Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, F. Mramba. Amteua Dkt. Mwinuka kukaimu


Tuko pamoja mkuu.

Ndiyo maana ilikuwa ni kosa kwa Mramba kuendeleza mazungmzo na Symbion wakati raisi na timu yake bado hawajapitia huu mkataba wa sasa.

Si unafanya kitu kimoja baada ya kingine au?
 
Reactions: BAK
It was staged na sarakasi nyingi na walijua tu watamfukuza. Umeme utapanda bei tuu, si tupo humu JF.

God bless you Injinia
Huyu Mramba walishapanga kumfukuza! Ila pia walitaka kuvuna kutoka kwake! Political gain! Sasa wameandaa movie na kuicheza ili kutupumbaza! Tanzania yetu!
 
Asante mkuu. Kadiri ya maelezo yako umeme bado utakuwa hautoshi hasa kama tume address mahitaji ya sasa na siyo ya miaka mitatu mbele. Na deni pia litaendelea kukua. Ng'ombe wa maskini hazai.

Siyo kwamba umeme hautoshi bali unafanywa uonekane hautoshi ili kampuni binafsi za kuzalisha umeme ziwe zinafanya biashara na tanesco kwa kutumia mgongo wa mtanzania wa kipato cha kati na cha chini.
 
Naona kuna mabadiliko ya tune hivi sasa...

Tune ya sasa naona imekuwa "...hakufuata taratibu... hakuwashirikisha wale walio juu yake!"

Tune hii imeanza kusikika kwa Mwele Malecela!

Hebu nisaidie jambo moja! Hapa chini ni sehemu ya tangazo la EWURA juu ya nia ya TANESCO kupandisha bei ya umeme!


Tangazo ni la Octoba 04, 2016. Na kwa kumbukumbu zangu kupitia kipindi cha Kipima Joto ITV, hili suala lilijadiliwa na wadau! Hilo ni takwa kwa mujibu wa sheria za EWURA kama wanavyothibitisha wenyewe kwenye tangazo husika:



Now tell me: Unataka kuniambia wakato yote hayo yanafanyika wazi wazi bado serikali ilikuwa haifahamu nini kilikuwa kinaendelea? Kama ilikuwa haifahamu; kuna maana gani basi ya kuwa na serikali isiyofahamu hata kinachoendelea ndani ya taasisi zake?!

Au ni kwamba serikali ilikuwa inafahamu kilichokuwa kinaendelea lakini badala ya kuzuia from the beginning wakaamua kuacha kiendelee ili ipate justification za kutumbua?!

I am sorry to say kwamba Meneja bora hapimwi kutokana na uwezo wake wa kutimua wafanyakazi walio chini yake bali anapimwa kutokana na uwezo wake wa kuzuia crisis zinazoweza kusababisha kupoteza timu yake!

Ikiwa aina yenyewe ya uongozi ndio huu wa kuliana timing uharibu ili utumbuliwe basi nasikitika kusema kwamba for the time being, hii nchi ina uongozi mbovu ambao haujapata kutokea tangu tupate uhuru!

Huwezi kuacha watu wavunje sheria ili tu hatimae upate sababu ya kutumbua... this's totally administrative failure!

Kama hoja ni kwamba Mramba hakufuata taratibu; serikali walikuwa na uwezo wa kupiga stop kabla hata hao EWURA hawajapoteza raslimali kuitisha vikao!

Na kama ni kutumbuliwa; basi hao akina Mramba wangetumbuliwa baada ya serikali kupiga stop lakini wao wakaendelea! Tena wangetumbuliwa tangu mara baada ya kuitisha Mkutano ITV lakini inaonesha wazi serikali wasingekuwa na grounds za kufanya hivyo kwahiyo wakawaacha waendelee ili hatimae wapate cheap grounds zitakazo-sound kwa wananchi kwamba wamewatumbua kwa sababu wamepandisha bei ya umeme!!!

This's totally cheap politics!
 
