Nilishangaa mijitu ya Kagera Kanisani inashangilia na kutelekezwa kote!Maamuzi ya mihemuko mkuu, No reasoning, no consissors, ma hivyo alipanga kwenda kutoa neno Kanisani akapatia cha kusema ili ashangiliwe.
Siasa kwa asiye mwana siasa ili aonekane mwanasiasa mahiri.
chige na richard.....
msitoke nje ya mada tafadhari....
Ni swala lamuda tu alikua anmtafutia sababu tu kwani alianza kumlalamikia tangu wakati wa kampeni kua anamhuju lazma utapandaIt was staged na sarakasi nyingi na walijua tu watamfukuza. Umeme utapanda bei tuu, si tupo humu JF.
God bless you Injinia
Hawana aibu sanasana atapewa ubaloziSiku umeme ukipanda bei wamuombe radhi Felchismi.
Mpe hi ukimwonaJK anawasilimia makanda anasema yeye yupo kawamiss sana.
Hivi kosa ndio hilo la kuiomba EWURA ipandishe bei ili kuweza kujiendesha?au kuna mengine?
Labda wanyonge anaowanyonga.JPM ni mtetezi wa wanyonge, heko Rais wetu hakika unaongoza kwa mfano.
There is no political game or what. Tatizo ni kukurupuka baadhi ya viongozi bado wanandoto za awamu zilizo pita kila mwenye madaraka anajiamulia anavyotaka haswa ktk masuala ya public consumption, bila hata kumshauri Waziri husika na haiwi chochote, that era was over !!!!! sasa wenye madaraka ktk taasisi za serikali watulize akili, nafikiri mmoja kati ya watendaji wa waziri wa nishati ni huyo mkurugenzi wa tanesco maombi au ushauri wa kupandisha gharama za umeme kwanza angemuandikia waziri wake na kujibiwa kimaandishi kukubali au kukataa na waziri kwa kua yeye ndiye mwenyedhamana na sekta hiyo ya umeme, hapo angekua ktk safe said juu ya maamuzi yake.
Kunatatizo moja la watanzania kutopima mambo na kukurupuka humu katk jf. mchango wa wengi wanamlaumu JP.na hilo linaonyesha uwezo wetu mdogo wa kufikiri,
EURA walipo tangaza kupandisha gharama za umeme waziri mwenyedhamana Muhongo alipinga hilo hiyo inaonyesha hakushirikishwa ktk maamuzi hayo, je unafikiria waziri alimuandikia nini Rais juu ya hilo kuhusu mtendaji mkuu wa shirika?
Kwakua waziri hana mandate ya kumuwajibisha mkurugenzi mtendaji. ila hutoa ushauri kwa rais
Hivi wewe hujafahamu mpaka kwenye gesi tumeliwa?Umeme utashuka bei ndiyo muelekeo wa Prof Muhongo kutokana na uwepo wa gesi
It was staged na sarakasi nyingi na walijua tu watamfukuza. Umeme utapanda bei tuu, si tupo humu JF.
God bless you Injinia
Serekali inawasiliana kwa nyaraka...madokezo...paper trail sio kujitangazia tangaziaNaona kuna mabadiliko ya tune hivi sasa...
Tune ya sasa naona imekuwa "...hakufuata taratibu... hakuwashirikisha wale walio juu yake!"
Tune hii imeanza kusikika kwa Mwele Malecela!
Hebu nisaidie jambo moja! Hapa chini ni sehemu ya tangazo la EWURA juu ya nia ya TANESCO kupandisha bei ya umeme!
View attachment 453187
Tangazo ni la Octoba 04, 2016. Na kwa kumbukumbu zangu kupitia kipindi cha Kipima Joto ITV, hili suala lilijadiliwa na wadau! Hilo ni takwa kwa mujibu wa sheria za EWURA kama wanavyothibitisha wenyewe kwenye tangazo husika:
View attachment 453188
Now tell me: Unataka kuniambia wakato yote hayo yanafanyika wazi wazi bado serikali ilikuwa haifahamu nini kilikuwa kinaendelea? Kama ilikuwa haifahamu; kuna maana gani basi ya kuwa na serikali isiyofahamu hata kinachoendelea ndani ya taasisi zake?!
Au ni kwamba serikali ilikuwa inafahamu kilichokuwa kinaendelea lakini badala ya kuzuia from the beginning wakaamua kuacha kiendelee ili ipate justification za kutumbua?!
I am sorry to say kwamba Meneja bora hapimwi kutokana na uwezo wake wa kutimua wafanyakazi walio chini yake bali anapimwa kutokana na uwezo wake wa kuzuia crisis zinazoweza kusababisha kupoteza timu yake!
Ikiwa aina yenyewe ya uongozi ndio huu wa kuliana timing uharibu ili utumbuliwe basi nasikitika kusema kwamba for the time being, hii nchi ina uongozi mbovu ambao haujapata kutokea tangu tupate uhuru!
Huwezi kuacha watu wavunje sheria ili tu hatimae upate sababu ya kutumbua... this's totally administrative failure!
Kama hoja ni kwamba Mramba hakufuata taratibu; serikali walikuwa na uwezo wa kupiga stop kabla hata hao EWURA hawajapoteza raslimali kuitisha vikao!
Na kama ni kutumbuliwa; basi hao akina Mramba wangetumbuliwa baada ya serikali kupiga stop lakini wao wakaendelea! Tena wangetumbuliwa tangu mara baada ya kuitisha Mkutano ITV lakini inaonesha wazi serikali wasingekuwa na grounds za kufanya hivyo kwahiyo wakawaacha waendelee ili hatimae wapate cheap grounds zitakazo-sound kwa wananchi kwamba wamewatumbua kwa sababu wamepandisha bei ya umeme!!!
This's totally cheap politics!
"Wananchi wanyonge, walioumbwa kwa mfano wa Mungu".Umeme hautapanda kwasababu tunarudi kwenye "command economy" yaani a centrally planned economy! Ambapo bei zitapangwa na tume ya bei ya taifa kwa sababu tunatetea "wananchi wanyonge" walioumbwa kwa mfano wa Mungu!!
Najua hilo ila niliona ujio wa gesi utaongeza uzalishaji wa umeme hivyo umeme wa maji ungeshuka kidogo badala yake wanapandishaKuchimba gesi is even more expensive kuliko ulivyoaminishwa na wanasiasa bila wewe kufikiri na kulinganisha mafuta na gesi. Huwezi maana unaambiwa cha kufikiri
Mafuta yametokea wapi hapo?Kuchimba gesi is even more expensive kuliko ulivyoaminishwa na wanasiasa bila wewe kufikiri na kulinganisha mafuta na gesi. Huwezi maana unaambiwa cha kufikiri
Kwanini mkuu???Nawaonea huruma sana wachaga
Fuatilia argument toka mwanzo, usianzie katikatiMafuta yametokea wapi hapo?
Vitu vidogo sana hivi ndugu yangu! Inawezekana Richard ni baba wa familia tena mwenye madaraka kwenye serikali ya JPM!chige na richard.....
msitoke nje ya mada tafadhari....
ndo tatizoFuatilia argument toka mwanzo, usianzie katikati