuongeza bei bila shaka waliwasiliana na bodi yao ya Wakurugenzi ili kupata baraka zao na hivyo kuwaruhusu waende EWURA. Sasa bodi ya Wakurugenzi mbona imeachwa!?

Mkuu kama ingekuwa ni mimi hii EWURA ningeivunja tu na kuweka kitengo kidogo pale Wizarani kushughulika kazi zinazofanywa na EWURA. Hawa EWURA nao kwa namna moja au nyingine wanachangia kwa kuongeza bei za umeme nchini.
Mkuu tuna hasara tena kubwa tu kuwa chini ya hawa watu.Ni vigumu hata kuelewa ni nini wanachosimamia.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Swali zuri sana hili Mkuu maana Management ya TANESCO ilipoona kuna umuhimu wa kuongeza bei bila shaka waliwasiliana na bodi yao ya Wakurugenzi ili kupata baraka zao na hivyo kuwaruhusu waende EWURA. Sasa bodi ya Wakurugenzi mbona imeachwa!?

Mkuu kama ingekuwa ni mimi hii EWURA ningeivunja tu na kuweka kitengo kidogo pale Wizarani kushughulika kazi zinazofanywa na EWURA. Hawa EWURA nao kwa namna moja au nyingine wanachangia kwa kuongeza bei za umeme nchini.
Mkuu kwani katibu mtendaji wa bodi ya taneco ni nani?
 
Na kweli maana alikosa ubunifu, kukatika umeme kuko palepale wakati mheshimiwa alishatuahid kuwa hautakatika tena
 
Back
Top Bottom