Sawa Mkuu nakuelewa sana. Kuna uzi mmoja humu nimekuCC utauona baada ya muda si mrefu.


Symbion Power yamkosoa Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Felchesmi Mramba

Ndugu Mramba hakusema sitisha kutoa umeme na hajawahi kufanya hivyo. Alisema kuwa alikuwa ameagizwa na Mheshimiwa Rais wa Tanzania; alisema katika mtazamo wake nyaraka za PPA zilikuwa sawia na faida za Kitaifa na alisema kuwa alimdhirishia hilo kwa kuzingatia na bei nafuu ambazo kampuni ya Symbion inauza umeme wake.

Kampuni ya Symbion ilichukulia kama utaratibu wa kawaida wa Serikali mpya kupitia mikataba yote ya Serikali kwa vile ilikuwa imetajwa kwenye baadhi ya ripoti za vyombo vya habari Vikimnukuu Waziri Mkuu kwamba Makubaliano mengi na Wawekezaji yanapitiwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali ili kuona kama zina maslahi ya Kitaifa. Hatukuwa hata mara moja kufikiria kuwa tutaweza kukumbana na jaribio la upande mmoja kusitisha mkataba miezi sita baadaye. Kama TANESCO ilikuwa ikifikira kuhusu hili na hawakuwahi kufikiria nyaraka za PPA kuwa na tija kwanini waliendelea kuchukua umeme wetu bure? Huu ni ukosefu wa Uaminifu kwa kiwango cha juu.

Tuko pamoja mkuu.

Ndiyo maana ilikuwa ni kosa kwa Mramba kuendeleza mazungmzo na Symbion wakati raisi na timu yake bado hawajapitia huu mkataba wa sasa.

Si unafanya kitu kimoja baada ya kingine au?
 
It was staged na sarakasi nyingi na walijua tu watamfukuza. Umeme utapanda bei tuu, si tupo humu JF.

God bless you Injinia
God curse injinia! mtu mzima amesahau wahenga walisema "Ukimuona mwenzio ananyolewa, Wewe tia maji bichwa lako!"; Engineer Mramba should have borrowed a leaf from Dkt Mwele Malecela's book! Hii nchi kwa sasa sio ya kufuata sheria kama sheria per ce! lazima usome pia mazingira na alama za nyakati!
 
1. Yule jamaa hapokei cha juu hats siku moja
2. Ni mkweli na mcha Mungu.
3. Alikua anawazibia ulaji.
 

Hapana, wewe ndiyo naona unaleta "cheap politics" katika maslahi ya taifa.

Umesoma EWURA Act na katika majukumu au "functions" zake kwenye issue ya majadiliano inasemaje?

Pitia tena halafu tuendelee.
 
It was staged na sarakasi nyingi na walijua tu watamfukuza. Umeme utapanda bei tuu, si tupo humu JF.

God bless you Injinia


Reasons za Muhongo umezisoma au unakurupuka tu?

Kama utapanda in future na upande kwa kufuata sheria na kanuni siyo kiholela tu.

Jamaa katumbuliwa.
 
Nimekuwia radhi. Wamemsikiliza? Unaleta siasa kwenye scientific issues. Mambo ya kuwaza dhambi ni ya revelations not realistic, they do not abide by scientific principles. Huyu ni mtaalamu, angelisikilizwa, akaambiwa hapana hatukubali bei hii! Yaani ku propose bei ni kosa? Think deep! Ichukulie sawa na Judge anavyotoa hukumu ikatenguliwa Court of appeal!
Kwa taarifa yako, siko Tanesco na ninaumia sana kwa bei ya Tanesco, but we have to follow laws, procedure and all rules before us for guidence
 
Siyo kwamba umeme hautoshi bali unafanywa uonekane hautoshi ili kampuni binafsi za kuzalisha umeme ziwe zinafanya biashara na tanesco kwa kutumia mgongo wa mtanzania wa kipato cha kati na cha chini.
Serously unaamini umeme unatosha? SERIOUSLY?

