Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, F. Mramba. Amteua Dkt. Mwinuka kukaimu

Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, F. Mramba. Amteua Dkt. Mwinuka kukaimu

Hongera zake kwa kuanza mwaka kwa kutumbuliwa. Raha sana awamu hii kila mtu atatumbuliwa kwa wakati wake namshukuru Mungu zamu yangu ilitimia mapemaaaa miezi 6 tu ya mwanzo ya magu ila sijutii
 
Mramba alikuwa hampendezi mfalme maana ni chhagua la utawala dhalimu uliopita! Yeye anataka tanroad na walimu wa udsm sio wale professional aliowakuta!!! Sasa ameweka anaowaamini!! Acha Mramba apumzike tanesco ni shipa haswa zile pesa za IPTL sio mchezo ni pasua hahsaaa
 
Twende mbele turudi nyuma hawamu hii rais tumepata,,hawamu ya 4 bei za vitu nyeti zilikuwa zinapandishwa kiolela tuuu,,kila mtu alikuwa na full authority hata km vinaumiza wananchi
 
Kuna maana gani kunitakia Happy New Year halafu tarehe moja tu natumbuliwa?!!!

Narudia tena, wakurugenzi wa mashirika na taasisi za umma, jitahidi kupata baraka za mkuu kabla hamjaja mbele ya media kutueleza chochote.

Hili suala la kusema nilifuata taratibu zote, hapana, kama mkuu hujamshirikisha basi taratibu hazijakamilika.
 
TANESCO hawapaswi kulipana bonus kila mwisho wa mwaka kiasi cha kufikia Tzs. 60m/- kwa mtu mmoja wakati shirika linashindwa kujiendesha isipokuwa kwa kupandisha bei ya Umeme.
 
Kwahio kwa mfano kama Mramba aliambiwa asiendelee na mkataba na Symbion ambao wanataka pesa yao iwe wamezalisha umeme au hawajazalisha.

Je ameshauriana vipi na waziri kuhusu hili la kuongeza bei ya umeme hata baada ya kupeleka maombi EWURA?

Inaonekana amekikuka maagizo ya raisi kwa kwenda EWURA moja kwa moja kwamba liwalo na liwe licha ya kuagizwa pale Kinyerezi mwaka jana.

Au wewe umeelewaje kwenye hili?
Kwa jinsi Magufuli na Muhongo walivyoongea ni wazi kabisa hii issue ya kuongeza bei ya umeme ndio imemuondoa Mramba Mimi sijapinga Mramba kuondolewa but tatizo ni jinsi watendaji wa serikali wanavyofanya kazi,kwenye hii issue inaonekana hakuna mawasiliano kabisa kati ya Tanesco,EWURA na Waziri wa Nishati sidhani kama ingefika stage hii kama hao wadau wangekuwa wana mawasiliano .Issue ya Jenista/Sefue kumteua boss wa NSSF siku iliyofuata atateuliwa mtu mwingine
 
Siku akitengua mikataba feki ya Tanesco ya IPTL sijui PAP et al ntamwona JPM yuko serious. Otherwise hizi zingine ni zunguruka mbuyu tu.
 
Kwa jinsi Magufuli na Muhongo walivyoongea ni wazi kabisa hii issue ya kuongeza bei ya umeme ndio imemuondoa Mramba Mimi sijapinga Mramba kuondolewa but tatizo ni jinsi watendaji wa serikali wanavyofanya kazi,kwenye hii issue inaonekana hakuna mawasiliano kabisa kati ya Tanesco,EWURA na Waziri wa Nishati sidhani kama ingefika stage hii kama hao wadau wangekuwa wana mawasiliano .Issue ya Jenista/Sefue kumteua boss wa NSSF siku iliyofuata atateuliwa mtu mwingine
Tatizo kila mmoja akiteuliwa anajiona boss wanasahu wakitaka kufanya maamuzi lazima boss mkuu apewe taarifa bahati mbaya boss mkuu hapati taarifa.
 
Rais Magufuli leo ametengua rasmi uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme nchini(TANESCO), Eng. Felchesmi Mramba.

Aidha Rais amemteua Dkt. Tito Esau Mwinuka kukaimu nafasi hiyo. Kabla ya uteuzi huo Dkt. Mwinuka alikuwa mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM).

Nasikitika sana! Lakini acha tu waisome namba ... ccm mbele kwa mbele!
 
Daah,hongereni mkuu..
Cc pande za dom hiz,tumezimic saana mvuu..hatuioni

Arusha bata mtaani wanaogelea tu.kuanzia wiki ijayo kutakuwa kijani kibichi.Hewa imetulia maana joto lilipanda ile mbaya na vumbi la hatari.
 
Hata hivyo sikutegemea kuwa angesurvive mudawote huo.
 
Back
Top Bottom