Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, F. Mramba. Amteua Dkt. Mwinuka kukaimu

Ndo yaleyale ya kuamini Ryoba anaweza kuibadili TBC kwa sababu ya kuwa mwalimu wa waandishi wa habari, leo TBC ni absolute toilet kuliko alivyo Magufuli!
We acha tu ndugu yangu... ndo kuna mdau mmoja hapa kasema "...si ataenda kupatia uzoefu huko huko!"
 
Kuandika Barua haitoshi Ewura na Tanesco kabla ya kutangaza bei mpya walipaswa kusubiri majibu na Kikao pamoja na Serikali. Huwezi kufanya unavyotaka Jambo kubwa kama hili linalo gusa Uchumi wa Nchi na madhara kwa Wananchi.
 
Nashangaa anayeteuliwa anakubali. Ingekuwa mimi, namkatalia. Maadm nipo kwenye kazi nyingine
 
Watumiaji wadgowa umeme tunaumia sana magufuli nia yake kwa wananchi ni nzuri sanaaa tatizo kila anaepewa sekta anataka atengeneze maisha yake kwanza hivyo mm nampongeza sana rais wangu.

Sent from my GT-I8190 using JamiiForums mobile app
 
Anaefuata ni wa EWURA mkuu anasubiri weekend huwa hatumbui katikati ya week coz wengi tutakuwa job.
 

DW ni wapuuzi tu. Walishaonesha upuuzi wao msimu wa kampeni walipofanya mchezo kama wa Ben Saatisa kwa mtangazaji wao yule wa kike wa Zanzibar.

Ni bora wahangaike na Kansela wao Anjela anayeivuruga Ujerumani kwa kuruhusu wahamiaji zaidi ya milioni moja kuingia nchini humo.
 
Ndugu yangu Richard,

Hebu nisaidie na hapa!! Habari zinazo-trend hivi sasa ni kwamba sababu kubwa ya kutumbuliwa Mramba ni kwa sababu hakufuata taratibu!

Nikaamua kupekua pekua na hatimae kukutana na taarifa hii ya TANESCO:

Nikaona hawa TANESCO wasitufanye watu hatuna akili... Agizo la Kubadilisha Bei za Umeme la Mwaka 2016 ni dubwasha gani hilo tena! Nikaamua kutafuta ukweli ambao ndani ya dakika moja nikakutana nao kwenye tovuti ya Wizara ya Nishati na Madini ambalo sehemu yake linasema:

SWALI 1: Ikiwa serikali hawakushirikishwa; nini maana ya hicho kifungu #4 hapo juu?! Serikali inaweza vipi kuzungumzia kusitishwa kwa jambo wasilolifahamu?

Hebu tuambieni ukweli... hivi tatizo ni kwamba serikali haikufahamu au ndo ile kuliana timing uingie kwenye 18 wakutumbue?! Au tatizo ni kwamba walichelewesha... badala ya August 31, 2016 wao wakawasilisha:

Mbona hatuelewi elewi?!
 
Eti "vitu rahisi"; my foot! Man go back to prep school, Mramba out, hatarudi tena, he has never been indispensable, hata kama amekua collateral damage, mwendo mdundo kusaka watu wote walioumbwa kwa mfano wa shetani wanaowatesa wananchi wanyonge walioumbwa kwa mfano wa Mungu na kuwatumbulia mbali.
 
wapo wengi humu wa mfano huo mkuu.....[emoji45] [emoji45] ....!!..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…