msafiri.razaro
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 1,244
- 743
Atumbue mikataba mibovu iliasisiwa na watangulizi wake, Mramba kamwonea huwezi endesha shirika kwa hasara.Kwahiyo sisi wanyonge ndiyo suluhu ya kulipa hiyo fidia ya mafisadi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atumbue mikataba mibovu iliasisiwa na watangulizi wake, Mramba kamwonea huwezi endesha shirika kwa hasara.Kwahiyo sisi wanyonge ndiyo suluhu ya kulipa hiyo fidia ya mafisadi?
Kwani DG wa Weura naye katokea ile kanda ya Langwayman???Safii sana , amtumbue na DG wa EWURA
Maamuzi yanayotolewa yanaonyesha kabisa hakuna mawasiliano kati ya Raisi na watendaji wake Kwa nini Raisi asiwe anafanya vikao na watendaji wake kuwaonyesha/kuwaeleza anachokitaka kuliko kusubiri wanavyokosea na kuwatumbua ?Hapana, ni team Against Vs President, government na team yake.
Hawa team against wapo wameungana na ndiyo wanakosea katika timing zao katika kutoa taarifa yote ikiwa ni katika kutaka kumharibia raisi na serikali ili awe discredited.
Flow of information ipo njia mbili kulekea Ikulu na kuna aina tatu za haya mawasiliano- yaani kuna downward, upward or horizontally.
Halafu kuna barrier yaani vizuizi na hivi ndivyo raisi anajaribu kuviondoa ili apate kuwa na effective communication na watu walio chini yake au "subordinates".
Ila huwezi kuwa na mtitiriko mzuri wa taarifa kama hakuna nidhamu iwe kwenye timu nzima, vikozi kazi au kamati mbalimbali.
Hivyo raisi ananyoosha hii kitu aondek vizuizi na awe na mawasiliano ya moja kwa moja na wasaidizi wake ambao wataelewa yeye anataka nini.
Mauza uza ya tanesco yoooote huyu jamaa anayajua vizuri, mi nashangaa kamaliza mwaka na JPM. Mwingine ni gavana, bado nashangaa yupo mpaka leo, ama bahati katiba inamlinda.Hivi kosa ndio hilo la kuiomba EWURA ipandishe bei ili kuweza kujiendesha?au kuna mengine?
Uwoga nao ugonjwa!! watumbuliwa wengine wanajikunyata kama vifaranga vya bata!! Bravo MrambaHuyu Mramba akae kimya tu.Anachofanya sasa ni chokochoko.
Waswahili wanasema Chokochoko mchokoe pweza binadamu hatawaweza.
Umenena sawa kabisa Mkuu watu wanafikiri eti ukiwa Na Phd au unnaweza kila kitu....jama hawajifunzi Private sector Nchini na hata Duniani zinavyofanya vizuri????? only CVs....not Academician....Au angalia CV za "CEOs roundtables" wana basic degree then uzoefu labda kidogo na Masters....but uzoefu mwingi kwenye eneo lake....kifupi ni amefanya nini kwenye sector husika...Mkuu huwa nakubaliana sana na mabandiko yako lakini umekosea sana kubeza ubobezi wa Mwinuka kwenye eneo lake umahiri yaani Mech Eng. uliposema mambo ya lathe sijui kitu gani. Wakati mwingine jaribu kuwa na staha kama kitu haufahamu.
Pia huyo Kimambo naye ni Mech Eng japo kaspecialize kwenye energy lakini bado ni Mech. na sidhani kama ana sifa za ziada za kusimamia Tanesco. Mradi wa incubator pale Kibaha ulikufa mikononi mwake sembuse Tanesco ataiweza. Nasema hivi purely on belief kwamba usimjaji mtu kwa alichosoma ila kwa uwezo wake wa utendaji. Wote hawa Kimambo na Mwinuka ni academician na sio watu wenye uzoefu kama CEO's
Kama ni Tanesco ni bora angechukua kabisa mtu wa ECSE au BCom. Penye ukweli tuwe wakweli tuache ushabiki.
Yupo moshi anakula sikukuu. Itakuwa kakurupuka bar kaandika kaipostHiyo madhani sio barua rasmi. Haina tarehe, haina saini, haina japo muhuri.
Hii itakuwa imeandikwa bar.
Mh utumbuaji umeanza tangu mwaka Jana kutumbua vijipu uchungu huu Ni mwendelezoDuh...... Yaani siku ya kwanza tu ya mwaka 2017, tayari Magu kauanza kwa kutumbua mtu!
Basi tutarajie mwaka huu utakuwa wa utumbuaji wa kutisha zaidi .......
Kwahiyo sisi wananchi ndiyo mtaji wa kuliinua shirika? Think twice mkuu.Atumbue mikataba mibovu iliasisiwa na watangulizi wake, Mramba kamwonea huwezi endesha shirika kwa hasara.
Kwanini iwe kukosoa tu!!?..Duh!!
..yaani kila anayekosoa basi ana chuki.
..huo ni mtizamo hasi sana kuwa nao hasa ukiwa na madaraka.