Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, F. Mramba. Amteua Dkt. Mwinuka kukaimu

Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, F. Mramba. Amteua Dkt. Mwinuka kukaimu

Yule jamaa wa EWURA aliekubaliana na ombi la Mramba la kupandisha bei ya Umeme anafanya nini ofisini mpaka leo??
Mramba ana makosa yake nae, lakini na yule jamaa nae angetimuliwa tu. Maana alichofanya yule M-Ewura ni sawasawa na Mwele wa NIMR, anapandisha bei bila kuwasiliana na Waziri husika
Aliepandisha bei ni EWURA. TANESCO walipeleka mapendekezo yao tu na EWURA wakapitisha
 
Rais ameshangazwa na kitendo cha watendaji waliopandisha bei ya umeme bila hata ya kushauriana na yeye, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu au Waziri wa Nishati na Madini, Prof Sospeter Muhongo.

''Ninamshukuru sana Waziri wa Nishati na Madini kwa maamuzi ya kusitisha hayo. Kwa hiyo umeme hakuna kupanda bei, Amesema.
Maswali ya kujiuliza ni:
1. Je matakwa ya kisheria na kiutaratibu yalizingatiwa kwenye mchakato wa kupandisha umeme?
2. Je inaingia akilini kuwa Ewura wanaweza kuendelea na kubariki mchakato wa Kupandisha umeme kama Tanesco hawakufuatà utaratibu?
3. Je taratibu zinataka Rais na makamu wa rais na waziri mkuu wahusishwe katika mchakato wa kupandisha umeme?
4. Je Rais analazimika kuweka wazi sababu za kutengua uteuzi wa mtu yeyote!
 
K
Naunga mkono Mramba kutumbuliwa...

kosa lake ni kukosa ubunifu, yaan kila wakijisikia tu ni kuongeza Bei ya umeme kwa wananchi? hamna ubunifu mwingine tofauti na kuongeza gharama kwa wananchi?

Kwa nini wasipunguze zile offer za Units kwa wafanyakazi wao? au wazifute kabisa hizo offer...! haiwezekani wafanyakazi takribani zaidi ya mia 500 tuwalipie gharama za umeme afu wao wanapikia majiko ya Umeme kila siku, sisi tunajibana na mkaa au gas wao tuwalipie!! haiwezekani...
Kama MAGUFULI alisema ni marufuku mtu kupanda bombardier bure hata awe waziri au Mwenyekiti wa bodi ya ATCL sasa iweje wafanyakazi wa TANESCO watumie umeme wa BURE??
 
Mkuu unaweza kuwa una namba ya JK ya Voda um deep atakupigia mwambie aingie JF.

Teh teh teh

Teh teh teh

Jamaa walikuwa wanasema kikwete ni dhaifuu

Ila kwa huyu Jamaa yao leo wanalia na kusaga meno.
 
Mbona makabila mengi hayapo serikalini mkuu kama sisi Wanyisanzu hata katibu tarafa hatuna achilia mbali waziri.

Teh teh teh

Mkuu Wanyisanzu ndiyo watu wa wapi hao?

Teh teh teh...huko huko kanda ya ziwa wanakokula neema ya Juma Poor Manager nin?
 
Mwinuka????? Dah haya bwana... Ila katoa fadhila kwa Wahaya ili kesho abwate weee na mambo mengine yaende!! Mwinuka ni mchanga mno na hajawahi kuwa mbunifu hata kidogo.! Hapana!! Mwinuka Tito hapana!!!!!

Yaonesha wewe ni bingwa wa kufanya vetting, tushawishi kwa hoja basi!
 
Nahuyu hataiweza tanesco,ile taasisi haihitaji siasa ni hela ziwekezwe kazi ipigwe Sasa serikali inataka makubwa bila uwekezaji mkubwa na wakutosha. Huu ni uthibitisho kuwa serikali haiwez simamia biashara kubwa
 
Yule jamaa wa EWURA aliekubaliana na ombi la Mramba la kupandisha bei ya Umeme anafanya nini ofisini mpaka leo??
Mramba ana makosa yake nae, lakini na yule jamaa nae angetimuliwa tu. Maana alichofanya yule M-Ewura ni sawasawa na Mwele wa NIMR, anapandisha bei bila kuwasiliana na Waziri husika
Sipendagi mtu aandike bila kuwaza.Kuna uzi humu sijui umeenda wapi.Mwele alishawasiliana na huyo Mama Waziri.Akaona.kimyaaa.Wkt shirika.linampa mamlaka.kusema mbona Mabusha na Matende na.magonjwa mengine alipokuwa NIMR Aliyaweka wazi.Huo wa sasa mnaogopa gharama eeeh????
 
TANESCO hawapaswi kulipana bonus kila mwisho wa mwaka kiasi cha kufikia Tzs. 60m/- kwa mtu mmoja wakati shirika linashindwa kujiendesha isipokuwa kwa kupandisha bei ya Umeme.
ni kweli mkuu,,km unakumbuka mwishoni mwa hawamu ya 4 serikali waliipita Tanesco TB ya dola zaidi ya 400m,,je hizo ela zote zimefanya nn km sio zilichotwa kupitia Escrow?km mtu 1 analipwa 60m@year=5m@month,,sasa iyo ni sawa na nguzo ngapi?tuwaache jamaa wafanye kazi coz hawamu ya 4 iliturudisha nyuma sana na kuendekeza upuuzi mwingi na mkubwa mno kwa maslahi ya wachache
 
Naunga mkono hoja.kwa nini asipendekeze kwanza kuacha kutoa umeme unit 700 kwa wafanyakaz wa tanesko? Anakimbilia kwa walala hoi?
 
Back
Top Bottom