Ngoja nikuulize jambo moja japo kwa kutumia common sense! Ni asilimia ngapi ya wateja wa TANESCO wana uwezo wa kununua majiko ya umeme lakini hawathubutu kuyanunua na kutumia kwavile tu wanaogopa gharama za umeme?!

Hivi umeshawahi kujiuliza what will happen endapo only 10% ya wateja wa TANESCO hatimae wanaamua kutumia majiko ya umeme?! Do you really believe likitokea ongezeko kama hilo bado TANESCO watakuwa na ubavu wa ku-accommodate hiyo power demand? Hivi hapa napo unahitaji kuwa mchumi kufahamu kwamba, moja ya sababu ya kufanya bei ya umeme kubwa kubwa ni ku-discourage matumizi makubwa ya umeme?!
 
Reactions: BAK

What is your point!
 
Umeongea point kubwa sana na kingine tu niongezee hawa "Viongozi" wanataka kuonyesha kwamba TANESCO imeshindwa kazi ili wapate mwanya wa kuanzisha makampuni yao ya kuzalisha na kusambaza umeme nchini na si ajabu hata nchi za jirani. Kwa maoni yangu TANESCO bado inaweza kabisa kusambaza umeme nchini bila ya kusaidiwa na kampuni yoyote ile, tatizo siasa na ufisadi wa kutisha umeingizwa TANESCO kwa zaidi ya miaka 20 sasa kuanzia awamu ya fisadi Mkapa na kuendelea hadi hii leo.

Tatizo hakuna ambaye yuko tayari kuifanyia kazi hii mikataba mbali mbali ya kifisadi ambayo inaiangamiza TANESCO. Wanaogopa "kufukua makaburi ya zamani" hivyo ni bora gharama za uzalishaji umeme kupitia mikataba ya kifisadi ziendelee kuielemea TANESCO lakini mikataba ya kifisadi hakuna aliye tayari kuigusa Mkuu.

Siyo kwamba umeme hautoshi bali unafanywa uonekane hautoshi ili kampuni binafsi za kuzalisha umeme ziwe zinafanya biashara na tanesco kwa kutumia mgongo wa mtanzania wa kipato cha kati na cha chini.
 
Hapana, wewe ndiyo naona unaleta "cheap politics" katika maslahi ya taifa.

Umesoma EWURA Act na katika majukumu au "functions" zake kwenye issue ya majadiliano inasemaje?

Pitia tena halafu tuendelee.
Jibu swali wewe... unataka kuniambia serikali haikuona hayo wakati yanaendelea au walikuwa wanasubiri matokeo ili hatimae wapate grounds za kutumbua? That's one but second; wakati nazungumzia Tangazo la EWURA nimekuwekea tangazo husika!!!

Hivi hudhani badala ya kunihoji functions za EWURA ulikuwa na wajibu wa kuweka hizo fuctions za EWURA? Ili kutoufanya mjadala huu kuwa mrefu;
1. Nijibu swali langu la msingi
2. Weka hapa hiyo sheria ya EWURA na functions zake!!

Or else; CHEAP POLITICS kama nilivyosema hapo awali!!!
 
unapowadhihaki watz ni mazezeta.....kwani wewe ni m'bangladesh..??...[emoji57] [emoji57]
 

Ukitaka kufahamu aina tofauti ya makaburi anza kulitafuta lile liloandikwa IPTL 1994 initiation stage.
 
Umeme hautapanda kwasababu tunarudi kwenye "command economy" yaani a centrally planned economy! Ambapo bei zitapangwa na tume ya bei ya taifa kwa sababu tunatetea "wananchi wanyonge" walioumbwa kwa mfano wa Mungu!!
 
What is your point!
Ikiwa umeshindwa kuona hoja basi inathibiisha wazi kwamba hii mada kwako ni mzito or else unahitaji hoja nyepesi nyepesi ndipo unaweza kufahamu kilichomo kwenye hoja husika!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…